Nawafundishaje walimu ili waje kufundisha?



Ahsante sana mkuuu EMT,

Kwa ujumla hata wenzangu wanalalamika.....@cc Kaizer,

Nitajaribu kuona cha kufanya ila nafsi yangu inanisuta kwamba lazima wazome na kuelewa haya mambo kwani ni muhimu katika career yao!
 
Last edited by a moderator:
Unaweza kutafuta walimu wenzako wazoefu na uwaelezee tatizo unalolikabili...Jaribu hata kutafuta mwalim mstaafu wa somo lako halafu fanya kama unampa mualiko ili aje kujifurahisha na akumbukie enzi zake...na wewe kaa darasani ili uweze kuona mbinu anazotumia....Mkuu umeshahu kua elimu haina mwisho?...Pia usisahau jungu kuu halikosi ukoko....watakucheka wenzako!!
 

Mbona mimi mwenyewe ni mstaafu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…