DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 3,131
- 2,537
Kila mtu atakufa, ni muda tu tunatofautiana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa pumzi ina uhusiano gani na tapeli allah?Pumzi inakupa kibri sana, je wale waliokufa kwenye ajali za hivi karibuni na wengine wamekufa kwa heart attack walijua siku hiyo watakufa! Hivyo usijisahau ukajua hutakufa.
Unapoambiwa hivyo vikundi vinatumia raia kama ngao uwe unaelewaSasa kama unakaa juu unapiga chini mabomu tu mpaka raia kwanini watu wasiseme?
Nam, umeniita?
Israel wanamudu vipi kula vichwa vingi vya wakuu kiasi hiki ?Nam, umeniita?
Tatizo nni?
Punguza story za vijiwe vya ghahawa na kashata.Vita Haina mshindi....
Unajua Israel amepata hasara gani kiuchumi kuanzia mwanzo wa vita? Kama haujui Israel Kwa Sasa maisha yamekua magumu kutokana na kutopatikana Kwa bidhaa Tosha punde tu mashambulizi yalipoanza Red sea.
Kama haujui Israel akishambulia tu Iran nao wakajibu mapigo Kwa vita rasmi, basi na uchaguzi wa Marekani umeharibika(hii hauwezi kuijua).
Hiyo siyo issue Kwa mhayudi mhimu magaidi waishe Ili amani itawale na safari hii wamedhamiriaVita Haina mshindi....
Unajua Israel amepata hasara gani kiuchumi kuanzia mwanzo wa vita? Kama haujui Israel Kwa Sasa maisha yamekua magumu kutokana na kutopatikana Kwa bidhaa Tosha punde tu mashambulizi yalipoanza Red sea.
Kama haujui Israel akishambulia tu Iran nao wakajibu mapigo Kwa vita rasmi, basi na uchaguzi wa Marekani umeharibika(hii hauwezi kuijua).
Ugaidi haujawahi kuisha .....Hiyo siyo issue Kwa mhayudi mhimu magaidi waishe Ili amani itawale na safari hii wamedhamiria
Sijazugumzia kuhusu ubabe wa kiuchumi wa Israel. Nimeongelea juu ya vita ilivyo disturb supply chain ya bidhaa kwenda Israel kupitia red sea. Unaweza ukawa na pesa lakini bidhaa ni chache.Punguza story za vijiwe vya ghahawa na kashata.
Gaza inapewa chakula, dawa na misaada mingi kwa ufadhili wa Israel na umoja wa mataifa,
Nakupa facts kutoka IMF shirika la fedha duniani, Israel ni nchi ya pili kwa uchumi Mashariki ya kati, kwa mwaka huu wana uchumi wa dola bilioni 530 (Shilingi Trilioni elfu moja na 400)
View attachment 3119064
Unaelewa maana ya Uongozi??Kuua viongoz sio strategy ya kushinda vita... ukiua atachaguliwa mbadala wake
Tangaza basi Yahudi kashindwa vita 🎤Sijazugumzia kuhusu ubabe wa kiuchumi wa Israel. Nimeongelea juu ya vita ilivyo disturb supply chain ya bidhaa kwenda Israel kupitia red sea. Unaweza ukawa na pesa lakini bidhaa ni chache.
Ushindi wa vita ni kutimiza malengo sio umeuwa nani na nani au umeua wangapi.Wao husema wanakipenda kifo kama ilivyo kwa watu wa kawaoda wanavyothamini uhai, ajabu ni kwamba Israel ikitungua viongozi wakuu kuna vilio na misagano ya meno.
Israel inaendelea kula vichwa vya viongozi wakubwa kwa spid ya ajabu, Pamoja na kujificha kwenye mahandaki yenye zege zito, Israel inawafikia kunako
Viongozi wote wa juu wa Hezbollah wameliwa vichwa, Wiki iliyopita walimla kichwa kiongozi wa Hezbollah, wiki hio hio wakamla kichwa alietaka kuichukua nafasi hio, Leo hii wamekula kichwa cha Kamanda mkuu wa isafirishaji ndani ya Hebollah,
View attachment 3119006
Huko Iran ngome kuu, Rais alitunguliwa kwenye helikopta, wiki hii wamekula kichwa kingine cha kamanda mkuu wa Quds kitengo cha jeshi kikubwa zaidi Iran.
Viongozi kibao wa Hamas wameliwa vichwa akiwemo kamanda mkuu alietegewa bomu chini ya kitanda akiwa ikulu ndogo ya Iran yenye ulinzi wa special forces akisubiria uapisho wa rais mpya.
Hivi ni vikundi sio jeshi rasmi haviwezi kuwa sawa na jeshi la nchi husikaUnapoambiwa hivyo vikundi vinatumia raia kama ngao uwe unaelewa
Israel imejenga mahandaki kulinda raia dhidi ya makombora yanayorushwa na Hamas, Iran, Hezbollah, houthi, n.k
Hezbollah, Hamas, Houthi, Iran wanajenga mahandaki kujificha wao hawathamini maisha ya raia wengine, Israel inaendelea kuwatungua humo humo kwenye mahandaki
Wao husema wanakipenda kifo kama ilivyo kwa watu wa kawaoda wanavyothamini uhai, ajabu ni kwamba Israel ikitungua viongozi wakuu kuna vilio na misagano ya meno.
Israel inaendelea kula vichwa vya viongozi wakubwa kwa spid ya ajabu, Pamoja na kujificha kwenye mahandaki yenye zege zito, Israel inawafikia kunako
Viongozi wote wa juu wa Hezbollah wameliwa vichwa, Wiki iliyopita walimla kichwa kiongozi wa Hezbollah, wiki hio hio wakamla kichwa alietaka kuichukua nafasi hio, Leo hii wamekula kichwa cha Kamanda mkuu wa isafirishaji ndani ya Hebollah,
View attachment 3119006
Huko Iran ngome kuu, Rais alitunguliwa kwenye helikopta, wiki hii wamekula kichwa kingine cha kamanda mkuu wa Quds kitengo cha jeshi kikubwa zaidi Iran.
Viongozi kibao wa Hamas wameliwa vichwa akiwemo kamanda mkuu alietegewa bomu chini ya kitanda akiwa ikulu ndogo ya Iran yenye ulinzi wa special forces akisubiria uapisho wa rais mpya.
Watakuambia hao wote walioliwa vichwa ni wanawake na watoto 😂😂😂Wao husema wanakipenda kifo kama ilivyo kwa watu wa kawaoda wanavyothamini uhai, ajabu ni kwamba Israel ikitungua viongozi wakuu kuna vilio na misagano ya meno.
Israel inaendelea kula vichwa vya viongozi wakubwa kwa spid ya ajabu, Pamoja na kujificha kwenye mahandaki yenye zege zito, Israel inawafikia kunako
Viongozi wote wa juu wa Hezbollah wameliwa vichwa, Wiki iliyopita walimla kichwa kiongozi wa Hezbollah, wiki hio hio wakamla kichwa alietaka kuichukua nafasi hio, Leo hii wamekula kichwa cha Kamanda mkuu wa isafirishaji ndani ya Hebollah,
View attachment 3119006
Huko Iran ngome kuu, Rais alitunguliwa kwenye helikopta, wiki hii wamekula kichwa kingine cha kamanda mkuu wa Quds kitengo cha jeshi kikubwa zaidi Iran.
Viongozi kibao wa Hamas wameliwa vichwa akiwemo kamanda mkuu alietegewa bomu chini ya kitanda akiwa ikulu ndogo ya Iran yenye ulinzi wa special forces akisubiria uapisho wa rais mpya.
Ina uhusiano na tapeli lililokamatwa na kijana akiwa uchi huku chupi kaiweka begani katikati ya vichaka vya bustani ya GesthemaneSasa pumzi ina uhusiano gani na tapeli allah?
Punguza story za vijiwe vya ghahawa na kashata.
Gaza inapewa chakula, dawa na misaada mingi kwa ufadhili wa Israel na umoja wa mataifa,
Nakupa facts kutoka IMF shirika la fedha duniani, Israel ni nchi ya pili kwa uchumi Mashariki ya kati, kwa mwaka huu wana uchumi wa dola bilioni 530 (Shilingi Trilioni elfu moja na 400)
View attachment 3119064
Vijana wa tapeli Allah na marehemu muhammad mnateseka sana.Ina uhusiano na tapeli lililokamatwa na kijana akiwa uchi huku chupi kaiweka begani katikati ya vichaka vya bustani ya Gesthemane