Nawachukia Sana wanawake wapiga mizinga

Akili za kitoto hizi, kwamba single mother wote wana hali ngumu za kiuchumi? Si kweli wapo wengi tu wana kazi zao nzuri tu na wana biashara zao super tu, na wana jeuri ya kukufanya wewe kuwa sex toy yake na akakuhudumia vilevile shida zako ndogondogo.
 
Singo maza kwangu ni haramu
 
Wanawake wengi siku hz wanapiga mizinga na makombora Sana. Bora tulio owa na kukaa na huyo mmoja tu.

Mfano, ukichati na mchapuko... badae akakwambie kwa swali hivi " baby nikwambie kitu"? Ukikosea ukauliza niambie ni kitu gani baby? Ohooo mkuu utasikia bomu hiloooo. So akisema nikwambie kitu jibu sm imeisha charge badae baby..

Asubuh ukimtumia msg, za asubuh mpenz, akijibu mbaya,,, ohooo mkuu usimuulize mbaya kwa nn? Wee mjibu pole bila kuuliza nn maana ukiulkza utasikia bomu buuuuuuu!
 
Afu weekend anampelekea dyudyu baba Og..... kweli mtaraka hatongozwi!!!
 
Namba tatu na sita umerudia kakaπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Inaonekana umekutana nayo sana hio
aaagh ona Sasa nikajua vitu viwili tofauti kumbe kimoja
Bila Ile ninunulie smartphone mwenzio natumia Tecno kitochi Hadi aibu Kwa mashost zangu!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sema tu na ugumu wa kipato na tatizo la kutokuwa waaminifu. Ingekuwa mwanaume awe na girl friend mmoja hakuna haja ya kuombwa hela, ingekuwa tu ni wajibu wako kumtunza.
Sio wajibu kumtunza girlfriend, sijui nani kawadanganya kuwa girlfriend anatunzwa na boyfriend wake. Hivi wazazi wanakuwa wamesahau majukumu ya kumtunza binti yao?
 
Mkuu pendekeza wapi tukakujengee Mnara.
 
Aisee tutafanyaje tena inabidi tuwavumilie tuu kama wanavotuvumilia sisi, kumbuka wao ndio mama zetu na Dada zetuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Haina namna ila inabidi ujiulize kabla ya kumtokea wewe kabla ya hapo alikua anasurvive vipi?
Ndio utakuja gundua Kuna wajinga waligeuzwa fursa Sasa kakupata mjinga mwingine hivyo unakua kwenye list ya nyumbu zake

Wanaume na wavulana wa humu tuache ushamba Hawa viumbe wanatugeuza fursa na makondoo!

Wake up dude!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…