Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Nawadharau sana Waingereza kwa kuendeleza utawala wa Kifalme

Rudi kule ulipowakimbia Pro-Russia wenzako na historia zako za kupika pika zikiwa zimezidishwa chumvi , usije kutolea povu lako huku.
Bwahahaha! Humu JF nzima hakuna mtu anayenipenda kama wewe aisee! Unajuwa mabandiko yako nilianza kuyapuuza tangu siku uliposhangaa UDSM kutoa shahada ya utabibu. Nikafahamu kabisa una shida kubwa....

Sasa leo ndiyo nikasema nisome unachoandika walau siku ile ulikuwa umepitiwa. Nilichokutana nacho kimenifanya nicheke, lakini kikubwa zaidi ni kiwango ambacho uko Obsessed na mimi.

Mara ya kwanza nilihisi labda wewe ni mwanamke, maana nimefuatilia na kushangaa kwamba kila nilichowahi kuandika humu JF lazima ulijibu. Sasa kukusoma nikatambua kumbe wewe ni mwanaume. Nimeshangaa sana.....
 
Queen Elizabeth Nilimpenda Kwenye Pamba
Alikuwa Anapaika Hatari Sijui Designer Wake Atafanya Kazi Gani Sasa
 
Utawala wa kifalme uingereza hauna athari yoyote as long as democrasia yao ipo imara. Kiongozi wa kifalme ni ceremonial leader, hana mamlaka yoyote ya kiutendaji.
Anayo mamlaka ya kumuaibisha waziri yeyote.
Ana mamlaka ya kupinga spika kama hamuelewi
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.

Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
...Unawadharau kuonea Ufahari Mila zao?? Kuna chochote Unapungua ama unaongza Kwa kuachana nao TU???[emoji57][emoji57]
 
Rudi kule ulipowakimbia Pro-Russia wenzako na historia zako za kupika pika zikiwa zimezidishwa chumvi , usije kutolea povu lako huku.
Bwahahahahaha! Pamoja na kupika kwangu kote historia bado unaendelea kunisoma tu.......
Inaelekea wewe jamaa huwa unaniwaza sana kichwani mwako yaaani....
Kama wewe ni mwanaume, basi uko na tatizo kubwa sanaa......
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.

Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Muhimu ni kujing'oa kutoka Jumuiya ya Madola.
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.

Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Vipi ninyi Watanzania kumsimika Rais wenu kuwa Chief Hangaya?
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.

Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
inakupasa kujitathimini sio bule kwa mwanadamu alie sawa kiakili kimtazamo hawezi kuchukia maamuzi ya watu ambyo ayamhusu wala kumfaya asifanye mabo yake
 
Wewe Tangu TZ inapata uhuru mpaka leo hii unaongozwa na CCM... kuna tofauti gan na utawala wa familia ya kifalme tu??
Tunasema nchi yetu ni ya mfumo wa vyama vingi, lakin in deep hili swala si la kweli.. CCM itampa madaraka CCM anaefuata, just like utawala wa kifalme kwenye kurithishana madaraka.
huo msumali ulio mpigilia kichwana awezi kuuchomoa
 
inakupasa kujitathimini sio bule kwa mwanadamu alie sawa kiakili kimtazamo hawezi kuchukia maamuzi ya watu ambyo ayamhusu wala kumfaya asifanye mabo yake
Unaujua uhistoria ya Ufalme wa Mwingereza?

Inamhusu na kumgusa karibia mtu yeyote duniani sasa hivi.

Tutaelewena hata kama 'rugha' inateleza
 
Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na Tawala za Kifalme.

Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza.

Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia Ufalme.

Japo Uingreza ni taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea Ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Inawezekana hata wao wanatudharau kutawaliwa na ccm miaka zaidi ya 60
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaani wabongo wanafiki sana aseee eti umejua kuniweza Eliza
 
Back
Top Bottom