Nawaelewa sasa “Mvuto wa Rais kupungua“

Nawaelewa sasa “Mvuto wa Rais kupungua“

Ukweli ni kuwa ujio wake haukupangwa vizuri. Ila yeye ukimtazama unaiona empathy na kilichotokea. Wapiga picha wake wakaishia kutafuta kapicha na mtoto ka ku trend siku hiyo but ile connection na wahanga nje ya hospitali haikuwepo. Mvuto unatokana na zaidi ya mtu, maandalizi ya matukio ni muhimu. Plus Rais amechoka,kusafiri na mengine tusiyoyajua kuna namna anaonekana mchovu. Apumzike wikiendi hii.
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
Ukiwa na gundu hata ujikombe vipi u- dc utausikua tu.
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.

Umeunena uhalisia na ukweli mtupu. Samia wa sasa ni wa kupigania madaraka yake binafsi, wapambe na familia yake, kuliko maslahi ya Taifa. Kwa sasa hana chembe ya uzalendo. Waovu na wahubi wamefanikiwa kumbadilisha na kumshika vilivyo.
 
Mkapa alisemwa pia hana Mvuto lakini haikumzuia kuwa Rais kwa awamu mbili

Mafanikio ya kisiasa sio kuwa na Mvuto tu kwny mikutano ya hadhara

Wakati wa Mkapa, Mvuto mkubwa ulikuwa kwa Mrema, wakati wa Abdul wakeel, Salmin, Karume na Shein Mvuto mkubwa ulikuwa kwa Maalim Seif

wakati wa Jakaya Mvuto mkubwa ulikuwa kwa Lowassa

Mvuto has nothing to do with Presidency

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
Umezungumza kama mpambe kuliko kuwa kama mchambuzi makini.

Mleta mada ameorodhosha mambo mengi ya msingi, la janga ni sehemu tu.

Mtu mzalendo wa kweli wa Taifa huliangalia zaidi Taifa kuliko madaraka yake. Samia wa sasa ni mbinafsi anayeuangalia zaidi Urais wake kuliko Taifa. Hata ule uchafu wa DPW ameangalia zaidi manufaa yake, familia yake na maswahiba wake, siyo Taifa. Maslahi ya Taifa yanatajwatajwa tu ili kuhalalisha maslahi msingi yaliyoegemea kwenye ubinafsi.

Mtu aliyeapa kulinda katiba, aliyeahidi kuhakikisha Taifa linapata katiba mpya, anathubutu kusema kuwa katiba haina maana, ni kajitabu tu. Bahati yake anaongoza jamii yenye wajinga na watu wengi wanafiki. Laiti ingekuwa ni mataifa yale ya watu makini, siku ile ingekuwa ndiyo mwisho wa Urais wake.
 
Wewe una makengeza ktk akili yako! Mbowe yupi au Lissu yupi wa kumshinda Rais Samia mvuto?!

Ona CHADEMA walivyo na viongozi wapumbavu! Janga la Hanang limetokea lini? Mbowe na CHADEMA walikuwa wamekaa wanakunywa konyagi tu, lakini walipoona jana Rais Samia anaenda Hanang nao wanalazimisha kwenda jana hiyo hiyo!!!

CHADEMA Ina viongozi mapimbi sana, hawajui hata protocol ni kupenda siasa za confrotation (political confrotation) tu wakidhani inaweza kuwafanya kuwa relevant?!

CHADEMA haina organization structure inayoeleweka! Kila kitu kinaanzia na kuishia kwa Mbowe!

Hawana vitengo vinavyoeleweka, jambo kama janga la HANANG kwa Chama makini , Mwenyekiti Mbowe hakupaswa kuwa " Figure Head" wa kuratibu michango kwa waathirika!

Michango inapitia Line ya simu ya mtu ( amejificha kwa jina ja CHADEMA HQ)!

Hivi huyo "CHADEMA HQ" ni nani na legal status yake ikoje na akitafuna hiyo michango kama zilivyotafunwa za Join the Chain anaweza kuwa held accountable namna gani?
CHADEMA Haina account za Banks ambazo watu wanaweza ku- verify michango yao?!

CHADEMA ni Chama kilichochoka sana ki fikra , mtazamo na mienendo!!
Poor argument.

Ratiba ya kwenda kuwapa pole wahanga inaisha lini? Mbona humlaumu Rais aliyeenda jana wakati yeye ana kila kitu kuanzia logistics za kufika mpaka resources? Mbona hakufika mara baada ya janga kutokea?. Wewe unataka uwapangie watu tarehe ya kufika wakati hao watu namna ya kufika na pole kwa waathirika, mpaka wachangishe.

Tatizo letu, wengi wa watu wetu uwezo wa akili ni mdogo sana, ndiyo maana unakuta kwenye huu mchango wako, reasoning ni minimum. Wewe lazima ni very low IQ. Uliyo nayo ni ile tu kukuwezesha kula, kuvaa na kutembea.
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.
Huyu hakustahili hata kuwa makamu wa rais sasa ghafla amekuwa rais! Ghafla amejizungushia na machawa wanaomsifia kuwa haijawahi kutokea rais kama yeye, analewa madaraka kupindukia
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
Unasubirije uchaguzi wa 2015 ndio kiwe kipimo na unajua kabisa hatujawahi kuwa na uchaguzi huru na wa haki tangu 1995.
 
W
Poor argument.

Ratiba ya kwenda kuwapa pole wahanga inaisha lini? Mbona humlaumu Rais aliyeenda jana wakati yeye ana kila kitu kuanzia logistics za kufika mpaka resources? Mbona hakufika mara baada ya janga kutokea?. Wewe unataka uwapangie watu tarehe ya kufika wakati hao watu namna ya kufika na pole kwa waathirika, mpaka wachangishe.

Tatizo letu, wengi wa watu wetu uwezo wa akili ni mdogo sana, ndiyo maana unakuta kwenye huu mchango wako, reasoning ni minimum. Wewe lazima ni very low IQ. Uliyo nayo ni ile tu kukuwezesha kula, kuvaa na kutembea.
Wewe ndo low IQ, hujui hata janga lilipotokea Rais Samia alikuwa wapi!
CHADEMA ni Chama chenye sera nzuri lakini hakina viongozi wenye maarifa!
Viongozi wao hawana tofauti na wanamuziki wa bongo fleva au waigizaji wa bongo movie tu!
Wao ni kutafuta kiki tu na matukio wakidhani hiyo ndo itawabeba!
Hawana mipango, structures, strategies za maana!
Ni watu wanaodandia matukio tu na kufanya siasa za comedy tu!
Mtafuteni Zitto Zuberi Kabwe awapige msasa viongozi wenu namna ya kuendesha Chama!
CHADEMA imekuwa kama club ya pombe kila mtu ni msemaji!
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
Mimi binafsi hata nikisikia Mheshimiwa Rais Samia Suluhu yupo mtaani kwangu siwezi kupata hamasa ya kwenda kumsikiliza
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
Paskali,
Umekosea sana kulinganisha tukio la ndege vita ya mza, reaction ya mwal. Nyerere ktk tukio lile na hii ya Rais Samia huko Hanang. Mvuto wa kiongozi hautokani na kile unachokiita sanduku la kura hasa pale palipo na udanganyifu mkubwa ktk chaguzi.

Kwenye tukio la Hanang, Rais Samia anapaswa kujitathimini na kuchukuwa hatua. Kama kiongozi wa wananchi wote hakukuwa na sababu ya kuchukulia lile janga kichama au kisiasa. Kujaa kwa uniform za chama kuliko wahanga wa tukio lenyewe si massage nzuri ktk jamii. Pia kumsifiasifia kunakofanywa kinafiki na waandamizi wake kwenye matukio kama haya hakumjengei sifa nzuri.

Kwa siku za karibuni siasa za Samia zimekosa mvuto na ushawishi kwa wananchi hadi kwenye chama chake.. Ni swala la watu wa karibu yake kumwambia ukweli kuliko hii ya kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
 
Shida ya ccm kila jambo huwa wanalifanya la chama, kuna watu hawapendi hata kuyaona hayo maguo yao.
Screenshot_20231206-021924.png


Wengi wamekwazika sana!
 
Me naona badala ya samia, wanuweke Dotto Biteko kuwa mgombea,

Mwamwa naona hata teeth wanamuandaa kuwa presidaa ajae,

Anaongea kimamlaka na ana ile ego ya uongozi.
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.
KIONGOZI MZALENDO HAWEZI KUTOKA CCM.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom