Nawajua mashoga 5, wote walianza kwa kufanyiwa dhuluma ya kingono utotoni

Kwa sisi ambao tumepitia ujasusi wa saikolojia tunajua lengo la Uzi wako ni kuitambulisha hiyo LGBT ili mapunga wasikate tamaa wakijua wanawatetezi wengi.


Unatumia njia Kama Ile ya freemason walivokua wanajivumisha kwamba wanatoana kafara at the end of the day wakafanikiwa kuwa maarufu Kama walivopanga
 
Hivi mwanaume unawezaje vumilia kuingilia. Wakati tuu mtu ukipata choo kigumu kesho yake hospital.

Wapigwa pipe wana moyo wa ziada
 
Tumuombee barduu alikuwa anafirwa enzi yuko sekondari pale moshi tec...leo hii ni askari jeshi pale dodoma...barduu😂😂..barduuu..
 
Mtoa mada anatoa tobo
 
Prostate messaage ni nn hiyo mkuu?
 
haimfanyi akawa shoga, Je ukiangalia hawa watu waliofanyiwa hivyo vitendo utoto na wakawa mashoga kulinganisha na idadi ya watu hao kudhibitisha kuwa mashoga wote walitokana na hivyo vitendo?
james delicious ni shoga sababu ya kulawitiwa na jirani yao

huyo jamaa alifungwa 30yrs, james amebaki kuwa shoga maarufu tz

msimpinge mtoa mada, most of gays fatilia wametokana na kuingiliwa na watu wa karibu
 
Prostate massage ndo kufanyeje?
 
kwasisi tuliosoma cuba mtoa mada ni mdau either shoga au basha

ukiona mtu anapinga ushoga ,kuna njia za kupinga ushoga tukiziona tunajua ni mdau

kwa saikolojia huyu ni mmoja ya hao watano au mmoja ya wanaoingilia
 
james delicious ni shoga sababu ya kulawitiwa na jirani yao

huyo jamaa alifungwa 30yrs, james amebaki kuwa shoga maarufu tz

msimpinge mtoa mada, most of gays fatilia wametokana na kuingiliwa na watu wa karibu
Hakuna lolote,, huyo james kaanza kutiwa na watoto wenzie mpaka wakubwa wakawa wanamfokoa,, kifupi aliupenda huo mchezo tangu mdogo
 
Uchoko ni chaguo,, mm naishi huku south Africa, yani huku hawa jamaa wanachukuliwa kawaida sana, kifupi hakuna anaewashangaa zaidi sisi ndo tunawashangaa, na wao wanatushangaa sisi kwa kuwashangaa,, shule zote kuanzia primary mpaka chuo kuna machoko na walimu wote wanawajua tena wanapendwa hao balaa,, hakuna mtaa uliokosa choko,, kuna mmoja nilishawahi kumuuliza kwa nini unapendwa kufirwa,, jibu lake kasema ye amechagua mwenyewe,,, so hoja ya mleta uzi wala si kweli kuwa sexual abuse ndo inafanya mtu kuwa choko,, hao wanataka wenyewe!!
 
alilawitia na muhusika alipigwa nyundo 30 acha ubishi
Hoja yangu ni kwamba huyo jamaa sio aliemsababishia uchoko,, isipokuwa yeye mwenyewe huo mchezo anaupenda tangu mdogo,, kwa kuwa alianza kugongwa na watoto wenzie kabla ya wakubwa
 
Na jasusi mimi najua kuwa lengo la reply yako hii ni kuupromote ufreemason ili watu waone ni kitu cha maana tu na kwamba yote mabaya meengi yasemwayo ni uongo tu.
 
Na jasusi mimi najua kuwa lengo la reply yako hii ni kuupromote ufreemason ili watu waone ni kitu cha maana tu na kwamba yote mabaya meengi yasemwayo ni uongo tu.
Tunajua mnapewa posho na marupurupu mengi kwa kutetea ushoga Ila think twice,

Basha nae ni shoga mtarajiwa na ushoga mwisho wake ni kushindwa kabisa kuhimili tendo la ndoa.

Nikiangalia mbali kabisa naona huko mbeleni kutakua na biashara kubwa ya dildo kwasababu hakuna atakayeweza kumuingilia mwenzie

Watapiga hela ndefu sana kwa hizo bidhaa.

Kwa haya mafungu ya pesa wanayotenga plus Hawa watetezi Wa haki za binadam, Miaka 30 mbele kutakua na uhaba mkubwa wa wanaume(marijali)
 
Nilikuwa najaribu tu na mimi kuonyesha ulipoacha nafasi ya kuweza kushambuliwa na wewe kwa aina ya mashambulizi inayofanana na uliyoyatoa. Kama challenge hiyo imeonekana kwako kuwa naupigania ushoga na kwamba nalipwa kabisa, basi ubarikiwe sana kiongozi.
 
Alichoandika mleta uzi ni sahihi kabisa. Unachosema hapa ni argument ambayo inalenga kutengua hoja ya mleta mada.

Mimi nina ushahidi pia na studies zaimeshafanyika kuprove hiyo kitu. Ni kweli kuwa si kila homosexual au Gay anakuwa ni zao la moja kwa moja la childhood traumatic experiences kama za kufanyiwa molestation na sexual violence. But ni kweli kuwa most of watoto waliopitia childhood molestation especially males wapo likes by 100% kujihusisha na homosexuality especially kuwa gays kwa upande wa wanaume na lesbians kwa upande wa wanawake.

So yes, mleta mada yupo sahihi kwa asilimia 100%.

Na kwahiyo scenario ya jamaa muuza urojo napenda tu nikufahamishe kuwa pia ni contributing factor ya uwepo wa homosexuals especially Gays kwasababu mtoto wa kiume ambaye amefanyiwa molestation utotoni yupo likely kurudia the same thing kwa watoto wadogo kipindi akiwa mkubwa sababu its one of bad experience au category ya childhood traumas ambazo zina affect makuzi ya ubongo katika eneo la sexuality.

Asante.
 
Umetumia aya ndogo kuconclude mada nzima. This is poor comprehensive reading mkuu. Unatakiwa uelewe maudhui ya mwandishi kwa ujumla wa habari yake ili hata akiwa bad writer uweze kumuelewa as a skillful reader.

Anyways. Jifunze kusoma mwanzo hadi mwisho kisha fikirisha kichwa chako kutokana na kila detail. Sio unachukua kijisehemu cha aya ya habari nzima then unakitumia kujenga hoja ya kubatilisha the whole text and its context.

Improve.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…