Yaani Coastal inaenda kufunga goli la ushindi wakati ni tawi la Simba na inatakiwa kuiachia Simba ipate ushindi rahisi?Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Wamesahau wana utitiri wa vidagaa kwa mgongo wa udhamini wanavionea.Yaani Coastal inaenda kufunga goli la ushindi wakati ni tawi la Simba na inatakiwa kuiachia Simba ipate ushindi rahisi?
Wanadai Coastal ni tawi la Simba wakati huo huo wanasema Coastal ilikuwa inaenda kuifunga Simba.Wamesahau wana utitiri wa vidagaa kwa mgongo wa udhamini wanavionea.
🤭Mnachekesha sana.
Wabaki kwenye mstari mnyoofu ni tawi au ilienda kufunga?? HahahhWanadai Coastal ni tawi la Simba wakati huo huo wanasema Coastal ilikuwa inaenda kuifunga Simba.
Well saidHiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Mi nashindwa kushangaa kama kostali ni tawi la simba wangerudisha mpira nyuma na si kutaka kutufunga.Yaani Coastal inaenda kufunga goli la ushindi wakati ni tawi la Simba na inatakiwa kuiachia Simba ipate ushindi rahisi?
Hersi ndio baba wa bwana harusi. Aiseee, nchi ngumu sana hii.Naona wadau wa uto hapa wanapiga picha kwny carpet ya harusi ya Hamisa Yupo injinia Hersi na mzee wa dodoma jiji mavunde
Mechi na timu yoyote ndogo iliyodhaminiwa na GSM, lazima tuingize gia ya Ubaya Ubwela. Mlifanya hayo mambo, tukawaangalia tu, tukaona yataota mizizi. Tarehe nane refa huyu huyu achezeshe.Ngoja tufanyiane michezo michafu
Tumegundua hamtaki mpira ucheze kiwanjani
Ngoja tufanye yetu
Kweli wewe ndo mwanachama halisi wa RageMechi na timu yoyote ndogo iliyodhaminiwa na GSM, lazima tuingize gia ya Ubaya Ubwela. Mlifanya hayo mambo, tukawaangalia tu, tukaona yataota mizizi. Tarehe nane refa huyu huyu achezeshe.
Mechi ya derby iliyopita kuna penati halali kama tatu, "Kanyoko" alizikaushia.
Kama leo, umemfokea refa ukawa na kadi ya njano, next mchezaji wa timu pinzani hana mpira, unamgonga usoni makusudi, kwanini usipewe kadi?
Wame comit fouls ndani ya kumi na nane kwanini isiwe penati?
Na wakumbuke tu vyovyote vile mwamuzi atakuwa ni Ahmad Arajiga, ambaye siku zote huwa anachezesha kwa kufuata sheria 17 za mpira wa miguu! Na siyo kwa maelekezo, au bahasha ya khaki.Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Nipo ndugu yangu 😃 😀Nimekumis mtani wangu..
Mbona uko kimya sana?.
Umeacha ushabiki nini?.
Yaan Hawa Wa.e.ge wakishinda kelele wakiongoza ligi kelele sijui watajifunza lini.Hayooooo hayooooo yameumiaaa hayoooo
View attachment 3242142
Kasha jamba huyo Achana naeYaani Coastal inaenda kufunga goli la ushindi wakati ni tawi la Simba na inatakiwa kuiachia Simba ipate ushindi rahisi?
Mwenye ligi ni simba Bata wewLigi haina wenyewe
Refa aliyewabeba mechi ya coast union,
Leo tena kapewa mechi awabebe tena
Nan kazurumiwa?Yanga Au Namungo?Penalties dhidhi ya timu pungufu?
Red card ya dhuruma