Nawakumbusha tu zimebaki Siku 4 tu ili JWTZ waanze Msako wa Nguo zinazofanana na Sare zao Majumbani na Mitaani

Sare za JWTZ sio makombati tuu ya mabaka mabaka... kuna zile sketi na shati au suruali na shati rangi onakua kama dark blue na sharti la dark blue.... hizi itakuaje?
Na zingine hazifanani na combati ya Tz ila zinafanan na combati ya Ghan. Je wanazitaka na hizi?
 
Kwa mfano, Arusha kuna viatu vingi sana maduka ya mtumba ziko boot kama za jeshi lakini siyo jeshi hili, sisi tunaita American boot, au jungle boot , nazo watasema ni zao?
 
Na zingine hazifanani na combati ya Tz ila zinafanan na combati ya Ghan. Je wanazitaka na hizi?
Ilimradi chochote kile, iwe nguo yenye mabaka yanayofanana na zao au hata za nchi za nje🀦🏾🀦🏾🀦🏾
 
Ilimradi chochote kile, iwe nguo yenye mabaka yanayofanana na zao au hata za nchi za nje🀦🏾🀦🏾🀦🏾
Kwanini halisimamiwi na sheria na badala yale wanasimamia wao? Ikitokea madhara tutamlaum nani?
 
si wasake wezi na wala rushwa.
 
du haya.
 
Huruhusiwi kufanana nguo na jeshi lolote la Tanzania
 
Watafutiwe vita waende pigana na wababe wenzao huko...
 
mkuuu wamesema nguo zoote hata za majeshi mengine hutakuwi kuwa Nazi wewe RAIA,zipeleke serikali ya mtaa

yasije kukupata mazito
 
Washindwe kusaka wauwaji kibiti waweze kuingia majumbani mwa watu kutafuta nguo zinazofanana na sare zao kweli kuna maajabu. Kwanza wangekataza nguo hizo kuingia kama mitumba au nguo spesho alafu ndio watoe katazo lao. Sasa wanatuuzia mtumbani alafu uswahilini wanatumendea. Nchi ngumu sana hii
 
Sare za JWTZ sio makombati tuu ya mabaka mabaka... kuna zile sketi na shati au suruali na shati rangi onakua kama dark blue na sharti la dark blue.... hizi itakuaje?
Hizi za walinzi wa makampuni hazina shida
 
Mm nina boksa ya bakabaka nani atanichungulia kuona boksa yangu??

Wanamaindi mambo ya ajabu sana.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…