The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Yaan hata Mwamuzi awe Hamisa mshika Kibendra huku awe Hersi ,kulia awe Kamwe na kamisaa Privadinyo tarehe hiyo mnakufaNa wakumbuke tu vyovyote vile mwamuzi atakuwa ni Ahmad Arajiga, ambaye siku zote huwa anachezesha kwa kufuata sheria 17 za mpira wa miguu! Na siyo kwa maelekezo, au bahasha ya khaki.