Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Maajabu mtanganyika anaidharau nchi ambayo inamsaidia Hadi hela ya kununua dawati za wanafunzi.


Miaka 60 ya Uhuru bado watu wanaumwa malaria, huu muda WA kudharau system ya kifalme na kimalkia ya Uingereza ungeitumia kupendekeza namna gani ya kuiboresha nchi yako
 
Eti kamtu Kako nchi ya dunia ya tatu, nchi ambayo hata maji ya bomba shida,bajeti karibu yote ni hela ya msaada kanaita nchi ambayo inawapa sehemu kubwa ya bajeti Yao primitive! Hio nchi primitive iko mbali yenu miaka 1000
[emoji1][emoji1][emoji1]

Akili za waafrica tuna shida. Ukute kako zake huko Namtumbo kamefanikiwa kupata simu ya Internet kanajiona kako UK
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingireza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Mbona sisi hatuna utawala wa kifalme wakati tumerithi mfumo wa utawala wa mkoloni Mwingereza?
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingireza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Ungeanza kujidharau wewe kwanza kwa kuuendeleza utawala wa CCM.
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingireza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Na wenyewe wanakudharau ile mbaya kwani unatumia fake ID lakini wanakutambua, ngoja siku utie miguu katika ofisi zao utaomba ardhi ipasuke uingie
 
Naunga mkono hoja. Yaani eti kuna familia haifanyi kaI yoyote inaabudiwa na kulindwa na waingereza wote. Bure kabisa hwa watu
Ulimwengu ndivyo ulivyo, hata nchi zenu za Afrika nyingi ni kupeana kama umezaliwa familia ya makapuku kwenye systems hasa kula keki ya Taifa unatakiwa usahau utaishia kupiga kura na kuwa balozi wa nyumba 50
 
nchi Nyingi zenye Demokrasia ya kweli maendeleo watu ni madogo

1. Nchi za Scandnavia ambazo maendeleo watu ni makubwa wana wafalme, kina Norway, Denmark etc
2. Nchi za Gulf zina wafalme na Masultan
3. mashariki ya Mbali Japan utamkuta Emperor Naruhito

hata nchi ambazo unakuta wananchi wanachagua demokrasia inakuwa kama changa la macho Mfano Democrat na Republican una choice ya wawili tu, chagua left wing ama right wing huna choice ya kufikiria nje ya box.

njoo huku kwetu sasa, fujo pro max.
Ongezea na brunei Wana maisha safi chin ya ufalme.

Hapa bongo yanadanganywa na wazungu eti demokrasia ambayo Ina matumizi mengi ya kiuendaji kunufaisha watu wachache ,kila kanda Ina chama chake cha siasa watu sio wamoja ,mablaa kibao ,visasi vya kisiasa, kuzushiana uongo na propaganda hamna.

Mtaji wa wanasiasa ni uongo na sio elimu ,hata elimu chini ya siasa inapatikana kwa uwizi uwiz na connection kila mwanasiasa mwanae kafika mbali kwa kuibia mitihani baadae aje kuwa mrithi.. watu wanatumia ngumu nyingi kweny maendeleo binafsi na familia zao kweny mfumo wa demokrasia.


Domekrasia ni scam
 
Wewe Tangu TZ inapata uhuru mpaka leo hii unaongozwa na CCM... kuna tofauti gan na utawala wa familia ya kifalme tu??
Tunasema nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi, lakin in deep hili swala si la kweli.. CCM itampa madaraka CCM anaefuata, just like utawala wa kifalme kwenye kurithishana madaraka.
Thread ifungwe🤝
 
Kwani malkia ana tofauti gani na ccm ungeanza laani utawala wa ccm kwanza, kwamba kwani ni lazima ccm tu ndo itawale?
 
Ulimwengu ndivyo ulivyo, hata nchi zenu za Afrika nyingi ni kupeana kama umezaliwa familia ya makapuku kwenye systems hasa kula keki ya Taifa unatakiwa usahau utaishia kupiga kura na kuwa balozi wa nyumba 50
Nilitegemea kitu tofauti kwao maana niliamini wamestaarabika kuliko sisi
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingireza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Mfumo huu ndo mfumo wa mbinguni na peponi, mifumo mingine ni mifumo ya kishetani, Mungu ni mfalme ndo maana uingereza haina ushenzi unaouona kwenye mataifa kama marekani
 
Ushenzi gani ambao unaona Marekani haupo Uingereza?
Mfumo huu ndo mfumo wa mbinguni na peponi, mifumo mingine ni mifumo ya kishetani, Mungu ni mfalme ndo maana uingereza haina ushenzi unaouona kwenye mataifa kama marekani
 
Maisha safi kwako wewe ni maisha ya aina gani?
Ongezea na brunei Wana maisha safi chin ya ufalme.

Hapa bongo yanadanganywa na wazungu eti demokrasia ambayo Ina matumizi mengi ya kiuendaji kunufaisha watu wachache ,kila kanda Ina chama chake cha siasa watu sio wamoja ,mablaa kibao ,visasi vya kisiasa, kuzushiana uongo na propaganda hamna.

Mtaji wa wanasiasa ni uongo na sio elimu ,hata elimu chini ya siasa inapatikana kwa uwizi uwiz na connection kila mwanasiasa mwanae kafika mbali kwa kuibia mitihani baadae aje kuwa mrithi.. watu wanatumia ngumu nyingi kweny maendeleo binafsi na familia zao kweny mfumo wa demokrasia.


Domekrasia ni scam
 
Mbona sisi hatuna utawala wa kifalme wakati tumerithi mfumo wa utawala wa mkoloni Mwingereza?
Nyerere alifuta utawala wa machifu ili kujilimbikizia Madaraka.

Hao machifu ndio walikuwa watu wenye sauti Kwa watu wao, Leo unawanyang'anya nguvu machifu na kuwapa nguvu hiyo wahuni na walevi kama kina kibajaji ni jambo la kustaajabisha.
 
Mfumo huu ndo mfumo wa mbinguni na peponi, mifumo mingine ni mifumo ya kishetani, Mungu ni mfalme ndo maana uingereza haina ushenzi unaouona kwenye mataifa kama marekani
Wewe ni mjinga ndio sababu huwezi kujuwa Marekani na Uingereza ni nchi moja ila madola tofauti tu.
 
Mbona umeishia kutoa ngonjera za kwenye vijiwe vya kahawa badala ya kutoa japo elimu kidogo ya kile unachokijua?

Itakuwa umememezeshwa na teja mwenzio hicho ulichoandika lkn huna unachokijua na hujui kwamba hujui
Primitive post.
 
Uingereza ina kitu kinaitwa Mixed Government (Monarchy, Aristocracy and Democracy). Huu mfumo hauishii kwenye familia ya kifalme peke yake, bali unaenda hata kwenye Bunge lao. Nchini Uingereza mpaka leo hii lina nafasi tisini (90) za wabunge ambao huzirithi kutoka kwa familia zao. Yaani mtu unazaliwa tu tayari una nafasi ya ubinge inakusubiri......

Tena siku hizi wamebadilika, zamani The House Lords (Upper House) ambako wanakaa mabwanyenye walikuwa na uwezo wa kupinga (Power to Veto) miswada na sheria mbalimbali inayotungwa na wabunge ambao wanachaguliwa na raia wa Uingereza (The Commons). Ndiyo maana huwa nawashangaa sana mnavyotamani kuiga hii mifumo ya watu......

NB: Hili la Uingereza halina tofauti sana na kinachoendela kule CHADEMA baina ya Mbowe na Mtei......
House of lords and commons zipo mpka leo ?
 
Back
Top Bottom