lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,479
Maajabu mtanganyika anaidharau nchi ambayo inamsaidia Hadi hela ya kununua dawati za wanafunzi.
Miaka 60 ya Uhuru bado watu wanaumwa malaria, huu muda WA kudharau system ya kifalme na kimalkia ya Uingereza ungeitumia kupendekeza namna gani ya kuiboresha nchi yako
Miaka 60 ya Uhuru bado watu wanaumwa malaria, huu muda WA kudharau system ya kifalme na kimalkia ya Uingereza ungeitumia kupendekeza namna gani ya kuiboresha nchi yako