Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah sawa hongera sana..ni leo hiyo?Habari za mihangaiko ndugu jamaa na marafil wa jf.
Natumai wazima wa afya tele,
Mm pia cjambo
Wana jamii wenzang ,wake kwa waume vijana kwa wazee, mabibi na mabwana napenda kufuchuka nafasi ya kuwaalika wote kwenye shughuli fupi ya kupeleka mahali kwa familia ya mchumba wangu iliopo majohe Chuo rada jijini dar-es-salamal, itakayofanyika mida ya saa saba mchana.
Kwa alie na nafasi na yupo Karibu anaalikwa ktk shughuli hiyo cna mengi zaid kwa mawasiliano unaweza not cheki WhatsApp +255785332020, lkn pia unaweza kupiga au kutuma ujumbe wa kawaida kwa namba hiyo hiyo au ukatumia namba hii +255719103409 wote mnakabishwa bila kukosa asanteni sana
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
MmhMchumba wako bikra?
Kisheria za mila na dini huwezi muona mchumba hata kama atakuwepo eneo la tukio,Picha ya mchumba wako tafadhali,huenda akatushawishi kufika kwenye shughuli
Mkija wote mtakuwa mmeonyesha kiasi gani mnajali na kumthamini mwana jf mwenzenu, tukinywa hata maji inatoshakwa mfano tunakwambia tunakuja karibu nusu ya wana jf s itakua hapatoshi??
Nimeweka namba zangu hapo nichekiNipe code namna ya kufika hapo eneo husika
Invitations kama hizi ni very important Sana kuhudhuria kuchukua experience lakini mkuu ungeambatanisha na attachment kabisa ya picha ya shemeji ili kunogesha Uzi na kuhamasisha sisi waalikwa
Au wakulungwa mnasemaje katika hili jamani
Cc ni waislam kwa hiyo hapo ni hakuna utaratibu huo, hata mchumba mwenyewe anaweza akawepo au asiwepo eneo la tukio, na hata akiwepo huwezi kumuona, nafikili hata mm ctakuwepo hapo ni ndugu jamaa na marafiki wa pande A na pande Blakini kama familia ni ya RC basi hapo baada ya kutoa mahali lazima watu watakase makoo hukuu wadogo na wakubwa wa mtolewa mahali wanajipitisha baada ya aibu yako kuisha ni fully kuchukua namba tu na ni rahisi sana maana mood ya siku hiyo ni kupata kama alichopata dada yao
sasa unatualika wa nini sisiCc ni waislam kwa hiyo hapo ni hakuna utaratibu huo, hata mchumba mwenyewe anaweza akawepo au asiwepo eneo la tukio, na hata akiwepo huwezi kumuona, nafikili hata mm ctakuwepo hapo ni ndugu jamaa na marafiki wa pande A na pande B
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Tupo pamoja chief. Mtu akitaka kuchangia atumie namba gan?Shughuli hiyo itafanyika siku ya jumapili ya trh 17/01/2021 Saa saba mchana
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo huna hata picha yake?Kisheria za mila na dini huwezi muona mchumba hata kama atakuwepo eneo la tukio,
Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Namba ya tigo ambayo ni 0719103409Tupo pamoja chief. Mtu akitaka kuchangia atumie namba gan?
Okay mwana. Tupo pamoja Single mwisho Bei gan?