Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko ni loser cup mkuu....Yanga hawapoHayooooo hayooooo yameumiaaa hayoooo
View attachment 3242142
Mpige Singi kwanza huyo naona anasinziaSasa unalia nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee umevurugwaaa??
Huwezi kuwa na akili timamu ukatumia tekno.
Lefa ????hebu ficha ujinga wako basiLefa wanaharibu ligi yetu tusitaraji kuona vipaji vikiibuka au kuona timu ndogo kujibeba...
Ilistahili penalti 3 na zote Kayoko alipeta.Kwa utaalamu wako wa mpira wa miguu derby ilopita haikustahili penati?
Tutazaa naooo mapacha kuanzia atakae toa penalty na atakaekuwa uwanjan mkuuHiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Derick Mukombozi alimchapa Ateba kofi la fasta fasta akadhani refa hajaonaPenati zote zilikuwa halali,kadi nyekundu sijui nini kilitokea!Huenda refa aliona kitu kikitendwa dhidi ya Ateba!
Kwani refa atakuwa tena Ramadhani Kayoko?Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Hiki ndicho siku zote sitaki kuongea masuala ya mpira na shabiki wa yanga wengi wao hawajui mpira...Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Uto not richabo anywea
hahaha sawa tukutane tar 8Ilistahili penalti 3 na zote Kayoko alipeta.
sisi nyuma mwiko bila kayoko kuchezesha hiyo derby tunagoma kucheza maana safari hii wenzetu wamedhamiria kutupiga za kututoshaHiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3