Nawaelewa sasa “Mvuto wa Rais kupungua“

Nawaelewa sasa “Mvuto wa Rais kupungua“

Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
Magwanda yanaashilia nini kwenye msiba na matukio ya maafa? Umehudhulia tukio au umekuja kujionesha na kupiga kiki?
Wanaokujua wanakujua,wasiokujua hawakujui, manguo ya vyama vya siasa!!!!! kwa hilo wamekosea
 
Afu kiufupi hotuba yake ya katesh zijaielewa kabisa yaan haikuwa na muunganiko mzuri wa maneno pia haikuwa na maneno mazuri ya faraja

Yaan kaongea kama wanasayans na sio mwana art
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.
Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.
Tatizo sio yeye,ccm mfumo unakumeza jombaa.Mama angeendelea na alivoanza ingekua poa sana ila kwasasa anawaza 2025 ndio maana kawarudisha kina bashite
 
Hana cha kupoteza Samia. Anaweza kwenda sehemu wakasombwa wavaa kijani wakaigiza kumshangilia mpk shughuli ikaisha.

Kwake yeye Samia anachotaka ni kukalia kiti cha ikulu. Atatumia vyombo vya dola kufanikisha hili na ni dhahiri atafanikiwa.

Kwa uzuzu, ukondoo na unyani uliopo vichwani mwa watanzania ccm itatawala miaka 100 ijayo
 
Tangu lini alikuwa na mvuto? sisi tulisema mapema kuwa hana mvuto
Mnaonglea mvuto gani?
1. Sura?..si huwa amejifunika?
2. Umbo labda? Mnalionea wapi?
3. Mvuto wa kuongea?...mipasho labda?
4. Sera nzuri za uchumi? Tozo??

Mvuto kwa lipi hasa...kubandikwa nchi nzima?

Kudifiwa na machawa?
Kuwa angani kila siku?
 
Mnaonglea mvuto gani?
1. Sura?..si huwa amejifunika?
2. Umbo labda? Mnalionea wapi?
3. Mvuto wa kuongea?...mipasho labda?
4. Sera nzuri za uchumi? Tozo??

Mvuto kwa lipi hasa...kubandikwa nchi nzima?

Kudifiwa na machawa?
Kuwa angani kila siku?
Hakuna mtu hapo
 
Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.
Walijua Mbowe ata overide game.
 
Mkapa alisemwa pia hana Mvuto lakini haikumzuia kuwa Rais kwa awamu mbili

Mafanikio ya kisiasa sio kuwa na Mvuto tu kwny mikutano ya hadhara

Wakati wa Mkapa, Mvuto mkubwa ulikuwa kwa Mrema, wakati wa Abdul wakeel, Salmin, Karume na Shein Mvuto mkubwa ulikuwa kwa Maalim Seif

wakati wa Jakaya Mvuto mkubwa ulikuwa kwa Lowassa

Mvuto has nothing to do with Presidency

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kwa sababu ma Rais huwa hawachaguliwi na wananchi bali wanateuliwa na mamlaka
 
Nilikuwa najiuliza sana wanaposema mvuto wa Mama Samia umepunguwa nawaelewa vizuri sana wiki hii.

Wiki hii nimebahatika kuona video nne. Mama Samia akiwa Hanang akiongea kwenye jukwaa, video ya Mama Samia aliongea waathirika, Mbowe akiongea kwenye msiba wa Askofu na Lissu akiongea kwenye msiba wa Askofu.

Haya matukio yalikuwa muhimu sana kwangu kwasababu kwenye wakati mgumu ndiyo tunaona utu. Kwa upande wa Mama kwanza mkutano wake ulijaa makada na mashati ya kijani wakati watu wa kule sio wapenda siasa na wanaweza kuchagua chama chochote kule.

Pili amewekewa kapeti jekundu sehemu na mkutano wa majanga!. Pamoja na mawaziri kuwa vijana sijaona hata waziri mmoja alinyanyua jiwe au chochote kile.

Kwa ujumla Raisi kabisa na team nzima yake imeonekana kulazimisha mahusiano ya watu hawakupata connection yeyote nao. Wakati wenzao kama Mbowe ameongea kwenye msiba na unaona kabisa watu wana connect naye na Lissu alikuwa anatoa stori yake binafsi na watu wana connect naye.

Tatizo kubwa la Mama Samia amekosa ile connection ambayo alikuwa nayo mwanzoni. Sasa hata mimi binafsi sioni kama yuko real tena badala yake kabaki kuwa mwanasiasa bila kuwa na utu kama mwanzo.

Yule Samia wa kuongea na Mbowe, Lissu, katiba mpya, mwenye kutaka mabadiliko sasa kabaki mwanasiasa ambaye haonekani kama anayofanya au kutaka ni kwa faida ya taifa bali kwa faida ya chama, marafiki na familia.

Hakuna mzalendo wa ukweli asiyetaka katiba mpya ambayo ni kwa manufaa ya nchi na sio mtu binafsi. Kama mtu haoni umuhimu wa katiba mpya basi hafai kwasababu kwanza kutokuelewa umuhimu ni tatizo lakini kikubwa ni kukataa kwa manufaa binafsi.

Swali mmoja nimekuwa najiuliza kama kipimo cha uzalendo. Je Mama Samia anapenda nchi yake kuliko madaraka? Jibu langu mwanzoni alipoanza ilikuwa ndiyo sasa kalewa madaraka jibu ni hapana. Tuendelee kuombea nchi tupate viongozi wazalendo wenye upeo.
Huna akili
 
Bitozo alipoteza mvuto wake kwa wananchi baada ya kuleta TOZO. Yaani chanzo cha matatizo yote hayo ni TOZO.
Hata atumie kiki, mapichapicha, video mbali mbali, wasanii, hawezi kupata mvuto, sababu ni TOZO.
Hata ikitokea akashindwa uchaguzi 2025, ajue chanzo ni TOZO.
Bandari ndiyo ilimzika kabisa.
 
Mkuu Kamundu , you are not right!, huwezi kupima mvuto kwa tukio moja tena la majanga ya Kitaifa!.

Na katika uzungumzaji huwezi kumlinganisha Mbowe, Lissu na Rais Samia, na ku conclude Rais Samia amepungua mvuto!.

Binadamu tumeumbwa tofauti na tuna different reactions kwenye majanga tofauti tofauti!. Niliangalia ile hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere, uwanja wa taifa kuwapongeza makamanda baada ya kushinda vita vya Kagera,

Kwa kilichotokea ajali ya ndege vita, Mwalimu Nyerere alisimama na kushika tuu kichwa bila kusema lolote huku machozi yakimlenga!. Hivyo watu tofauti wana different reactions kwenye majanga tofauti, usitegemee hotuba ya Samia kwenye janga la Katesh iwe na mvuto sawa na Mbowe na Lissu!.

Vuta tuu subra, mivuto ya ukweli tutaipima 2025 October, kwa matokeo ya mivuto na sio kwa hisia za kwenye majanga!.

P
P,

Nilichosema ni fikra za watu na kwenye siasa mvuto na connection ni muhimu na sasa bahati mbaya Mama yetu Samia anaipoteza polepole kwasababu mwanzoni alikuwa anasema kutoka moyoni na kufanya kutoka moyoni. Inaelekea sasa washauri wamepata masikio yake na wanapanga kila kitu kwa manufaa ya chama na yeye binafsi bila kujali maslahi mapana ya nchi. Uzuri wa Utu haufichiki na kikubwa hapo sio kwamba Mama hawawezi kujirudi lakini kwa mara ya kwanza hata mimi nimeona tofauti ya mtu kuwa connected na mtu kutokuwa connected. Mfano hata tukimwacha Mama hawa wasaidizi kuweka red carpet kwenye sehemu ya majanga haiji akilini!!. Mawaziri vijana tukitakiwa kuwaona kwenye mabuti badala yake wamevaa kama mabibi na mabwana harusi!!!. Na mimi kama unavyojua ni mtetezi mkubwa sana Mama Samia na nimempigania hapa sana lakini mimi niko fair sina chama wala agenda zaidi ya kutaka nchi yetu iende mbali zaidi. Nafikiri Assessment yangu ni fair
 
Umeunena uhalisia na ukweli mtupu. Samia wa sasa ni wa kupigania madaraka yake binafsi, wapambe na familia yake, kuliko maslahi ya Taifa. Kwa sasa hana chembe ya uzalendo. Waovu na wahubi wamefanikiwa kumbadilisha na kumshika vilivyo.

Naunga mkono maana huu ndiyo ukweli. Huwezi kuwa Mzalendo eti na kila mtu kasema katiba ni muhimu wewe unasema baadae maana yake unajali madaraka kwanza uzalendo baadae!!
 
Paskali,
Umekosea sana kulinganisha tukio la ndege vita ya mza, reaction ya mwal. Nyerere ktk tukio lile na hii ya Rais Samia huko Hanang. Mvuto wa kiongozi hautokani na kile unachokiita sanduku la kura hasa pale palipo na udanganyifu mkubwa ktk chaguzi.

Kwenye tukio la Hanang, Rais Samia anapaswa kujitathimini na kuchukuwa hatua. Kama kiongozi wa wananchi wote hakukuwa na sababu ya kuchukulia lile janga kichama au kisiasa. Kujaa kwa uniform za chama kuliko wahanga wa tukio lenyewe si massage nzuri ktk jamii. Pia kumsifiasifia kunakofanywa kinafiki na waandamizi wake kwenye matukio kama haya hakumjengei sifa nzuri.

Kwa siku za karibuni siasa za Samia zimekosa mvuto na ushawishi kwa wananchi hadi kwenye chama chake.. Ni swala la watu wa karibu yake kumwambia ukweli kuliko hii ya kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.


Naunga mkono hoja
 
Hana cha kupoteza Samia. Anaweza kwenda sehemu wakakusombwa wavaa kijani wakaigiza kumshangilia mpk shughuli ikaisha.

Kwake yeye Samia anachotaka ninkukalia kiti cha ikulu. Atatumia vyombo vya dola kufanikisha hili na ni dhahiri atafanikiwa.

Kwa uzuzu, ukondoo na unyani uliopo vichwani mwa watanzania ccm itatawala miaka 100 ijayo


Tatizo URaisi ni muhimu sana kwa taifa maana ni taasisi sio mtu tu
 
P,

Nilichosema ni fikra za watu na kwenye siasa mvuto na connection ni muhimu na sasa bahati mbaya Mama yetu Samia anaipoteza polepole kwasababu mwanzoni alikuwa anasema kutoka moyoni na kufanya kutoka moyoni. Inaelekea sasa washauri wamepata masikio yake na wanapanga kila kitu kwa manufaa ya chama na yeye binafsi bila kujali maslahi mapana ya nchi. Uzuri wa Utu haufichiki na kikubwa hapo sio kwamba Mama hawawezi kujirudi lakini kwa mara ya kwanza hata mimi nimeona tofauti ya mtu kuwa connected na mtu kutokuwa connected. Mfano hata tukimwacha Mama hawa wasaidizi kuweka red carpet kwenye sehemu ya majanga haiji akilini!!. Mawaziri vijana tukitakiwa kuwaona kwenye mabuti badala yake wamevaa kama mabibi na mabwana harusi!!!. Na mimi kama unavyojua ni mtetezi mkubwa sana Mama Samia na nimempigania hapa sana lakini mimi niko fair sina chama wala agenda zaidi ya kutaka nchi yetu iende mbali zaidi. Nafikiri Assessment yangu ni fair
True true.
P
 
Paskali,
Umekosea sana kulinganisha tukio la ndege vita ya mza, reaction ya mwal. Nyerere ktk tukio lile na hii ya Rais Samia huko Hanang. Mvuto wa kiongozi hautokani na kile unachokiita sanduku la kura hasa pale palipo na udanganyifu mkubwa ktk chaguzi.

Kwenye tukio la Hanang, Rais Samia anapaswa kujitathimini na kuchukuwa hatua. Kama kiongozi wa wananchi wote hakukuwa na sababu ya kuchukulia lile janga kichama au kisiasa. Kujaa kwa uniform za chama kuliko wahanga wa tukio lenyewe si massage nzuri ktk jamii. Pia kumsifiasifia kunakofanywa kinafiki na waandamizi wake kwenye matukio kama haya hakumjengei sifa nzuri.

Kwa siku za karibuni siasa za Samia zimekosa mvuto na ushawishi kwa wananchi hadi kwenye chama chake.. Ni swala la watu wa karibu yake kumwambia ukweli kuliko hii ya kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
Hili neno!.
P
 
Back
Top Bottom