The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Yaan hata Mwamuzi awe Hamisa mshika Kibendra huku awe Hersi ,kulia awe Kamwe na kamisaa Privadinyo tarehe hiyo mnakufaNa wakumbuke tu vyovyote vile mwamuzi atakuwa ni Ahmad Arajiga, ambaye siku zote huwa anachezesha kwa kufuata sheria 17 za mpira wa miguu! Na siyo kwa maelekezo, au bahasha ya khaki.
Mnabishana na a mental case.Hajui hata anaandika nini?Atajinyongq huyoWabaki kwenye mstari mnyoofu ni tawi au ilienda kufunga?? Hahahh
Akili ndogo kweli ,refa anaweza kumaliza mpira muda wowote pale muda wa nyongeza ukiisha na hakuna tukio lililosababisha kuongeza muda wa ziada ,ata kama kuna Kona atamaliza bila Kona kupigwa.Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Wewe kweli kilaza sasa sheria gani inasema timu ikiwa pungufu haistahili kupewa adhabu ya penati.Penalties dhidhi ya timu pungufu?
Red card ya dhuruma
Hakumbuki mechi yetu na wao walifunga goli la mpira uliokuwa umedunda nje tayari.Hapo sawaa mtani...
Nje ntiti ndani ntitiii..
Timu ya ukuadi nasikia pacome wamemtafutia,wanawalipa wachezaji wa kimataifa mishahara kisha wanatafuta malaya wa kuzipuna pesa ZAO.YANGA IMEKUWA CASINO AU NIGHTY CLUB.Hersi ndio baba wa bwana harusi. Aiseee, nchi ngumu sana hii.
Wewe ndo unataka akuoe na Pacome, Aucho au Musonda?Timu ya ukuadi nasikia pacome wamemtafutia,wanawalipa wachezaji wa kimataifa mishahara kisha wanatafuta malaya wa kuzipuna pesa ZAO.YANGA IMEKUWA CASINO AU NIGHTY CLUB.
Mwaka huu umaarufu utaupata tu,PAMBANA KIJANA.Wewe ndo unataka akuoe na Pacome, Aucho au Musonda?
Wenzako wanaoa wewe unalalamika
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha,, uto wameanza wenyewe hizi kazi, tulia dawa iwaingie,,
Siga ungwe,,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ambaye anasema penalty hazina mashiko alete hapa ushahidii...mbavuuuuu
Tena na waziri wa michezo alikuwepo...waziri shabiki wa utopwolo kindaki...
Sasa unalia nn? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja tufanyiane michezo michafu
Tumegundua hamtaki mpira ucheze kiwanjani
Ngoja tufanye yetu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]KAKOJOE UKALALE.
HUO UKIMWI ULIONAO UTAKUTESA SANA NA HIVI MAREKANI WAMEGOMA KUTOA DAWA ZA UKIMWI(ARV).
Hilo li Arajiga si shabiki kindaki wa uto, nani hajuii?Na wakumbuke tu vyovyote vile mwamuzi atakuwa ni Ahmad Arajiga, ambaye siku zote huwa anachezesha kwa kufuata sheria 17 za mpira wa miguu! Na siyo kwa maelekezo, au bahasha ya khaki.
Hiyo mechi ndio kilele cha "ubaya ubwela" baada ya hapo mtatishia kuhama ligi maana watu sio wajinga wanavyowaona mnaufanyia maigizo mpira wetu, mwaka huu mtake msitake simba bingwa.Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Nicheke tu kwakweliHiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Hivi kumbe huyu ndo alimalizaga Ile mechi ya Simba na coastal union huku mtu akiwa anaenda kushambulia hadi Leo nikiangaliaga Ile clip basi mbavu Sina hua nacheka sana [emoji1787] bahati nzuri hata refa mwenyewe hua anacheka hahahahHiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3
Yani hawa Manamba tr 8 tucpowaweka cc hata wenyewe watajiweka kama walivozowea.Hiyo mipango ya hujuma Kwa Yanga haitafanikiwa
Yanga ni kubwa mtafungwa tu
Huyu mwamzi ndo alimaliza mechi ya Simba vs Coast union,
Coast union walikuwa kwenye move ya kufunga goli la ushindi lakini isivyo kawaida mwamzi alimaliza hiyo mechi
Na Leo ndo kapewa hii mechi akachezesha uharo huu
Oneeni vidagaa lakini hakika march 8 ndo itamaliza yote
Yaani mnahonga waamzi wanatoa red card ili mcheze na timu pungufu
Mkapata penalties 3