Nawaelewa sasa “Mvuto wa Rais kupungua“

Nawaelewa sasa “Mvuto wa Rais kupungua“

Mtu aliyeapa kulinda katiba, aliyeahidi kuhakikisha Taifa linapata katiba mpya, anathubutu kusema kuwa katiba haina maana, ni kajitabu tu. Bahati yake anaongoza jamii yenye wajinga na watu wengi wanafiki. Laiti ingekuwa ni mataifa yale ya watu makini, siku ile ingekuwa ndiyo mwisho wa Urais wake.
Hili neno!.
P
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.


Mimi binafsi naandika haya kwa masikitiko makubwa sana na naona kabisa sasa viongozi wanavyo anza kulewa madara na kuwa watu tofauti na Mama Samia naye naona hajaweza kukwepa mtego huo. Nilifikiri yeye ndiye angeweza kutusaidia kuleta katiba mpya, kubadilisha mifumo ya utendaji kuwa ya kisasa, kukomesha rushwa na kuweka demokrasia uhuru na ushindani ambako duniani kote ndiyo unaleta ubunifu na maendeleo. Badala yake tunaona amerudi kuwa Mama wa wapambe, machawa, na mtu wa kujali madara zaidi. Kama sio yeye iko siku tutapata mtu wa kutuvusha lakini Mama Samia naona kama anapoteza nafasi muhimu ya kukumbukwa kama shujaa.
Kamundu wewe ni Chadema na walio karibu na wewe tunajua hilo. Ulitegemea useme nini zaidi ya kuwasema vizuri mabosi wako wa Chadema wanaokufanya wewe na familia yako kwenda chooni?
 
W

Wewe ndo low IQ, hujui hata janga lilipotokea Rais Samia alikuwa wapi!
CHADEMA ni Chama chenye sera nzuri lakini hakina viongozi wenye maarifa!
Viongozi wao hawana tofauti na wanamuziki wa bongo fleva au waigizaji wa bongo movie tu!
Wao ni kutafuta kiki tu na matukio wakidhani hiyo ndo itawabeba!
Hawana mipango, structures, strategies za maana!
Ni watu wanaodandia matukio tu na kufanya siasa za comedy tu!
Mtafuteni Zitto Zuberi Kabwe awapige msasa viongozi wenu namna ya kuendesha Chama!
CHADEMA imekuwa kama club ya pombe kila mtu ni msemaji!
Unazidi kudhihirisha ulivyo low.

Kwa fikra zako, Rais kama leo yupo Dubai, akitaka kesho awepo Tanzania, atashindwa? Rais ambaye anaweza kuchukua ndege nzima akaenda yeye pekee yake au na watu anaowataka, unaamini akitaka hata kusafiri usiku huu atashindwa?

Rais ana resources zote za kwenda popote wakati wowote na watu wowote anaowataka, na kwa kutumia usafiri wowote. Hivyo vyote anavyo kwa sababu sisi Watanzania wote tunamhudumia. Huwezi kumlinganisha na mwingine yeyote ambaye kusafiri kwake kunategemea mambo mengi ikiwemo resources na logistics.
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.


Mimi binafsi naandika haya kwa masikitiko makubwa sana na naona kabisa sasa viongozi wanavyo anza kulewa madara na kuwa watu tofauti na Mama Samia naye naona hajaweza kukwepa mtego huo. Nilifikiri yeye ndiye angeweza kutusaidia kuleta katiba mpya, kubadilisha mifumo ya utendaji kuwa ya kisasa, kukomesha rushwa na kuweka demokrasia uhuru na ushindani ambako duniani kote ndiyo unaleta ubunifu na maendeleo. Badala yake tunaona amerudi kuwa Mama wa wapambe, machawa, na mtu wa kujali madara zaidi. Kama sio yeye iko siku tutapata mtu wa kutuvusha lakini Mama Samia naona kama anapoteza nafasi muhimu ya kukumbukwa kama shujaa.
Rais alichagua kusafiri na wahuni kwenye safari yake ya kisiasa hayo ndo aliyoyatafuta
 
Kamundu wewe ni Chadema na walio karibu na wewe tunajua hilo. Ulitegemea useme nini zaidi ya kuwasema vizuri mabosi wako wa Chadema wanaokufanya wewe na familia yako kwenda chooni?
Tuambie namba yake ya kadi
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.


Mimi binafsi naandika haya kwa masikitiko makubwa sana na naona kabisa sasa viongozi wanavyo anza kulewa madara na kuwa watu tofauti na Mama Samia naye naona hajaweza kukwepa mtego huo. Nilifikiri yeye ndiye angeweza kutusaidia kuleta katiba mpya, kubadilisha mifumo ya utendaji kuwa ya kisasa, kukomesha rushwa na kuweka demokrasia uhuru na ushindani ambako duniani kote ndiyo unaleta ubunifu na maendeleo. Badala yake tunaona amerudi kuwa Mama wa wapambe, machawa, na mtu wa kujali madara zaidi. Kama sio yeye iko siku tutapata mtu wa kutuvusha lakini Mama Samia naona kama anapoteza nafasi muhimu ya kukumbukwa kama shujaa.
Haya ndio mambo mama anawaandalia watanzania tuwe makini na huyu mzabzibari!
 

Attachments

  • 1702060694626.png
    1702060694626.png
    158.3 KB · Views: 1
Mimi binafsi naandika haya kwa masikitiko makubwa sana na naona kabisa sasa viongozi wanavyo anza kulewa madara na kuwa watu tofauti na Mama Samia naye naona hajaweza kukwepa mtego huo
Wewe unafahamika siku zote ni mtu wa Mbowe, au niseme CHADEMA kwa hisia potofu za kudhani viongozi hao wapo karibu zaidi na nchi jirani unayoipigia upatu wewe kila mara kwa sababu iliyo wazi kwa wanaokufahamu.

Sipingi mawazo yako juu ya Samia. Samia ni mwigizaji mzuri, lakini hana uwezo wa uongozi. Sasa hivi ni dhahiri kabisa, sifa hiyo ya uigizaji ndiyo iliyomfikisha hadi hapo alipo sasa hivi. Lakini, kama ilivyo kawaida ya tabia za uigizaji na ulaghai, hazidumu. Sasa imebaki kutumia nguvu nyingi sana kuimba nyimbo za Samia kila mahali, na mapicha tele; lakini haya yote hayawezi kubadili picha la uigizaji na ulaghai wanaouona watu.
 
Magufuli alisababisha watu waanze kuvaa nguo za CCM hadharani kwa majigambo; kuna hatari nguo za CCM zikaanza kuzomewa tena kama ilivyokuwa wakati wa Kikwete.
Lakini wakati huo (wa Kikwete), CHADEMA ilikuwa imepamba moto kweli kweli; siyo kama hii iliyopoa kwa sababu zisizojulikana kabisa. Tena imepoa baada ya kutoka kwenye tanuru la moto alilokuwa kawaweka Magufuli! Sasa haieleweki kwa nini imekuwa hivi, ilivyo sasa chini ya Samia.

Kutakuwa kuna sababu maalum, na siku moja itajulikana tu.
 
Wewe unafahamika siku zote ni mtu wa Mbowe, au niseme CHADEMA kwa hisia potofu za kudhani viongozi hao wapo karibu zaidi na nchi jirani unayoipigia upatu wewe kila mara kwa sababu iliyo wazi kwa wanaokufahamu.

Sipingi mawazo yako juu ya Samia. Samia ni mwigizaji mzuri, lakini hana uwezo wa uongozi. Sasa hivi ni dhahiri kabisa, sifa hiyo ya uigizaji ndiyo iliyomfikisha hadi hapo alipo sasa hivi. Lakini, kama ilivyo kawaida ya tabia za uigizaji na ulaghai, hazidumu. Sasa imebaki kutumia nguvu nyingi sana kuimba nyimbo za Samia kila mahali, na mapicha tele; lakini haya yote hayawezi kubadili picha la uigizaji na ulaghai wanaouona watu.

Nchi gani jirani! Mimi naishi USA tangu 1997 mwezi wa nane! nikupe habari za bure. Pili Mimi sijawahi kuwa na Chama kwa wanao nifahamu na kujua hoja zangu. Mimi nipo Jamii forums toka 2006 kasome nimeandika mangapi ya Samia ya kumsifu. Ukiacha chuki zako binafsi ambazo ni vigumu kujua chanzo chake utagundua mimi sio mtu wa vyama au upande.

Huwezi kuendelea kwa kumchukia mwenzako. Be you
 
Nchi gani jirani! Mimi naishi USA tangu 1997 mwezi wa nane! nikupe habari za bure. Pili Mimi sijawahi kuwa na Chama kwa wanao nifahamu na kujua hoja zangu. Mimi nipo Jamii forums toka 2006 kasome nimeandika mangapi ya Samia ya kumsifu. Ukiacha chuki zako binafsi ambazo ni vigumu kujua chanzo chake utagundua mimi sio mtu wa vyama au upande.

Huwezi kuendelea kwa kumchukia mwenzako. Be you
Huhitaji kujitetea. Kama ulivyosema, ni kweli JF huwa haifuti kitu, kwa hiyo mtu mwenye kutaka kujua historia ya mtu yeyote katika kuchangia humu JF, hata kama ni zama hizo za 2006, rekodi hiyo ipo, haiwezi kujificha.

Sina chuki na wewe, hilo ni wazo unalojiwekea hofu wewe mwenyewe.
 
Kwa hiyo Chadema mlikwenda Hanang ili kutafuta mvuto wa kisiasa nchini?

Tukisema Chadema mnapenda kick za matukio kupata Political Mileage mnasema tunakosea?

Chadema jipimeni kwa k8na maana kwa uhalisia ni kwamba mnahitaji uongozi mpya wenye kuweza kufanya mabadiliko makubwa na ubunifu wa sera na mbinu za ufanyaji siasa kuendana na wakati uliopo.

Viongozi waliopo kwa sasa pumzi yao nduo imefikia ukomo kisiasa!
Hawana mbinu mpya za kukabiliana na CCM wanaobadilishana vijiti kila baada ya miaka kumi(10).

Mbowe ameisgazunguka uwanja mpaka amepitiliza na sasa anakimbia peku kwenye lami.
Msaidieni......
 
Nchi gani jirani! Mimi naishi USA tangu 1997 mwezi wa nane! nikupe habari za bure. Pili Mimi sijawahi kuwa na Chama kwa wanao nifahamu na kujua hoja zangu. Mimi nipo Jamii forums toka 2006 kasome nimeandika mangapi ya Samia ya kumsifu. Ukiacha chuki zako binafsi ambazo ni vigumu kujua chanzo chake utagundua mimi sio mtu wa vyama au upande.

Huwezi kuendelea kwa kumchukia mwenzako. Be you
Mkuu Kamundu,
Nakuunga mkono 100% humu JF kuna watu wana chuki binafsi za ajabu dhidi ya wenzao!. Enzi nafanya kipindi cha Kiti Moto, by then hicho kipindi kilikuwa favourite program kwa enzi hizo, one day niko kwenye msiba fulani wa Wahaya fulani rich and influential, mimi nimevaa sunglasses na Capello ni usiku sijulikani, nikamsikia jamaa mmoja anasema kati ya vipindi anavyovichukia ni kiti moto!, nikimuona yule mtangazaji wake P on the screen, nazima TV!.

Kuna mwingine akamuuliza kwanini uzime TV, si change tuu station utazame channel nyingine?. Jamaa akajibu akiniona tuu, anatibuka na ku loose interest to watch anything!. Jamaa simjui, wala hanijui!.

Kuna Mhaya mwingine kwenye group hilo akatoa kubwa kuliko!. Akauliza hicho kipindi kwenye dish kiko Channe number l ngapi?, akajibiwa kinaonyeshwa kwenye local TV ya DTV, akasema mimi kwangu ni dish, kama kitu hakionyeshwi kwenye dish, hawezi kuangalia!, akasema kwani Tanzania kuna TV yoyote ya kuangalia?, ni takataka tupu!. Mimi naangalia CNN, BBC, Aljazeera na DSTV ndio kuna vitu vya maana vya kuangalia!.

Kiukweli nilijitokea nje kimya kimya!.
Hivyo nimeisha zoea kuna watu wana chuki tuu na watu wengine for no apparent reasons, mimi nashukuru sana, hata nikikutana na watu hawa, nawatwangia tuu likes za kutosha!. Hata mtu akinitukana humu, anakula likes!.
P
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
Nimekupata Mkuu Pasko hapo wenye..mivuto ya ukweli tutaiona Oktoba 2025......
 
Wewe mwenyewe umepoteza mvuto baada ya kujigeuza Chawa.
Mimi sijawahi kuwa chawa!. Chawa kazi yake is to sing songs of praise and never criticize!. Mimi kwenye mazuri nasifu, kwenye mabaya nakosoa na kushauri!. Pongezi Zangu ni Bonafide-Genuine! Sisaki Teuzi, Sitaki Teuzi, Niko Naye Mbeya, Nitamweza!

Kwa wenye uwezo to read in between the lines, wananijua mimi ni mtu wa spana mkononi! Kumuenzi Magufuli: Tujikumbushe 'spana' za JF zilivyomsaidia Hayati Magufuli na Taifa. Je, Samia pia tumsaidie kwa 'spana' au tumkune tu tusimpare?
P
 
Nimekupata Mkuu Pasko hapo wenye..mivuto ya ukweli tutaiona Oktoba 2025......
Mkuu MENGELENI KWETU , the end justifies the means, the one who laughs last, laughs most!, kumaanisha atakaye cheka mwisho ndie aliyecheka zaidi, kama ilivyo kwa mlaji ni mlaleo, mlajana kala nini?.

Watu wanababaishwa na nyomi za makundi ya watu na kukubalika, kipimo cha kukubalika kwa ukweli ni 2025!, tena hata Hai, Chairman anaweza kurejea Bungeni kwa mlango wa nusu mkate tuu, vinginevyo hatoboi!.

Hili la nyomi nimelizungumza sana humu!, hakuna mtu aliyekuwa anakubalika kama Eddo ile 2015, na nyomi zake ni usipime!, Kwa Hali Niliyoishuhudia Leo Old Bagamoyo Rd: There is No Way CCM Inaweza Kushinda! kisha nikawaonyesha watu Elections 2015 - Hii 'Vox Populi' ni 'Vox Dei' Kuhusu 'Jiwe Walilolikataa Waashi'? lakini huwezi amini Kama kipimo cha ushindi ni idadi ya watu, Lowassa ndiye rais wetu
Hivyo haya mambo ya mvuto wa kweli tutaujua 2025!.
P
 
Unahisi hapo umechangia? Lissu ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema. Unaweza kutwambia namba yake ya kadi? Pumbavu!!!
Lissu na Chadema wengine wanajulikana wazi kwa kujitambulisha.

Haya tupe utambulisho au conset ya mtoa hoja kuwa ni wa huko
 
Back
Top Bottom