Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Uongo mkubwa ulioandika kwa unadhifu sana

1. Ufalme hakuwahi kuja au kuwepo sehemu kwa watu kuuchagua. Ufalme ulikuwa unaibuka na kujisimika kwa vita, nguvu na kumwaga damu. Hakuna mahali jamii ilichagua kuwa na wafalme dunia hii. Ni ujuha kusema Jafferson aliwaambia Wamarekani wasiige kuwa na ufalme kama Ulaya. Kwanza vita vya uhuru vya Marekani vyenyewe vilikuwa ni kuondokana na Ufalme.
Mfumo wowote uimara wa kiutawala ni lazima uzingatie taasisi asilia (Social Institutions) ambazo zimejengeka kwa muda mrefu ndani ya taifa husika. Hili la kuchukua na kuiga kila kitu kutoka mataifa ya nje ndilo linayagharimu mataifa mengi sana duniani. Jambo linaweza likawa zuri na likafanya kazi nchini Uingereza lakini lisiwe zuri nchini Tanzania. Ndiyo maana tunategemea wasomi wetu wa Tanzania wawe "Empiricists" huku wakiuliza swali hili kabla ya kufanya chochote kile "Will it work ??" and "And Why should it work ??"

Ukisoma historia ya katiba ya Marekani (Constitutional History of the United States) utafahamu kwamba waliiga mambo mengi sana kutoka nchini Uingereza. Kuanzia mgawanyo wa madaraka (Separation of Powers), mfumo wa sheria na utoaji haki (Legal System/The Common Law System) na mfumo wa haki za binadamu (Bill of Rights) lakini kuna mambo mengi hawakuiga. Wao badala ya kuweka Mfalme kama baadhi walivyotaka wenyewe wakaweka Raisi anayeteuliwa. Badala ya kuwa na dini ya taifa kama Uingereza (State Religion) wakina Thomas Jefferson wakaingia maktaba na kutafuta mfumo ambao ungelifaa taifa la Marekani.

Thomas Jefferson ndiyo aliyewashauri Wamarekani waachane na kuiga mifumo ya Ulaya na kuanza kusema Marekani ni taifa la kikristo. Hili alilifanyia majaribio alivyokuwa anaandika katika ya jimboni kwake Virginia. Kama wangeiga, hili lingewavuruga kabisa. Jefferson akaamua kuiga mfumo wa Sheria wa Mongolia (The Ikh Yasa) uliotungwa na Tamujin a.k.a Ghengis Khan miaka zaidi ya 700 iliyopita. Ndiyo ukaona Marekani likawa ndiyo taifa la kwanza kabisa la Magharibi kuruhusu uhuru wa kuabudu (Freedom of Religion), kitu ambacho kiliwahi kufanywa na taifa la Mongolia peke yake.

Jefferson akaenda mbali zaidi na kuanzisha THE ELECTORAL COLLEGE ili kuhakikisha serikali haishikiliwi na wajinga wajinga tu (Demagogues). Eti kila mtu ambaye ni maarufu basi tumpe nchi kisa kapata kura nyingi. Hili limesaidia sana nchini Marekani kuwafunga spidi gavana baadhi ya watu. Sasa huku Tanzania utasikia mara, tuige Uingereza, tuige Marekani, tuinge Singapore, na tuige hadi Kenya (Yaani Kenya ni ya kuigwa kweli ???), bila kujiuliza swali la msingi kabisa "Will it work here ???"

Sasa mlianza na Ujamaa, mkalimbikiza nguvu zote za dola kwa mtu moja (Raisi Mfalme/Imperial Presidency). Hili likawashinda vibaya na mpaka leo hii mnaisoma namba na mnataka Raisi apunguziwe madaraka. Lakini, kule Marekani Raisi Mfalme (Imperial Presidency) imefanikiwa vizuri sana kwasababu wana BUNGE na MAHAKAMA Imara, pia raia wengi wa Marekani ni watu wenye uelewa mpana wa mambo tofauti na Tanzania ambako vyama vinawaamulia raia kitu.

Sasa, hili ndilo mnatakiwa wasomi mliangalie. Mimi sitawaambia ni mfumo upi unafaa kwa Tanzania, nilichofanya ni kutoa mwongozo tu. CHADEMA wanataka sera ya majimbo, tena wanataka na serikali tatu na wameigeuza hii kama ndiyo ajenda ya watanzania wote (Well and good. But will it work ??). Kule Marekani majimbo yalifanikiwa kwasababu zile zilikuwa ni nchi huru, huku mnataka majimbo yawe kimikoa na kikanda ambako bahati mbaya sana kila mkoa hukaliwa na kabila fulani.

CCM wanataka Chama kushika hatamu (Party Supremacy) na kulimbikiza madaraka (Centralization) kama kule Uchina, lakini bahati mbaya sana hawana mfumo imara wa Serikali za Mitaa ( Local Government) ambao ndiyo chombo muhimu kinachofanya kazi kuhakikisha wananchi wa kawaida na viongozi wa huku chini wanafanya kazi moja kwa moja na Serikali Kuu (Central Government). Serikali za mitaa za Uchina zina nguvu kubwa mnoo na ziko huru (Autonomous) , ndiyo maana mfumo wao unafanikiwa. Sisi Tanzania kuna kipindi Mzee Nyerere aliamka amevurugwa tu akaamua kufuta serikali za mitaa. Baada ya muda yakamshinda akaamua kuzirudisha.

NB 1: Tukikata kutoka hapa ni lazima kwanza tuifahamu Tanzania hii vizuri na jamii yake, siyo kuiga-iga kila kitu tunachosoma darasani au kuoana kwenye televisheni, halafu tunataka kutengeneza A CARBON COPY OF FOREIGN MODELS. Mimi nawakubali sana wapinzani, lakini kuna wakati ukiwasikiliza wanaharakati wao unabaki tu mdomo wazi. Haya angalia kali ya leo aliyotuletea ndugu Salary Slip....

NB 2: Hivi unafahamu kwanini IRAN mbali na matatizo yao wanafanikiwa kuliko nchi nyingi za kiislamu ??? Ni kwasababu, tofauti na falme nyingine na mataifa mengine ya kiislamu, waajemi wametengeneza serikali mchanganyiko (A Mixed Government) ambayo inazingatia tamaduni za waajemi ambazo zimedumu kwa miaka zaidi ya 6000. Wamechanganya (Theocracy, Democracy and Aristocracy ). Tofauti na Saudi Arabia, Qatar au U.A.E ambako ni aidha utii SHARIA LAW au upigwe JAMBIA, Iran wameweza kuweka uwaiano mzuri biana ya sheria za dini na zile za kiraia.

Nchi kama hii ambayo kila mtu ana sehemu yake ni ngumu kuifanyia uzandiki (Subversion) na hujuma (Sabotage) za kisiasa. Khomeini kafa lakini nchi inadunda tu......Sisemi kwamba huu ndiyo mfumo sahihi (Ideal Model), lakini walau umeonyesha kufanya kazi kuliko mataifa mengine kama yetu ambapo Raisi akifa tu, anakuja mwingine na mambo yake. Mwishowe nchi inajaa vurugu na hakuna kinachoendelea. Hebu angalia kinachoendelea saa hizi hapa nchini.....
 
2.Ni ujuha kufikri Wamarekani wameiga mambo ya Mongol empire,
Kama kuna Empires ambazo zilifanikiwa sana kidunia "global empires" ni British Empire na Spanish Empires ambazo zilikuwa za kidini kabisa. Hizo ndizo global Empires zilizoacha legasi kubwa na ya kudumu DUNIANI KOTE.
Mambo ya kidini hayakuingia kwenye katiba na mifumo ya Marekani kwa sababu founding fathers wake wengi walikuwa na imani tofauti na wengine hata imani zao halisi hazijulikani mpaka leo, pia wahamiaji wengi waliokimbilia katika makolini ya US kutokea Ulaya walienda kutafuta uhuru mkubwa zaidi wa kidini, Common sense tu ingekuambia kuingiza mambo ya dini kungeleta mvurugano na hivyo busara ilikuwa kuyaeupuka masuala ya dini.
Mfumo wowote uimara wa kiutawala ni lazima uzingatie taasisi asilia (Social Institutions) ambazo zimejengeka kwa muda mrefu ndani ya taifa husika. Hili la kuchukua na kuiga kila kitu kutoka mataifa ya nje ndilo linayagharimu mataifa mengi sana duniani. Jambo linaweza likawa zuri na likafanya kazi nchini Uingereza lakini lisiwe zuri nchini Tanzania. Ndiyo maana tunategemea wasomi wetu wa Tanzania wawe "Empiricists" huku wakiuliza swali hili kabla ya kufanya chochote kile "Will it work ??" and "And Why should it work ??"

Ukisoma historia ya katiba ya Marekani (Constitutional History of the United States) utafahamu kwamba waliiga mambo mengi sana kutoka nchini Uingereza. Kuanzia mgawanyo wa madaraka (Separation of Powers), mfumo wa sheria na utoaji haki (Legal System/The Common Law System) na mfumo wa haki za binadamu (Bill of Rights) lakini kuna mambo mengi hawakuiga. Wao badala ya kuweka Mfalme kama baadhi walivyotaka wenyewe wakaweka Raisi anayeteuliwa. Badala ya kuwa na dini ya taifa kama Uingereza (State Religion) wakina Thomas Jefferson wakaingia maktaba na kutafuta mfumo ambao ungelifaa taifa la Marekani.

Thomas Jefferson ndiyo aliyewashauri Wamarekani waachane na kuiga mifumo ya Ulaya na kuanza kusema Marekani ni taifa la kikristo. Hili alilifanyia majaribio alivyokuwa anaandika katika ya jimboni kwake Virginia. Kama wangeiga, hili lingewavuruga kabisa. Jefferson akaamua kuiga mfumo wa Sheria wa Mongolia (The Ikh Yasa) uliotungwa na Tamujin a.k.a Ghengis Khan miaka zaidi ya 700 iliyopita. Ndiyo ukaona Marekani likawa ndiyo taifa la kwanza kabisa la Magharibi kuruhusu uhuru wa kuabudu (Freedom of Religion), kitu ambacho kiliwahi kufanywa na taifa la Mongolia peke yake.

Jefferson akaenda mbali zaidi na kuanzisha THE ELECTORAL COLLEGE ili kuhakikisha serikali haishikiliwi na wajinga wajinga tu (Demagogues). Eti kila mtu ambaye ni maarufu basi tumpe nchi kisa kapata kura nyingi. Hili limesaidia sana nchini Marekani kuwafunga spidi gavana baadhi ya watu. Sasa huku Tanzania utasikia mara, tuige Uingereza, tuige Marekani, tuinge Singapore, na tuige hadi Kenya (Yaani Kenya ni ya kuigwa kweli ???), bila kujiuliza swali la msingi kabisa "Will it work here ???"

Sasa mlianza na Ujamaa, mkalimbikiza nguvu zote za dola kwa mtu moja (Raisi Mfalme/Imperial Presidency). Hili likawashinda vibaya na mpaka leo hii mnaisoma namba na mnataka Raisi apunguziwe madaraka. Lakini, kule Marekani Raisi Mfalme (Imperial Presidency) imefanikiwa vizuri sana kwasababu wana BUNGE na MAHAKAMA Imara, pia raia wengi wa Marekani ni watu wenye uelewa mpana wa mambo tofauti na Tanzania ambako vyama vinawaamulia raia kitu.

Sasa, hili ndilo mnatakiwa wasomi mliangalie. Mimi sitawaambia ni mfumo upi unafaa kwa Tanzania, nilichofanya ni kutoa mwongozo tu. CHADEMA wanataka sera ya majimbo, tena wanataka na serikali tatu na wameigeuza hii kama ndiyo ajenda ya watanzania wote (Well and good. But will it work ??). Kule Marekani majimbo yalifanikiwa kwasababu zile zilikuwa ni nchi huru, huku mnataka majimbo yawe kimikoa na kikanda ambako bahati mbaya sana kila mkoa hukaliwa na kabila fulani.

CCM wanataka Chama kushika hatamu (Party Supremacy) na kulimbikiza madaraka (Centralization) kama kule Uchina, lakini bahati mbaya sana hawana mfumo imara wa Serikali za Mitaa ( Local Government) ambao ndiyo chombo muhimu kinachofanya kazi kuhakikisha wananchi wa kawaida na viongozi wa huku chini wanafanya kazi moja kwa moja na Serikali Kuu (Central Government). Serikali za mitaa za Uchina zina nguvu kubwa mnoo na ziko huru (Autonomous) , ndiyo maana mfumo wao unafanikiwa. Sisi Tanzania kuna kipindi Mzee Nyerere aliamka amevurugwa tu akaamua kufuta serikali za mitaa. Baada ya muda yakamshinda akaamua kuzirudisha.

NB 1: Tukikata kutoka hapa ni lazima kwanza tuifahamu Tanzania hii vizuri na jamii yake, siyo kuiga-iga kila kitu tunachosoma darasani au kuoana kwenye televisheni, halafu tunataka kutengeneza A CARBON COPY OF FOREIGN MODELS. Mimi nawakubali sana wapinzani, lakini kuna wakati ukiwasikiliza wanaharakati wao unabaki tu mdomo wazi. Haya angalia kali ya leo aliyotuletea ndugu Salary Slip....

NB 2: Hivi unafahamu kwanini IRAN mbali na matatizo yao wanafanikiwa kuliko nchi nyingi za kiislamu ??? Ni kwasababu, tofauti na falme nyingine na mataifa mengine ya kiislamu, waajemi wametengeneza serikali mchanganyiko (A Mixed Government) ambayo inazingatia tamaduni za waajemi ambazo zimedumu kwa miaka zaidi ya 6000. Wamechanganya (Theocracy, Democracy and Aristocracy ). Tofauti na Saudi Arabia, Qatar au U.A.E ambako ni aidha utii SHARIA LAW au upigwe JAMBIA, Iran wameweza kuweka uwaiano mzuri biana ya sheria za dini na zile za kiraia.

Nchi kama hii ambayo kila mtu ana sehemu yake ni ngumu kuifanyia uzandiki (Subversion) na hujuma (Sabotage) za kisiasa. Khomeini kafa lakini nchi inadunda tu......Sisemi kwamba huu ndiyo mfumo sahihi (Ideal Model), lakini walau umeonyesha kufanya kazi kuliko mataifa mengine kama yetu ambapo Raisi akifa tu, anakuja mwingine na mambo yake. Mwishowe nchi inajaa vurugu na hakuna kinachoendelea. Hebu angalia kinachoendelea saa hizi hapa nchini.....
 
Naunga mkono hoja. Yaani eti kuna familia haifanyi kaI yoyote inaabudiwa na kulindwa na waingereza wote. Bure kabisa hwa watu
Wameipata hiyo nafasi kwa njia ya upanga sio zawadi , baba wa eliza aliefarik jana aliuwawa kwa kukatwa kichwa
 
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised,
Salary Slip , Uko sahihi kabisa. Huu utawala wa kizazi kimoja wa kifalme, tunao vile vile kwa nchi zetu ambazo ni highly undemocratic. Muundo wa kifalme uko kwa njia nyingine ya mlango wa nyuma. Kikundi kidogo cha watu wa CCM kwa mfano, kinajiweka madarakani kwa kutumia nguvu za dola na hivyo kuwatawala watanzania kama malkia anavyowatawala waingereza kwa kutumia kikundi cha familia yake. As long as hakuna demokrasia, basi utawala wa kifalme kwa njia ya mlango wa nyuma iko pale pale.
Unapokuwa na Imperial president aliyewekwa na Katiba mbovu ya CCM/Nyerere, huo ni ufalme sawasawa na wa Kifalme wa Uingereza.
kabudi anafika mahali anamuita Magufuli Mungu! Ndio ufalme wenyewe...
 
3.THE ELECTORAL COLLEGE haikuweka ili kuhakikisha serikali ya US haishikiliwi na wajinga wajinga tu (Demagogues). Huu ni uongo mkubwa na hapa nakufananisha na wale ma DJ watafsiri wa movies za vibanda umiza. Electoral College iliwekwa ili kushawishwi majimbo madogo nayo yaingie kwenye federation na kuleta utangamano kwa kuyahakikishia kura zao zitakuwa na uzito na hayatamezwa na majimbo makubwa yenye idadi kubwa ya watu katika federation.
Mfumo wowote uimara wa kiutawala ni lazima uzingatie taasisi asilia (Social Institutions) ambazo zimejengeka kwa muda mrefu ndani ya taifa husika. Hili la kuchukua na kuiga kila kitu kutoka mataifa ya nje ndilo linayagharimu mataifa mengi sana duniani. Jambo linaweza likawa zuri na likafanya kazi nchini Uingereza lakini lisiwe zuri nchini Tanzania. Ndiyo maana tunategemea wasomi wetu wa Tanzania wawe "Empiricists" huku wakiuliza swali hili kabla ya kufanya chochote kile "Will it work ??" and "And Why should it work ??"

Ukisoma historia ya katiba ya Marekani (Constitutional History of the United States) utafahamu kwamba waliiga mambo mengi sana kutoka nchini Uingereza. Kuanzia mgawanyo wa madaraka (Separation of Powers), mfumo wa sheria na utoaji haki (Legal System/The Common Law System) na mfumo wa haki za binadamu (Bill of Rights) lakini kuna mambo mengi hawakuiga. Wao badala ya kuweka Mfalme kama baadhi walivyotaka wenyewe wakaweka Raisi anayeteuliwa. Badala ya kuwa na dini ya taifa kama Uingereza (State Religion) wakina Thomas Jefferson wakaingia maktaba na kutafuta mfumo ambao ungelifaa taifa la Marekani.

Thomas Jefferson ndiyo aliyewashauri Wamarekani waachane na kuiga mifumo ya Ulaya na kuanza kusema Marekani ni taifa la kikristo. Hili alilifanyia majaribio alivyokuwa anaandika katika ya jimboni kwake Virginia. Kama wangeiga, hili lingewavuruga kabisa. Jefferson akaamua kuiga mfumo wa Sheria wa Mongolia (The Ikh Yasa) uliotungwa na Tamujin a.k.a Ghengis Khan miaka zaidi ya 700 iliyopita. Ndiyo ukaona Marekani likawa ndiyo taifa la kwanza kabisa la Magharibi kuruhusu uhuru wa kuabudu (Freedom of Religion), kitu ambacho kiliwahi kufanywa na taifa la Mongolia peke yake.

Jefferson akaenda mbali zaidi na kuanzisha THE ELECTORAL COLLEGE ili kuhakikisha serikali haishikiliwi na wajinga wajinga tu (Demagogues). Eti kila mtu ambaye ni maarufu basi tumpe nchi kisa kapata kura nyingi. Hili limesaidia sana nchini Marekani kuwafunga spidi gavana baadhi ya watu. Sasa huku Tanzania utasikia mara, tuige Uingereza, tuige Marekani, tuinge Singapore, na tuige hadi Kenya (Yaani Kenya ni ya kuigwa kweli ???), bila kujiuliza swali la msingi kabisa "Will it work here ???"

Sasa mlianza na Ujamaa, mkalimbikiza nguvu zote za dola kwa mtu moja (Raisi Mfalme/Imperial Presidency). Hili likawashinda vibaya na mpaka leo hii mnaisoma namba na mnataka Raisi apunguziwe madaraka. Lakini, kule Marekani Raisi Mfalme (Imperial Presidency) imefanikiwa vizuri sana kwasababu wana BUNGE na MAHAKAMA Imara, pia raia wengi wa Marekani ni watu wenye uelewa mpana wa mambo tofauti na Tanzania ambako vyama vinawaamulia raia kitu.

Sasa, hili ndilo mnatakiwa wasomi mliangalie. Mimi sitawaambia ni mfumo upi unafaa kwa Tanzania, nilichofanya ni kutoa mwongozo tu. CHADEMA wanataka sera ya majimbo, tena wanataka na serikali tatu na wameigeuza hii kama ndiyo ajenda ya watanzania wote (Well and good. But will it work ??). Kule Marekani majimbo yalifanikiwa kwasababu zile zilikuwa ni nchi huru, huku mnataka majimbo yawe kimikoa na kikanda ambako bahati mbaya sana kila mkoa hukaliwa na kabila fulani.

CCM wanataka Chama kushika hatamu (Party Supremacy) na kulimbikiza madaraka (Centralization) kama kule Uchina, lakini bahati mbaya sana hawana mfumo imara wa Serikali za Mitaa ( Local Government) ambao ndiyo chombo muhimu kinachofanya kazi kuhakikisha wananchi wa kawaida na viongozi wa huku chini wanafanya kazi moja kwa moja na Serikali Kuu (Central Government). Serikali za mitaa za Uchina zina nguvu kubwa mnoo na ziko huru (Autonomous) , ndiyo maana mfumo wao unafanikiwa. Sisi Tanzania kuna kipindi Mzee Nyerere aliamka amevurugwa tu akaamua kufuta serikali za mitaa. Baada ya muda yakamshinda akaamua kuzirudisha.

NB 1: Tukikata kutoka hapa ni lazima kwanza tuifahamu Tanzania hii vizuri na jamii yake, siyo kuiga-iga kila kitu tunachosoma darasani au kuoana kwenye televisheni, halafu tunataka kutengeneza A CARBON COPY OF FOREIGN MODELS. Mimi nawakubali sana wapinzani, lakini kuna wakati ukiwasikiliza wanaharakati wao unabaki tu mdomo wazi. Haya angalia kali ya leo aliyotuletea ndugu Salary Slip....

NB 2: Hivi unafahamu kwanini IRAN mbali na matatizo yao wanafanikiwa kuliko nchi nyingi za kiislamu ??? Ni kwasababu, tofauti na falme nyingine na mataifa mengine ya kiislamu, waajemi wametengeneza serikali mchanganyiko (A Mixed Government) ambayo inazingatia tamaduni za waajemi ambazo zimedumu kwa miaka zaidi ya 6000. Wamechanganya (Theocracy, Democracy and Aristocracy ). Tofauti na Saudi Arabia, Qatar au U.A.E ambako ni aidha utii SHARIA LAW au upigwe JAMBIA, Iran wameweza kuweka uwaiano mzuri biana ya sheria za dini na zile za kiraia.

Nchi kama hii ambayo kila mtu ana sehemu yake ni ngumu kuifanyia uzandiki (Subversion) na hujuma (Sabotage) za kisiasa. Khomeini kafa lakini nchi inadunda tu......Sisemi kwamba huu ndiyo mfumo sahihi (Ideal Model), lakini walau umeonyesha kufanya kazi kuliko mataifa mengine kama yetu ambapo Raisi akifa tu, anakuja mwingine na mambo yake. Mwishowe nchi inajaa vurugu na hakuna kinachoendelea. Hebu angalia kinachoendelea saa hizi hapa nchini.....
 
Waingereza wenyewe hawana neno juu ya utawala wao, wewe Mtanzania uliyeko hapo itigi uliyeshiba makande unawakosoa.
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingireza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Kabla ya kudharau take trouble kujifunza huo utawala uliwatoa wapi na kuwafikisha wapi
 
4.Ni ujuha na upotoshaji kusema Marekani ina "Imperial Presidency"/ Urais wa kifalme.
Kama kuna taifa ambalo Rais wake ana check kubwa kutoka mihimili mengine ni Marekani,
Bunge na Mahakama ya Marekani vina nguvu kubwa kuliko sehemu yoyote nyingine duniani na vinaweza kukwamisha au kuzuia ajenda, bajeti, miswaada na sera kubwa za Raisi wa Marekani zinapokuwa kinyume naye.

Rais wa Marekani hata katika uteuzi wake wa viongozi wa taasisi zote unadhibitiwa vikali sana na Seneti ndio maana huoni akiteua au akifukuza watu muhimu serikalini hovyo. Biden amekaa mwaka mzima bila kuwa na uwezo wa kubadilisha mkuu wa shirika la Posta asiyependwa na Wademokrati wenzake
Hapa bado sijazungumzia mfumo wa majimbo ambao katiba haimpi ruhusa Rais ya kuingilia mamlaka zake.
Mfumo wowote uimara wa kiutawala ni lazima uzingatie taasisi asilia (Social Institutions) ambazo zimejengeka kwa muda mrefu ndani ya taifa husika. Hili la kuchukua na kuiga kila kitu kutoka mataifa ya nje ndilo linayagharimu mataifa mengi sana duniani. Jambo linaweza likawa zuri na likafanya kazi nchini Uingereza lakini lisiwe zuri nchini Tanzania. Ndiyo maana tunategemea wasomi wetu wa Tanzania wawe "Empiricists" huku wakiuliza swali hili kabla ya kufanya chochote kile "Will it work ??" and "And Why should it work ??"

Ukisoma historia ya katiba ya Marekani (Constitutional History of the United States) utafahamu kwamba waliiga mambo mengi sana kutoka nchini Uingereza. Kuanzia mgawanyo wa madaraka (Separation of Powers), mfumo wa sheria na utoaji haki (Legal System/The Common Law System) na mfumo wa haki za binadamu (Bill of Rights) lakini kuna mambo mengi hawakuiga. Wao badala ya kuweka Mfalme kama baadhi walivyotaka wenyewe wakaweka Raisi anayeteuliwa. Badala ya kuwa na dini ya taifa kama Uingereza (State Religion) wakina Thomas Jefferson wakaingia maktaba na kutafuta mfumo ambao ungelifaa taifa la Marekani.

Thomas Jefferson ndiyo aliyewashauri Wamarekani waachane na kuiga mifumo ya Ulaya na kuanza kusema Marekani ni taifa la kikristo. Hili alilifanyia majaribio alivyokuwa anaandika katika ya jimboni kwake Virginia. Kama wangeiga, hili lingewavuruga kabisa. Jefferson akaamua kuiga mfumo wa Sheria wa Mongolia (The Ikh Yasa) uliotungwa na Tamujin a.k.a Ghengis Khan miaka zaidi ya 700 iliyopita. Ndiyo ukaona Marekani likawa ndiyo taifa la kwanza kabisa la Magharibi kuruhusu uhuru wa kuabudu (Freedom of Religion), kitu ambacho kiliwahi kufanywa na taifa la Mongolia peke yake.

Jefferson akaenda mbali zaidi na kuanzisha THE ELECTORAL COLLEGE ili kuhakikisha serikali haishikiliwi na wajinga wajinga tu (Demagogues). Eti kila mtu ambaye ni maarufu basi tumpe nchi kisa kapata kura nyingi. Hili limesaidia sana nchini Marekani kuwafunga spidi gavana baadhi ya watu. Sasa huku Tanzania utasikia mara, tuige Uingereza, tuige Marekani, tuinge Singapore, na tuige hadi Kenya (Yaani Kenya ni ya kuigwa kweli ???), bila kujiuliza swali la msingi kabisa "Will it work here ???"

Sasa mlianza na Ujamaa, mkalimbikiza nguvu zote za dola kwa mtu moja (Raisi Mfalme/Imperial Presidency). Hili likawashinda vibaya na mpaka leo hii mnaisoma namba na mnataka Raisi apunguziwe madaraka. Lakini, kule Marekani Raisi Mfalme (Imperial Presidency) imefanikiwa vizuri sana kwasababu wana BUNGE na MAHAKAMA Imara, pia raia wengi wa Marekani ni watu wenye uelewa mpana wa mambo tofauti na Tanzania ambako vyama vinawaamulia raia kitu.

Sasa, hili ndilo mnatakiwa wasomi mliangalie. Mimi sitawaambia ni mfumo upi unafaa kwa Tanzania, nilichofanya ni kutoa mwongozo tu. CHADEMA wanataka sera ya majimbo, tena wanataka na serikali tatu na wameigeuza hii kama ndiyo ajenda ya watanzania wote (Well and good. But will it work ??). Kule Marekani majimbo yalifanikiwa kwasababu zile zilikuwa ni nchi huru, huku mnataka majimbo yawe kimikoa na kikanda ambako bahati mbaya sana kila mkoa hukaliwa na kabila fulani.

CCM wanataka Chama kushika hatamu (Party Supremacy) na kulimbikiza madaraka (Centralization) kama kule Uchina, lakini bahati mbaya sana hawana mfumo imara wa Serikali za Mitaa ( Local Government) ambao ndiyo chombo muhimu kinachofanya kazi kuhakikisha wananchi wa kawaida na viongozi wa huku chini wanafanya kazi moja kwa moja na Serikali Kuu (Central Government). Serikali za mitaa za Uchina zina nguvu kubwa mnoo na ziko huru (Autonomous) , ndiyo maana mfumo wao unafanikiwa. Sisi Tanzania kuna kipindi Mzee Nyerere aliamka amevurugwa tu akaamua kufuta serikali za mitaa. Baada ya muda yakamshinda akaamua kuzirudisha.

NB 1: Tukikata kutoka hapa ni lazima kwanza tuifahamu Tanzania hii vizuri na jamii yake, siyo kuiga-iga kila kitu tunachosoma darasani au kuoana kwenye televisheni, halafu tunataka kutengeneza A CARBON COPY OF FOREIGN MODELS. Mimi nawakubali sana wapinzani, lakini kuna wakati ukiwasikiliza wanaharakati wao unabaki tu mdomo wazi. Haya angalia kali ya leo aliyotuletea ndugu Salary Slip....

NB 2: Hivi unafahamu kwanini IRAN mbali na matatizo yao wanafanikiwa kuliko nchi nyingi za kiislamu ??? Ni kwasababu, tofauti na falme nyingine na mataifa mengine ya kiislamu, waajemi wametengeneza serikali mchanganyiko (A Mixed Government) ambayo inazingatia tamaduni za waajemi ambazo zimedumu kwa miaka zaidi ya 6000. Wamechanganya (Theocracy, Democracy and Aristocracy ). Tofauti na Saudi Arabia, Qatar au U.A.E ambako ni aidha utii SHARIA LAW au upigwe JAMBIA, Iran wameweza kuweka uwaiano mzuri biana ya sheria za dini na zile za kiraia.

Nchi kama hii ambayo kila mtu ana sehemu yake ni ngumu kuifanyia uzandiki (Subversion) na hujuma (Sabotage) za kisiasa. Khomeini kafa lakini nchi inadunda tu......Sisemi kwamba huu ndiyo mfumo sahihi (Ideal Model), lakini walau umeonyesha kufanya kazi kuliko mataifa mengine kama yetu ambapo Raisi akifa tu, anakuja mwingine na mambo yake. Mwishowe nchi inajaa vurugu na hakuna kinachoendelea. Hebu angalia kinachoendelea saa hizi hapa nchini.....
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingireza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Kwanza jielewe wewe,
Nchi yako,ina maziwa,mito,ardhi kubwa yenye rutuba,lakini inapewa msaada wa pesa na Japan wa kununulia chakula!!tunapewa msaada wa chakula na nchi za kiarab zilizopo jangwani!!ni nchi ambayo waziri wake anaenda kukutana na waziri wa nchi fadhili Ili kuomba mkopo,waziri wa bongo anaenda na V8 la milioni 400!waziri mtoa pesa anakuja na baiskeli!!!
Ishangae nchi yako,Raisi anatumia msafara wa magari 60!!
 
Bajeti ya kutunza hiyo familia miak nenda miaka rudi inabebwa na nani kama sio walipa kodi wa Uingereza?
Ndugu yangu huko usiende. Si bora hata hiyo budget inayotunza familia ya kifalme maana hapo kuna waingereza wengi watanufaika kwa kupata ajira, biashara ya ndani na maisha ya ya watu wengi sana yataneemeka.
Lakini jiulize hivi walipa kodi wa Uingereza no nchi zingine wanaoichangia budget ya nchi hii almost 60% na wakafahamu matumizi ya kijinga na ufujaji unaofanyika hapa kwetu watajisikiaje?
Mimi nadhani kama tunawa hurumia UK tax payers, tuwashauri waache kuipa misaada ya kibajeti ya serikali ya CCM kwanza kabla ya kuingilia maisha yao ya ndani maana wanayafurahia na haijapata kuwa mzigo kwao.
 
Hapo Chadema hamna Mfalme?
Nadhani umefika wakati upewe utambuzi wa jitihada zako za kuibadili JF kutoka kuwa "The home of great thinkers" na kuwa "The house of Comedian".
Ila sijui kama utafanikiwa maana kuna watu wamewekeza kuifanya JF itambuliwe ilivyo sasa.
Mtu mwenye akili timamu huwezi kuwa unatumia 2/3 ya muda wako kuwa JF na kuandika mizaha tuu.
 
Very poor timing ya hiki ulichoandika hapa, expect the backlash hata kama una hoja.
Mmechotwa akili na wazungu na kuamini kila chao ni bora wakati nyie leo hii tawala zenu za kina Mkwakwa na wengineo mnazidharau. Sisi ni mavichwa ya kushikiwa. Tumetawaliwa mwili hadi akili..
 
Nadhani umefika wakati upewe utambuzi wa jitihada zako za kuibadili JF kutoka kuwa "The home of great thinkers" na kuwa "The house of Comedian".
Ila sijui kama utafanikiwa maana kuna watu wamewekeza kuifanya JF itambuliwe ilivyo sasa.
Mtu mwenye akili timamu huwezi kuwa unatumia 2/3 ya muda wako kuwa JF na kuandika mizaha tuu.
Hilo ni chizi
 
Kuna kitu hukijui, siyo kosa lako, hao hiyo familia siyo binadamu wa kawaida, ukitaka kuelewa utawaelewa, wazungu si wajinga kama unavyodhani kila siku wanabadirisha vyama vya kuwaongoza lakini hiyo familia haiguswi, jiulize mwenyewe swali hili kwanza ndio utajuwa wewe ni bure kabisa.

Vatican imewashindwa hawa Kwa hiyo kaa kitako kwa kutulia, huna unalolijuwa.
Mbona umeishia kutoa ngonjera za kwenye vijiwe vya kahawa badala ya kutoa japo elimu kidogo ya kile unachokijua?

Itakuwa umememezeshwa na teja mwenzio hicho ulichoandika lkn huna unachokijua na hujui kwamba hujui
 
Wameipata hiyo nafasi kwa njia ya upanga sio zawadi , baba wa eliza aliefarik jana aliuwawa kwa kukatwa kichwa
Kwahiyo? Wanajeshi wangapi wanauawa vitani mbona familia zao hazipewi hiiyo hongo ya uongozi wa kudumu?
 
Nani anapokea rambi rambi ya msiba wa malkia Elizabeth? Tujitahidi kuchangia, wasije wakashindwa kusafirisha na kuzika mwili wa mpendwa wao.wana JF.
 
Back
Top Bottom