Nawaita wataalamu wa ndoto, wachawi , wajuvi wa mambo, wadadisi, wanazuoni, mafundi wa masuala ya kiroho. Mnipe jawabu ya hili jambo

Na Mimi mwenye ujuzi na masuala ya ndoto ya kufanya mapenzi sura tofauti tofauti anisaidie maana zinanitesa sana nikipata mchungaji wa kiroho wa ukweli aweze kuniondolea hili jini mahaba nitashukuru sana
Tafuta haraka wananaombi au Mchungaji wa Kweli aliyeokoka.

Usaidiwe kuivunja NDOA hiyo ambayo tayari umefunga na Pepo.

Cheti Cha NDOA kifutwe, Pete uliyovikwa ivuliwe, Mahari waliyokutolea IRUDISHWE, hapa lazima ubebe sadaka. Ndipo AGANO la NDOA livunjike .

Muhimu uokoke, upate uongozi wa Roho mtakatifu, ikiwa uliwahi kujichua, kuangalia picha za ngono, au ulifanya UZINZI, kununua MAKAHABA, acha mara Moja,maana matendo hayo hukaribisha mapepo.
 
Mtu mwenye jini mahaba, ni mfungwa, amefungishwa NDOA na Pepo, mfungwa kujifungua pingu pekeake haezi,

Aende Kwa mtumishi wa Mungu, asaidiwe kutolewa katika kifungo hicho Cha NDOA fake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…