Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hiyo dharau yako hata haiwapi shidaKatika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na tawala za kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani,kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia ufalme.
Japo uingeraza ni Taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Wewe wanakupangia mangapi?Hiyo dharau yako hata haiwapi shida
Afu acha kuwapangia wenzio Panga Yako
Mbona nyie mmeachana na tawala zenu za asili na mmeridhi zao?Kila nchi na mipango yake
Hapo uko sahihi ila iko siku watatoka tu.Wewe Tangu TZ inapata uhuru mpaka leo hii unaongozwa na CCM... kuna tofauti gan na utawala wa familia ya kifalme tu??
Ni kweli Waingereza wote wanapenda huo utawala wa kifalme au ni system ya kutawala yenye kulalamikiwa kama wadanganyika wanavyolalamikia huu Muungano?Mimi nadhani ni mfumo mzuri kwa kuwa wananchi wa uingereza wenyewe wameuridhia na unawapa kile ambacho wanakitaka.....
Nikisema wote nitakuwa mnafiki lakini nikisema nitakuwa nipo sahihi....Ni kweli Waingereza wote wanapenda huo utawala wa kifalme?
As long ni mfumo wa utawala wananchi wa UK waliojichagulia ni sawa, kwani huu mfumo wetu wa Urais umetusaidia nn mpaka sasa zaidi ya kutuletea umaskini uliotukuka?Katika vitu ambavyo naviona ni primitive kwenye dunia ya leo, ni pamoja na tawala za kifalme.
Kuamini kizazi cha mtu mmoja ndio kinafaa na kinastahili kuongoza watu katika taifa fulani, kwangu ulikuwa ujinga wa mtu wa kale na ni miongoni mwa mambo ambayo binadamu wa leo ambae tunaamini yuko civilised, hapaswi kuyaendeleza . Kwakweli Waingereza nimeshindwa kuwaelewa mpaka leo kukumbatia ufalme.
Japo uingeraza ni Taifa lililoendelea miaka mingi iliyopita, ila kwa hili la kulea ufalme hakika nimewadharau na mpaka leo sipati majibu kwanini hawataki kuondokana na hii system iliyokuwepo hata kabla ya Yesu kuzaliwa.
Wabongo bhna😂😂😂
Inashangaza sana tena sana tu.Naunga mkono hoja. Yaani eti kuna familia haifanyi kaI yoyote inabudiwa na kulindwa na waingereza wote. Bure kabisa hwa watu
Wanaishi kizamani sana !Hiyo dharau yako hata haiwapi shida
Afu acha kuwapangia wenzio Panga Yako
Nyie ni akina nani hapo? Utawala wa kwangu unaufahamu?Mbona nyie mmeachana na tawala zenu za asili na mmeridhi zao?
[emoji38][emoji38][emoji38]Wabongo bhna[emoji23][emoji23][emoji23]