Nawajua mashoga 5, wote walianza kwa kufanyiwa dhuluma ya kingono utotoni

james delicious ni shoga sababu ya kulawitiwa na jirani yao

huyo jamaa alifungwa 30yrs, james amebaki kuwa shoga maarufu tz

msimpinge mtoa mada, most of gays fatilia wametokana na kuingiliwa na watu wa karibu
huyu yeye aliamua tu kuendelea kufir--- tu, je unajua watoto wangapi waliofanyiwa hivyo vitendo na wakaendelea kubaki bila kujihusisha na ushoga
 
Aya ya kwanza umesema mleta mada yupo sahihi kabisa, aya ya pili umesema ni kweli si kila homosexual ni zao la trauma.

Pedophiles as individuals ambao ni likely kufanya hizi molestation hawafanyi kwaajili ya sexual gratification tu they also do it as a display of power over their victim.

When this is done frequently inamfanya victim ajione helpless na aamini kwamba to wield such power na yeye atatakiwa kufanya same na alichofanyiwa. Kutokana na hilo it is very likely huyu mtu akawa malaya, pedophile and in a worst case scenario ndiyo tumepata watu kama Jeffrey Dahmer.

Kuna case study moja ya babu aliyekua akiwamolest wajukuu wake wawili, mmoja akawa anamuingiza uume kabisa na mwingine hamuingizi anaishia kumshika shika tu. Logically itakufanya uhisi ambaye aliingizwa ndiye aliharibiwa saikolojia kuliko aliyeishia kushikwa shikwa.

But, aliyeishia kushikwa shikwa alikuja kua malaya sana kwa kuamini kwamba 'I am not enough' ndiyo maana babu hakua akiingiza uume wake. So this lady alikua akicompensate kwa kulala na kila mtu. Am simply saying a trauma can't have same effect kwa kila individual.

Anayelawitiwa ana chansi kubwa ya kuja kua mlawiti kuliko kuendelea kua mlawitiwa.

as I pointed earlier, kwamba sex ni identity ambayo hua acquired, homo wengi hupatikana kwa kuaminishwa na kulearn. So mtoto wa kiume akiaminishwa yeye ni Ke kuend up as Ke haiwezi kua ajabu. Kama uliwahi angalia mahojiano ya Zamaradi na shoga aliyejiita kaoge jinsi gani aliingia huko utakubaliana na nilichoandika.

Shukrani.
 
alilawitia na muhusika alipigwa nyundo 30 acha ubishi
Tunaweza kuipata wapi hii kesi? Na sisi tuisome.

Inahitajika mtoto alawitiwe kwa kipindi cha muda gani ili awe shoga?

Akishakua shoga akianza kufanya mapenzi na mwanamke itamchukua muda gani kua rijali?
 
Mkuu nimesoma mwanzo mpaka mwisho. Nilicho argue hapo ni wazo kuu la mada (kulawitiwa kama chanzo cha ushoga) kwa hao watano alotafiti. Ndo maana nimeshauri aende hata fb kule wako wengi zaidi.
 
Hata mm kwa reseach yangu ndg nliyoifanya kati ya mashoga 10,8-9 walinyanyaswa kingono wakiwa wadogo tena bahati mbaya na watu wao wa karibu.1-2 wameingia huko kwa kua influenced na mazingira
 
Hii ndio njia pekee iliyobaki.
 
Ni vema kuelewa concept ya mtoa mada kabla ya kutoa maoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…