Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,626
- Thread starter
- #61
Kuna tofauti ya umuhimu wa hicho unachowafundisha hapo awali na sasa? Je huko nyuma walikuwa wanafaulu kwa urahisi? Wakati mwingine wanafunzi hupuuzia vitu ambavyo wanahisi havina umuhimu sana au kwa mazingira yaliyopo wanaona watafaulu tu.
Lakini mbona haya matatizo nakumbana nayo sasa na siyo enzi zile?
Mbona sisi tulifundishwa hivi hivi tukaelewa na wanafunzi wetu wa awali sasa ni maprofesa wazuri.
Hawa wa sasa ndiyo wamekuwaje? Au sisi ndiyo tumepitwa na time?