raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Wanatakiwa wajidharau wale walioshindwa kujichagulia mfumo wao wa uongozi na kuchaguliwa namna ya kuongoza na wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Andika kitabu.Mfumo wowote uimara wa kiutawala ni lazima uzingatie taasisi asilia (Local & Social Institutions) ambazo zimejengeka kwa muda mrefu ndani ya taifa husika
Aaah, bado sana mzee!Andika kitabu.
Ntanunua wa kwanza.
Heee kivip?Wameipata hiyo nafasi kwa njia ya upanga sio zawadi , baba wa eliza aliefarik jana aliuwawa kwa kukatwa kichwa
Best umewafaidi waingereza vilivyo kiufupi wamekupa maisha ...so lazima uwapende monarchy [emoji2957]Nimekuja Manchester nimempa pole mzee wa kizungu anasema wala sioni uchungu kwa kifo chake na wengi hatuwapendi
Wanajilimbikizia hela zetu za kodi
Anasema watu wengi watakuja kuzika na kila kitu kitapanda bei na Hotel zao ndio zitafaidi
$28b thamani ya majumba yao tu
Charles ana $400m bado za urithi wa mama sasa
Ila kwa mimi siwachukii na nipo hapa miaka kibao
Hujasikia mzazi alikemea vijana waache kuwafuata wasichana halafu yeye ana wake watatu na vimada?Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.
Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.
Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Maisha bila tozoMaisha safi kwako wewe ni maisha ya aina gani?
Best umewafaidi waingereza vilivyo kiufupi wamekupa maisha ...so lazima uwapende monarchy nawapenda wangu ila ni mazoea na miaka zaidi ya 30 niliyokuwa hapa na wanangu wamezaliwa na kukua kwa kumjua malkia huyu huyu
Wao ndio wanazungusha maisha ya wengi kwa lolote wanalofanya
Charities kibao wameanzisha na kusaidia wengi ingawa sisi pia tunachangia ila wao ndio chanzo
I respect them [emoji122]
Na Malkia hakuwa na makubwa alikuwa anaendeleza Legacy ya baba yake tu na alipenda kazi yake
Ila hata Church of England ina sheria kuwa mtawala hawezi kurithisha mpaka afe
Kwa kweli napenda kufuatilia maisha yao maana ni Drama tosha au unasemaje bestiii wangu
Umeongea bonge la pointWanatakiwa wajidharau wale walioshindwa kujichagulia mfumo wao wa uongozi na kuchaguliwa namna ya kuongoza na wengine
Maisha ambayo yana usalama na uhakika wa kesho yangu kifedhaMaisha bila tozo
Najua dearBest umewafaidi waingereza vilivyo kiufupi wamekupa maisha ...so lazima uwapende monarchy [emoji2957]
Mbona nyie chadema mnaamini mbowe na familia yake ndo wanaweza kuwavusha?Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.
Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.
Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Mimi najua baba yake Malkia alikufa baada ya operation na alikufa akiwa amelalaHeee kivip?
Mawazo hayana tofauti na yale ya shetani alipotafuta usawa na Mungu na hivyo kupelekea kutupwa kutoka mbinguni kuja huku duniani ambako amebaki anaswampa huku na kule!Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.
Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.
Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Hiyo dharau yako hata haiwapi shida
Afu acha kuwapangia wenzio Panga Yako
mbona makande chakula kizuri tu! au wewe ni Piza?uliyeshiba makande
Ipi ya tanzania??🤣🤣🤣🤣Siyo kweli Angekuwa sisi wangeshatuwekea sijui sanctions sijui upuuzi gani na kutuita wajinga.Waache ujinga huu mara moja wazingatia demokrasia!
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.
Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.
Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya
Salary Slip: Hiyo system unayoidharau labda ndio iliyoifanya ikawa taifa lililoweza tawala mataifa kama 56 uliangalia Commonwealth. Kumbuka pia kuna nchi kama 14 mpaka leo unatambua mtawala wa kifalme/Malkia wa uingereza ndio kiongozi wao!Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.
Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.
Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.