Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.

Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na tawala za kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani,kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia ufalme.

Japo uingeraza ni Taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Hiyo dharau yako hata haiwapi shida

Afu acha kuwapangia wenzio Panga Yako
 
Wewe Tangu TZ inapata uhuru mpaka leo hii unaongozwa na CCM... kuna tofauti gan na utawala wa familia ya kifalme tu??
Tunasema nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi, lakin in deep hili swala si la kweli.. CCM itampa madaraka CCM anaefuata, just like utawala wa kifalme kwenye kurithishana madaraka.
 
IMG-20220908-WA0026.jpg
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na tawala za kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia ufalme.

Japo uingeraza ni Taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
As long ni mfumo wa utawala wananchi wa UK waliojichagulia ni sawa, kwani huu mfumo wetu wa Urais umetusaidia nn mpaka sasa zaidi ya kutuletea umaskini uliotukuka?
 
Back
Top Bottom