Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Maisha yao yanagharamiwa na serikali kwa sababu gani ?Wengi hawaelewi hili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maisha yao yanagharamiwa na serikali kwa sababu gani ?Wengi hawaelewi hili
Hao walipa kodi wamekulilia? Mbona unateseka na jambo lisilowatatiza. Si bora uteseke Tanzania kujengewa vyoo vya shule na hao unaolilia wanalisha familia yaoBajeti ya kutunza hiyo familia miak nenda miaka rudi inabebwa na nani kama sio walipa kodi wa Uingereza?
jikiteni kwenye hoja yakeEti kamtu Kako nchi ya dunia ya tatu, nchi ambayo hata maji ya bomba shida,bajeti karibu yote ni hela ya msaada kanaita nchi ambayo inawapa sehemu kubwa ya bajeti Yao primitive! Hio nchi primitive iko mbali yenu miaka 1000
Eti jamani.Wewe Kapuku dharau yako kwa Waingereza haina athari yeyote kwao,sana sana hiyo dharau yako inakutesa wewe mwenyewe tu.
Ndio nimejikita kwenye dharau na u-primitive.jikiteni kwenye hoja yake
Kweli kabisa ndugu.....kwa kifupi akiachwa sana huru baada ya kustawi anaangamia....waliolijua hilo mapema ndio hawa wanapandikiza demokrasia kwenye mataifa masikini huku wao wenyewe demokrasia yao ikiwa mdomono tu.......Wanafalsafa wakubwa duniani kama Socrates, Plato na Marcus Aurelius walikuwa wanaamini kwamba huu mfumo wa Mixed Government (Monarchy, Aristocracy and Democracy) ndiyo njia sahihi kabisa ya kuongoza nchi. Hii ya kuruhusu kila mtu tu anayejua kuongea kuwa kiongozi kwasababu tu watu wengi wanamtaka huleta sana shida kwenye mataifa mengi.
Unakuta hata wale wajinga na maarufu (Demagogues) wanateuliwa na kushika nyadhifa za nchi, ilhali tunafahamu fika kwamba hawana uwezo wala maadili ya kuwa viongozi wa ummah. Hata Marekani kwenyewe hawaruhusu Demokrasia ambayo wanaharakati wetu wanaihubiri.....
Kiuhalisia nchi yetu bado ni changa sana kufuata demokrasia kamilifu na haiwezi kustawi......ukifuatilia historia ya Dunia unagundua kuwa mataifa mengi makubwa wakati yanapigania ustawi wa mataifa yao hawakuwa na demokrasia kwa kuwa wakati mwingine kufuata maoni ya wengi ni kuelekea kwenye kuangamia......Unashauri ili sisi tuwe vizuri tufuate mfumo upi mzee?
Unashauri ili sisi tuwe vizuri tufuate mfumo upi mzee?
Kuna kitu hukijui, siyo kosa lako, hao hiyo familia siyo binadamu wa kawaida, ukitaka kuelewa utawaelewa, wazungu si wajinga kama unavyodhani kila siku wanabadirisha vyama vya kuwaongoza lakini hiyo familia haiguswi, jiulize mwenyewe swali hili kwanza ndio utajuwa wewe ni bure kabisa.Naunga mkono hoja. Yaani eti kuna familia haifanyi kaI yoyote inaabudiwa na kulindwa na waingereza wote. Bure kabisa hwa watu
kweli kabisaa na wao wanashangaa sisi tun a halmashauli kuu ya taifa wao hawana.Kila nchi na mipango yake
Wananchi wenyewe wanapenda hivyo na ikitokea mwanasiasa kuanza kuziaki huo ufalme atashambuliwa na wananchi wenzake kuliko unavyofikiria, haina tofauti sana kama tz spika achane hotuba ya rais mbele yake nafikiri panaweza kuchimbika lkn kwa Marekani hilo ni jambo dogo sana.Bajeti ya kutunza hiyo familia miak nenda miaka rudi inabebwa na nani kama sio walipa kodi wa Uingereza?
Utawala wa kifalme uingereza hauna athari yoyote as long as democrasia yao ipo imara. Kiongozi wa kifalme ni ceremonial leader, hana mamlaka yoyote ya kiutendaji.
Bajeti ya kutunza hiyo familia miak nenda miaka rudi inabebwa na nani kama sio walipa kodi wa Uingereza?
nchi Nyingi zenye Demokrasia ya kweli maendeleo watu ni madogo
1. Nchi za Scandnavia ambazo maendeleo watu ni makubwa wana wafalme, kina Norway, Denmark etc
2. Nchi za Gulf zina wafalme na Masultan
3. mashariki ya Mbali Japan utamkuta Emperor Naruhito
hata nchi ambazo unakuta wananchi wanachagua demokrasia inakuwa kama changa la macho Mfano Democrat na Republican una choice ya wawili tu, chagua left wing ama right wing huna choice ya kufikiria nje ya box.
njoo huku kwetu sasa, fujo pro max.
Uingereza ina kitu kinaitwa Mixed Government (Monarchy, Aristocracy and Democracy). Huu mfumo hauishii kwenye familia ya kifalme peke yake, bali unaenda hata kwenye Bunge lao. Nchini Uingereza mpaka leo hii lina nafasi tisini (90) za wabunge ambao huzirithi kutoka kwa familia zao. Yaani mtu unazaliwa tu tayari una nafasi ya ubinge inakusubiri......
Tena siku hizi wamebadilika, zamani The House Lords (Upper House) ambako wanakaa mabwanyenye walikuwa na uwezo wa kupinga (Power to Veto) miswada na sheria mbalimbali inayotungwa na wabunge ambao wanachaguliwa na raia wa Uingereza (The Commons). Ndiyo maana huwa nawashangaa sana mnavyotamani kuiga hii mifumo ya watu......
NB: Hili la Uingereza halina tofauti sana na kinachoendela kule CHADEMA baina ya Mbowe na Mtei......
Poor Malcom, US ni demokrasia ya kweli na mojawapo ya kale zaidi "katika modern world"Wanafalsafa wakubwa duniani kama Socrates, Plato na Marcus Aurelius walikuwa wanaamini kwamba huu mfumo wa Mixed Government (Monarchy, Aristocracy and Democracy) ndiyo njia sahihi kabisa ya kuongoza nchi. Hii ya kuruhusu kila mtu tu anayejua kuongea kuwa kiongozi kwasababu tu watu wengi wanamtaka huleta sana shida kwenye mataifa mengi.
Unakuta hata wale wajinga na maarufu (Demagogues) wanateuliwa na kushika nyadhifa za nchi, ilhali tunafahamu fika kwamba hawana uwezo wala maadili ya kuwa viongozi wa ummah. Hata Marekani kwenyewe hawaruhusu Demokrasia ambayo wanaharakati wetu wanaihubiri.....
Maisha yao yanagharamiwa na serikali kwa sababu gani ?
Kiuhalisia nchi yetu bado ni changa sana kufuata demokrasia kamilifu na haiwezi kustawi......ukifuatilia historia ya Dunia unagundua kuwa mataifa mengi makubwa wakati yanapigania ustawi wa mataifa yao hawakuwa na demokrasia kwa kuwa wakati mwingine kufuata maoni ya wengi ni kuelekea kwenye kuangamia......
Changamoto yetu sisi huku nchi za Africa wale tuliowaamini tukawapa uongozi wamefunikwa na shuka la ubinafsi na wamevaa miwano ya roho mbaya........