kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
Sio wanawake tu hadi kuna wanaume wanapenda kulialia dah wanaukera
Mwanaume anapiga simu kama mwanamke yaani inakera
Mwanaume anapiga simu kama mwanamke yaani inakera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Acha kutongoza wanawake masikini wewe,upgrade your game!
Mkuu mbona maneno makali sana na we n miongon mwa mababu wa busara humu[emoji2][emoji2][emoji2]Mi nashauri wanaume wenzangu mademu wa dizaini hii unamla na tg ili kuwe na win win situation.[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Wengine ndio starehe yao[emoji848][emoji2827]
Ungefuatilia mtiririko wa hii thread toka mwanzo ungegunduwa kirahisi tu yeye ameandika hiyo para ya mwisho tu.Mkuu mbona maneno makali sana na we n miongon mwa mababu wa busara humu
Anakwambia "baby huyu ni mtoto ni malaika tu ukimuhudumia haina shida kwanza wewe ni kama baba yake pia muhudumie tu ukipenda boga penda na ua lake"Unaambiwa beby huyu si mwanao pia
Kwahio cariha anaesema mapenzi expensive ni umaskini wake kumbe ndo unamfanya awatie gharama wanaume? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha kutongoza wanawake masikini wewe,upgrade your game!
Ahahahah lile jicho kama baba wa kambo 😅Anakwambia "baby huyu ni mtoto ni malaika tu ukimuhudumia haina shida kwanza wewe ni kama baba yake pia muhudumie tu ukipenda boga penda na ua lake"
Vile mi nabaki namungalia huku yeye akiongea[emoji116]
View attachment 1955777
Wahonge tu wao kila mtu ana level zake😅 waacheni wahuni nao wachague size zaoWanaume tafuteni hela acheni kulalamika mapenzi ni kitu expensive sana, Sasa nyie mnapenda kitonga tu Yani buku tano unaaumia wakati wanaume wenzenu wanahonga Hadi magari, viwanja na hawalalamiki.
Sasa hapo kuna wengne unakuwa uwakomoi maana ndio michezo yao hio[emoji2][emoji2][emoji2]Mi nashauri wanaume wenzangu mademu wa dizaini hii unamla na tg ili kuwe na win win situation.[emoji1541][emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Wengine ndio starehe yao[emoji848][emoji2827]
Khaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii, hii notification sikuiona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]miss pablo njoo hapa
Acha uongo, na uhakika haya maandishi umeandika huku nafsi yako ikikusuta kwamba si kweli. Wengi wenu mnapenda pesa.Khaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamanii, hii notification sikuiona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo langu moja tu, i am not pleased with money. Kila muda nasema, mwanamke asiyekupenda atakuomba mpk pumzi zako. Yaan hatokuacha upumzike. Atakuombaaaaaa mpk kerooo
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ona sasa unavyolazimisha... nakuhakikishia, mwabamke anayekupenda hatokyomba hela. Yaana atakuelewa kila situation. Nikutangazie tu, sina njaa ndugu yangu za aina hiyo. Nina uhitaji wa fedha kwakua hela haijawahi kutosha lakini siyo z amfukoni mwa mtu ninayempenda. So usiforce wote tufanane.Acha uongo, na uhakika haya maandishi umeandika huku nafsi yako ikikusuta kwamba si kweli. Wengi wenu mnapenda pesa.
Wewe huyu huyu dunia simama nishuke wewe ndio wa kuandika haya kweli 😅Ona sasa unavyolazimisha... nakuhakikishia, mwabamke anayekupenda hatokyomba hela. Yaana atakuelewa kila situation. Nikutangazie tu, sina njaa ndugu yangu za aina hiyo. Nina uhitaji wa fedha kwakua hela haijawahi kutosha lakini siyo z amfukoni mwa mtu ninayempenda. So usiforce wote tufanane.
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] unanihukumu kisa nimekupeleka kigumu mkuu.? Aah wapi.. kila mahali na swagga zake. Kuna mahali tunatulia tulii[emoji23][emoji23]Wewe huyu huyu dunia simama nishuke wewe ndio wa kuandika haya kweli [emoji28]
😅😅😅😅 huna jeuri ya kunikataa wewe[emoji23][emoji23][emoji23] unanihukumu kisa nimekupeleka kigumu mkuu.? Aah wapi.. kila mahali na swagga zake. Kuna mahali tunatulia tulii[emoji23][emoji23]
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] tena ukawa msukuma ndo kabisaa. Una ng'ombe wangapi kwanza[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] huna jeuri ya kunikataa wewe