Nawalaumu sana Hamas, Serikali ya Israeli pamoja na wale wanaowaunga mkono

Nawalaumu sana Hamas, Serikali ya Israeli pamoja na wale wanaowaunga mkono

adriz

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
12,207
Reaction score
26,521
Moja kwa moja..

1. Kwa nini nawalaumu Hamas ?

Sikatai ukweli kwamba Raia wa Palestine wameishi kwa mateso miaka mingi chini ya utawala wa Wazayuni,wakiuwawa kunyimwa haki za msingi nk na nakubali kwamba wanayo haki ya kupambana katika kujikomboa na madhila wanayopitia.

Ninapowapinga ni njia ambazo wanatumia katika kujikomboa asilimia kubwa napingana nazo kwani zimeleeta maafa makubwa kwa Raia wao baada ya ukombozi ,kwani naamini matokeo ndio hujulisha faida ya Jambo na kama wanataka ukombozi wa kweli ingekuwa bora kwao kujipanga kwa nguvu zote kiimani ,kimbinu na mikakati silaha nk na sio kukurupuka tu na kushambulia ambapo matokeo yake kila siku yanaonekana maafa yanayopatikana ni makubwa zaidi kukiko faida.

Wawe na huruma na raia wao hakuna sifa wala wema kwa watu wachache kusababisha vifo na maafa makubwa kwa watu wao hiyo no hasara kubwa sana hata Mimi nikijiona sina nguvu na nikitunisha misuli nitapata madhara makubwa sana nitakubali kuishi kinyonge huku nikijipanga kisasawa mpaka pale nitakapokuwa na uhakika kuwa sasa ninaweza kushinda.

Lawama sehemu ya pili
Hapa ninazungumzia suala zima la kukamata raia wasio na hatia ,kuua ,kutesa nk ,hili swala napinga moja kwa moja hata ikiwa adui anafanya hivyo dhidi yako lakini haipaswi adui tena muovu awe mwalimu wako ,kwani hata Sheria za Uislamu inaelekeza vyema katika mapambano ikitokea vita hairuhisiwi kuua watoto wadogo ,wazee ,wanawake ,kuharibu mwili wa marehemu na kuudhihaki baada ya kukata Moto,kuharibu mashamba ,majengo nk pamoja na kuua wale wasiokushambulia na wanataka Amani.

IMG_20231029_195533.jpg


2. Kwa nini nailamu Serikali ya Israel?
Hawa kwa miaka mingi wamekuwa wakiwafanyia unyama na udhalimu Raia wa Palestine ,pamoja na kufanya collective punishment kwa Raia wa Palestine kwa mwamvuli wa kuwaua magaidi hii sio sawa kabisa wanafanya ugaidi wa wazi

IMG_20231009_054507.jpg


Huku ni westbank hakuna Hamas

IMG_20220530_133024.jpeg.jpg


IMG_20231009_054529.jpg


Summary ya idadi ya mauaji kwa Raia wa Palestina tokea zamani kabla ya hata Hamas kuwepo.

IMG_20230608_220104.jpg



Nahamia kwa Wapambe Uchwara na Wanafiki.

NB : Haipaswi kwa mtu yeyote aliye na akili timamu kufuraia mauaji ya mtu yeyote asiye na hatia na kushangilia kama Jambo zuri limefanyika haswa waathirika zaidi wakiwa watoto ,wakina mama na wengine wasio jiweza.


Watu wengi ukiacha wale wapo neutral nasema wake ambao wana mahaba na wanashangilia Israel katika kipindi kirefu wakati Raia wasio tena kuonyesha kurahia hadharani kuwa wote ni magaidi , mifano halisi ni hiyo
chini.

IMG_20231031_202653.jpg


Wa pili huyu.

IMG_20231031_202621.jpg


Sasa nauliza Raia kibao wa Palestine wao hawana wazazi ,ndugu au sio binadamu kiasi ambacho mtu kuona mauaji Yao ni kitu cha mchezo na kuwehuka kama hao juu ? mtu huyo huyo Maghayo na genge lake jana wakitoa lawama kubwa na kusikitika ,na kutukana hovyo kwa hasira kutokana na video ya kifo cha kikatili cha mtanzania mwenzetu inayosambaa ambayo binafsi ilinisikitisha sana na kuharibu mood yangu ya siku nzima.

Jambo lingine ambalo limejishangaza watu walijustify Raia kuuwawa kwa kisingizio cha kutafuta magaidi wakati huohuo wanajeshi wa Israel walipoua kimakosa Raia watatu katika kutafuta Hamas maandamano makubwa yamefanyika nchini mwao pamoja na kuoewa lawama ,sasa kwa nini isiwe fair wao kuuwa wenzao wa tatu Tu katika kufuta magaidi lakini wakiuliwa maelfu wa Wapalestina wasio na hatia iwe poa ?

HITIMISHO

Ujumbe kwa wote acheni kufanya vita ushabiki kiasi ambacho kufurai umwagaji damu wa Raia yeyote yule na uharibifu mwingine kuweni waadifu pamoja na utu.

#I Hate Hypocrisy and Injustice
 

Attachments

  • IMG_20231031_202234.jpg
    IMG_20231031_202234.jpg
    61.9 KB · Views: 8
Moja kwa moja..

1. Kwa nini nawalaumu Hamas ?

Sikatai ukweli kwamba Raia wa Palestine wameishi kwa mateso miaka mingi chini ya utawala wa Wazayuni ,wakiuwawa kunyimwa haki za msingi nk na nakubali kwamba wanayo haki ya kupambana katika kujikomboa na madhila wanayopitia.

Ninapowapinga ni njia ambazo wanatumia katika kujikomboa asilimia kubwa napingana nazo kwani zimeleeta maafa makubwa kwa Raia wao baada ya ukombozi ,kwani naamini matokeo ndio hujulisha faida ya Jambo na kama wanataka ukombozi wa kweli ingekuwa bora kwao kujipanga kwa nguvu zote kiimani ,kimbinu na mikakati silaha nk na sio kukurupuka tu na kushambulia ambapo matokeo yake kila siku yanaonekana maafa yanayopatikana ni makubwa zaidi kukiko faida.

Wawe na huruma na raia wao hakuna sifa wala wema kwa watu wachache kusababisha vifo na maafa makubwa kwa watu wao hiyo no hasara kubwa sana hata Mimi nikijiona sina nguvu na nikitunisha misuli nitapata madhara makubwa sana nitakubali kuishi kinyonge huku nikijipanga kisasawa mpaka pale nitakapokuwa na uhakika kuwa sasa ninaweza kushinda.

Lawama sehemu ya pili.

Hapa ninazungumzia suala zima la kukamata raia wasio na hatia ,kuua ,kutesa nk ,hili swala napinga moja kwa moja hata ikiwa adui anafanya hivyo dhidi yako lakini haipaswi adui tena muovu awe mwalimu wako ,kwani hata Sheria za Uislamu inaelekeza vyema katika mapambano ikitokea vita hairuhisiwi kuua watoto wadogo ,wazee ,wanawake ,kuharibu mwili wa marehemu na kuudhihaki baada ya kukata Moto,kuharibu mashamba ,majengo nk pamoja na kuua wale wasiokushambulia na wanataka Amani.View attachment 2845883

2. Kwa nini nailamu Serikali ya Israel ?

Hawa kwa miaka mingi wamekuwa wakiwafanyia unyama na udhalimu Raia wa Palestine ,pamoja na kufanya collective punishment kwa Raia wa Palestine kwa mwamvuli wa kuwaua magaidi hii sio sawa kabisa wanafanya ugaidi wa wazi ..View attachment 2845884

Huku ni westbank hakuna HamasView attachment 2845886

View attachment 2845885

Summary ya idadi ya mauaji kwa Raia wa Palestina tokea zamani kabla ya hata Hamas kuwepo.


View attachment 2845888


Nahamia kwa Wapambe Uchwara na Wanafiki.

NB : Haipaswi kwa mtu yeyote aliye na akili timamu kufuraia mauaji ya mtu yeyote asiye na hatia na kushangilia kama Jambo zuri limefanyika haswa waathirika zaidi wakiwa watoto ,wakina mama na wengine wasio jiweza.


Watu wengi ukiacha wale wapo neutral nasema wake ambao wana mahaba na wanashangilia Israel katika kipindi kirefu wakati Raia wasio tena kuonyesha kurahia hadharani kuwa wote ni magaidi , mifano halisi ni hiyo chini.View attachment 2845893

Wa pili huyu..View attachment 2845895

Sasa nauliza Raia kibao wa Palestine wao hawana wazazi ,ndugu au sio binadamu kiasi ambacho mtu kuona mauaji Yao ni kitu cha mchezo na kuwehuka kama hao juu ? mtu huyo huyo Maghayo na genge lake jana wakitoa lawama kubwa na kusikitika ,na kutukana hovyo kwa hasira kutokana na video ya kifo cha kikatili cha mtanzania mwenzetu inayosambaa ambayo binafsi ilinisikitisha sana na kuharibu mood yangu ya siku nzima.

Jambo lingine ambalo limejishangaza watu walijustify Raia kuuwawa kwa kisingizio cha kutafuta magaidi wakati huohuo wanajeshi wa Israel walipoua kimakosa Raia watatu katika kutafuta Hamas maandamano makubwa yamefanyika nchini mwao pamoja na kuoewa lawama ,sasa kwa nini isiwe fair wao kuuwa wenzao wa tatu Tu katika kufuta magaidi lakini wakiuliwa maelfu wa Wapalestina wasio na hatia iwe poa ?

HITIMISHO

Ujumbe kwa wote acheni kufanya vita ushabiki kiasi ambacho kufurai umwagaji damu wa Raia yeyote yule na uharibifu mwingine kuweni waadifu pamoja na utu.

#I Hate Hypocrisy and Injustice
Mkuu Adriz maelfu ya watoto wanawake wameuawawa na wanaendelea kuuwawa kwa mafungu Darfur. Ironically ni weusi tu na waislam kama wewe lakini hamuumiii. Na wanauliwa na waislamu wenzako waarabu.

PLEASE ISRAEL DON'T SORT THEM OUT JUST KILL THEM ALL.

NO MERCY NO MERCY NO MERCY NO MERCY
 
Mkuu Adriz maelfu ya watoto wanawake wameuawawa na wanaendelea kuuwawa kwa mafungu Darfur. Ironically ni weusi tu na waislam kama wewe lakini hamuumiii. Na wanauliwa na waislamu wenzako waarabu.

PLEASE ISRAEL DON'T SORT THEM OUT JUST KILL THEM ALL.

NO MERCY NO MERCY NO MERCY NO MERCY
Umeona wapi kuwa siumii ,tena kwangu Mimi sioni watu wajinga zaidi kuliko wale wanaopigana vita ya wenyewe kwa wenyewe kwa sababu za kisisasa ,uchochezi wa kidini nk..

Na sio Sudan Darfur tu hata Sudan Kusin ,Angola , Central African ,DRC nk wengi wameuana sana.

Ujumbe wa mwisho : Jana umesikia uchungu mkubwa sana kuuliwa kwa mbongo mwenzetu ambaye si ndugu yako sasa imagine mtu anuliwa analipuliwa familia yake nzima na wazazi wake kwa pamoja na tena kikatili sana na wewe ukifurahia .

Nakushauri : Andika No Mercy Kill them All hata siku nzima jaza uzi mzima ikipendeza hata nguzo zako zote pamoja na za ndani weka bendera ya Wazayuni pamoja na kuandiki Kill them all lakini hautobadikisha chochote zaidi ya kubaki kugonga ulimbo tu.

Mimi zamani sana nimeacha kabisa kujipa presha na ushabiki wa mambo ambayo sina uwezo nayo wala siwezi kubadisha kitu baada ya kuwa hivyo hata kupanic nimeacha kabisa hata mtu atuakane najue siwezi kukoControl anachowaza kichwani mwake haswa akiwa amedhamiria kisawa sawa.
 
Ahueni mtoa mada umekuwa fair.

1. Israel ni Taifa lililojikita zaidi kwenye matumizi makubwa ya nguvu dhidi ya Wapalestina, huku wakiwafunga na wakiwawekea vikwazo/kuwanyima baadhi ya haki zao msingi.

2. Hamas nao wameamua kuwekeza nguvu nyingi kwenye kuzidai hizo haki na kupambana dhidi ya huo ukandamizaji wa Waisrael kwa kutumia nguvu pia. Yaani wanaamini kwenue ule msemo wa dawa ya moto ni moto, jino kwa jino, nk.

3. Nchi za Magharibi, Marekani na UN wamekuwa wakiilea sana Israel. Kwa muda mrefu sasa Israel imekuwa ikikiuka mikataba mbalimbali ya Kimataifa kuhusu mipaka yake na Israel. Ila kwa bahati mbaya ameachwa afanye anavyojisikia. Mfano kwa miaka nenda Israel imekuwa ikiwakamata hovyo Wapalestina na kuwafunga kwenye jela zake, imekuwa ikiwafukuza Wapalestina kwenye maeneo yako, na maeneo hayo baadaye wanapewa Walowezi wa Kiyahudi, nk.

Mwisho wa siku dunia imeona kinachoendelea kwenye huo mgogoro. Binafsi naamini suluhu ya kudumu ni kuundwa tu kwa Mataifa mawili, na ambayo yataishi kwa amani; huku yakiondoa kabisa tofauti baina yao.
 
Moja kwa moja..

1. Kwa nini nawalaumu Hamas ?

Sikatai ukweli kwamba Raia wa Palestine wameishi kwa mateso miaka mingi chini ya utawala wa Wazayuni,wakiuwawa kunyimwa haki za msingi nk na nakubali kwamba wanayo haki ya kupambana katika kujikomboa na madhila wanayopitia.

Ninapowapinga ni njia ambazo wanatumia katika kujikomboa asilimia kubwa napingana nazo kwani zimeleeta maafa makubwa kwa Raia wao baada ya ukombozi ,kwani naamini matokeo ndio hujulisha faida ya Jambo na kama wanataka ukombozi wa kweli ingekuwa bora kwao kujipanga kwa nguvu zote kiimani ,kimbinu na mikakati silaha nk na sio kukurupuka tu na kushambulia ambapo matokeo yake kila siku yanaonekana maafa yanayopatikana ni makubwa zaidi kukiko faida.

Wawe na huruma na raia wao hakuna sifa wala wema kwa watu wachache kusababisha vifo na maafa makubwa kwa watu wao hiyo no hasara kubwa sana hata Mimi nikijiona sina nguvu na nikitunisha misuli nitapata madhara makubwa sana nitakubali kuishi kinyonge huku nikijipanga kisasawa mpaka pale nitakapokuwa na uhakika kuwa sasa ninaweza kushinda.

Lawama sehemu ya pili
Hapa ninazungumzia suala zima la kukamata raia wasio na hatia ,kuua ,kutesa nk ,hili swala napinga moja kwa moja hata ikiwa adui anafanya hivyo dhidi yako lakini haipaswi adui tena muovu awe mwalimu wako ,kwani hata Sheria za Uislamu inaelekeza vyema katika mapambano ikitokea vita hairuhisiwi kuua watoto wadogo ,wazee ,wanawake ,kuharibu mwili wa marehemu na kuudhihaki baada ya kukata Moto,kuharibu mashamba ,majengo nk pamoja na kuua wale wasiokushambulia na wanataka Amani.

View attachment 2845883

2. Kwa nini nailamu Serikali ya Israel?
Hawa kwa miaka mingi wamekuwa wakiwafanyia unyama na udhalimu Raia wa Palestine ,pamoja na kufanya collective punishment kwa Raia wa Palestine kwa mwamvuli wa kuwaua magaidi hii sio sawa kabisa wanafanya ugaidi wa wazi

View attachment 2845884

Huku ni westbank hakuna Hamas

View attachment 2845886

View attachment 2845885

Summary ya idadi ya mauaji kwa Raia wa Palestina tokea zamani kabla ya hata Hamas kuwepo.

View attachment 2845888


Nahamia kwa Wapambe Uchwara na Wanafiki.

NB : Haipaswi kwa mtu yeyote aliye na akili timamu kufuraia mauaji ya mtu yeyote asiye na hatia na kushangilia kama Jambo zuri limefanyika haswa waathirika zaidi wakiwa watoto ,wakina mama na wengine wasio jiweza.


Watu wengi ukiacha wale wapo neutral nasema wake ambao wana mahaba na wanashangilia Israel katika kipindi kirefu wakati Raia wasio tena kuonyesha kurahia hadharani kuwa wote ni magaidi , mifano halisi ni hiyo
chini.

View attachment 2845893

Wa pili huyu.

View attachment 2845895

Sasa nauliza Raia kibao wa Palestine wao hawana wazazi ,ndugu au sio binadamu kiasi ambacho mtu kuona mauaji Yao ni kitu cha mchezo na kuwehuka kama hao juu ? mtu huyo huyo Maghayo na genge lake jana wakitoa lawama kubwa na kusikitika ,na kutukana hovyo kwa hasira kutokana na video ya kifo cha kikatili cha mtanzania mwenzetu inayosambaa ambayo binafsi ilinisikitisha sana na kuharibu mood yangu ya siku nzima.

Jambo lingine ambalo limejishangaza watu walijustify Raia kuuwawa kwa kisingizio cha kutafuta magaidi wakati huohuo wanajeshi wa Israel walipoua kimakosa Raia watatu katika kutafuta Hamas maandamano makubwa yamefanyika nchini mwao pamoja na kuoewa lawama ,sasa kwa nini isiwe fair wao kuuwa wenzao wa tatu Tu katika kufuta magaidi lakini wakiuliwa maelfu wa Wapalestina wasio na hatia iwe poa ?

HITIMISHO

Ujumbe kwa wote acheni kufanya vita ushabiki kiasi ambacho kufurai umwagaji damu wa Raia yeyote yule na uharibifu mwingine kuweni waadifu pamoja na utu.

#I Hate Hypocrisy and Injustice

1. Mkuu nikiri kutolisoma lote andiko lako. Ni refu mno. Jifunze kufupisha au kuligawa nyuzi vipande.

2. Unakiri wapalestina na hivyo HAMAS wana haki ya kujipigania ila taabu yako ni matumizi ya nguvu.

3. Mkuu nguvu ni hatua ya mwisho baada ya mengine yote kushindwa tokea 1948.

4. Kwa maoni yako Maji Maji, Mau Mau, ANC, FRELIMO, MPLA, KANU, TANU nk ulikuwa upuuzi.

5. Kwa hapo #4 sote tungekuwa tungali makoloni.

6. Dhahama hili lawama ni kwa wajomba na babu zake Mungu Natenyahu na Joe Biden!

Ya nini kulalama?
 
Israel don't sort them just kill them all.

Justice for Joshua and Clemence.

No MERCY
Ujinga mtupu unadhani watakusikiliza wewe au wame bow down kutoka kwenye international pressure
marekani na other western countries zimeanza kutoa adhabu ikiwemo ban kwa settler yoyote anayehusika kuwafanyia vurugu wapalestina
Israel imechukua hatua za kinidhamu kwa wanajeshi waliohusika kufanya fujo na dhihaka msikitini
israel imekosa international support kwa houthi wanaoteka meli red sea nchi nyingi zimekaa kimya baada ya kuombwa kuunda nguvu ya pamoja kupambana na houthi
Imegundulika 50% ya mabomu yaliyopigwa gaza hayakuwa na mlengo wa kulenga adui kwa maana nyingine israel hakuwa na malengo kwenye vita zaidi ya kuharibu na siyo kumtokomeza adui kwa maana nyingine israel hatofikia malengo yake kwenye vita hii kama anavyoudanganya ulimwengu
Na mengine mengi ana suffer kutokana na mihemuko ya netanyahu ambayo hadi sasa ime backfire na inahatarisha nafasi yake kwenye uchaguzi mwakani
 

Attachments

  • Screenshot_20231218-125248_Chrome.jpg
    Screenshot_20231218-125248_Chrome.jpg
    144.5 KB · Views: 7
  • Screenshot_20231218-125208_Chrome.jpg
    Screenshot_20231218-125208_Chrome.jpg
    89.5 KB · Views: 6
  • Screenshot_20231218-125052_Chrome.jpg
    Screenshot_20231218-125052_Chrome.jpg
    137.5 KB · Views: 8
  • Screenshot_20231218-124958_Chrome.jpg
    Screenshot_20231218-124958_Chrome.jpg
    128.9 KB · Views: 6
  • Screenshot_20231218-124842_Instagram.jpg
    Screenshot_20231218-124842_Instagram.jpg
    97.7 KB · Views: 6
Israel don't sort them just kill them all.

Justice for Joshua and Clemence.

No MERCY
Hii haitakusadia chochote Netanyahu hayupo Jf , hasira zako ni bure kabisa je wakiuliwa wao wewe na familia yako mtakuwa hai milele ?

Je Hamas akichukulia yeyote aliopo Israel yupo kwa adui auwawe itakuwa sawa ?
 
Mtoa mada una hoja sana
Ila hapo kwa hamas kutotumia nguvu nisuala ambalo watajichimbia kaburi lao wenyewe
Kuna muda hata kama huna nguvu usiache kupambania haki yako laa sivyo hata hio haki ndogo ulokua nayo unaipoteza jumla
Kule west ban ambapo hakuna hamas unaona kinachoendelea wanavyouliwa wale wanawake watoto wasio na hatia kisa tu wameamua kutumia diplomasia
Njia pekee ambayo hamas wanatakiwa waidumishe nikupambana na mazayuni kwanguvu zao hizo hizo walokua nazo hata kama sio kubwa ila zinawaletea heshma
Unadhani kama kila anaeonewa angeamua tu kukaa kimya ukoloni unheisha hapa duniani
Unadhani kama kisa huna nguvu ukae tu kimya leo tungekua na Ukraine hapa duniani
Kuna muda lazima utumie nguvu zako ndogo ulizonazo ili uheshimike nauwe na amani
Sehem zote za Palestine kabla ya October 7th basi ukanda wa ghaza ndio pengine walikua na amani amani kidogo nahivyo sababu wanareact
Hamas wanajua siku wakiamua kukaa kimya ndio utakua mwisho wao nautakua mwisho wa Palestine kama taifa
Juzi hapa balozi wa israhell pale UK kahojiwa anasema wazi hawana mpango wamataifa mawili
Nguvu tu ndio wanaelewa hawa mahayawani wa kizayuni
 
We jamaa, nimejikuta tuu nimefuta comment ndefu iliyojaa evidence and proofs niliyotaka kukujibu kisha kuandika hii.

Mambo uliyoandika mengine ni ukweli mengine ni uongo, tena mambo uliyoandika kuhusu Muhammad sio ukweli 100%, staki kuingia ndani zaidi in details maana ntakuharibia siku na mm utaniharibia siku yangu, na mimi staki kwasababu leo nina furaha sana, na staki kukwaruzana na watu.

Mm siwez kuwalaumu hammas kwasababu wanafuata nyayo za Mtume, period.

Leo tuishie hapo tuu, siku nyingine tutakutana kweny thread nyingine nikiwa nimechafukwa tutachapana maneno ya kutosha leo niache nilale kwa amani na mpenzi wangu.
Comments ya mtu ambaye simjui inawezaje kuniharibia siku , mimi nishapita stage ya kuhangaishwa na mambo ambayo siwezi kukoControl haswa ikiwa ujinga wa mtu mwingine.

Nasubiri kwa hamu kubwa uweke hizo details maana hizo details ukiingia kichwa kichwa zinaweza kukuumbua na kudhihirisha mambo ambayo yatakuaibisha .
 
Moja kwa moja..

1. Kwa nini nawalaumu Hamas ?

Sikatai ukweli kwamba Raia wa Palestine wameishi kwa mateso miaka mingi chini ya utawala wa Wazayuni,wakiuwawa kunyimwa haki za msingi nk na nakubali kwamba wanayo haki ya kupambana katika kujikomboa na madhila wanayopitia.

Ninapowapinga ni njia ambazo wanatumia katika kujikomboa asilimia kubwa napingana nazo kwani zimeleeta maafa makubwa kwa Raia wao baada ya ukombozi ,kwani naamini matokeo ndio hujulisha faida ya Jambo na kama wanataka ukombozi wa kweli ingekuwa bora kwao kujipanga kwa nguvu zote kiimani ,kimbinu na mikakati silaha nk na sio kukurupuka tu na kushambulia ambapo matokeo yake kila siku yanaonekana maafa yanayopatikana ni makubwa zaidi kukiko faida.

Wawe na huruma na raia wao hakuna sifa wala wema kwa watu wachache kusababisha vifo na maafa makubwa kwa watu wao hiyo no hasara kubwa sana hata Mimi nikijiona sina nguvu na nikitunisha misuli nitapata madhara makubwa sana nitakubali kuishi kinyonge huku nikijipanga kisasawa mpaka pale nitakapokuwa na uhakika kuwa sasa ninaweza kushinda.

Lawama sehemu ya pili
Hapa ninazungumzia suala zima la kukamata raia wasio na hatia ,kuua ,kutesa nk ,hili swala napinga moja kwa moja hata ikiwa adui anafanya hivyo dhidi yako lakini haipaswi adui tena muovu awe mwalimu wako ,kwani hata Sheria za Uislamu inaelekeza vyema katika mapambano ikitokea vita hairuhisiwi kuua watoto wadogo ,wazee ,wanawake ,kuharibu mwili wa marehemu na kuudhihaki baada ya kukata Moto,kuharibu mashamba ,majengo nk pamoja na kuua wale wasiokushambulia na wanataka Amani.

View attachment 2845883

2. Kwa nini nailamu Serikali ya Israel?
Hawa kwa miaka mingi wamekuwa wakiwafanyia unyama na udhalimu Raia wa Palestine ,pamoja na kufanya collective punishment kwa Raia wa Palestine kwa mwamvuli wa kuwaua magaidi hii sio sawa kabisa wanafanya ugaidi wa wazi

View attachment 2845884

Huku ni westbank hakuna Hamas

View attachment 2845886

View attachment 2845885

Summary ya idadi ya mauaji kwa Raia wa Palestina tokea zamani kabla ya hata Hamas kuwepo.

View attachment 2845888


Nahamia kwa Wapambe Uchwara na Wanafiki.

NB : Haipaswi kwa mtu yeyote aliye na akili timamu kufuraia mauaji ya mtu yeyote asiye na hatia na kushangilia kama Jambo zuri limefanyika haswa waathirika zaidi wakiwa watoto ,wakina mama na wengine wasio jiweza.


Watu wengi ukiacha wale wapo neutral nasema wake ambao wana mahaba na wanashangilia Israel katika kipindi kirefu wakati Raia wasio tena kuonyesha kurahia hadharani kuwa wote ni magaidi , mifano halisi ni hiyo
chini.

View attachment 2845893

Wa pili huyu.

View attachment 2845895

Sasa nauliza Raia kibao wa Palestine wao hawana wazazi ,ndugu au sio binadamu kiasi ambacho mtu kuona mauaji Yao ni kitu cha mchezo na kuwehuka kama hao juu ? mtu huyo huyo Maghayo na genge lake jana wakitoa lawama kubwa na kusikitika ,na kutukana hovyo kwa hasira kutokana na video ya kifo cha kikatili cha mtanzania mwenzetu inayosambaa ambayo binafsi ilinisikitisha sana na kuharibu mood yangu ya siku nzima.

Jambo lingine ambalo limejishangaza watu walijustify Raia kuuwawa kwa kisingizio cha kutafuta magaidi wakati huohuo wanajeshi wa Israel walipoua kimakosa Raia watatu katika kutafuta Hamas maandamano makubwa yamefanyika nchini mwao pamoja na kuoewa lawama ,sasa kwa nini isiwe fair wao kuuwa wenzao wa tatu Tu katika kufuta magaidi lakini wakiuliwa maelfu wa Wapalestina wasio na hatia iwe poa ?

HITIMISHO

Ujumbe kwa wote acheni kufanya vita ushabiki kiasi ambacho kufurai umwagaji damu wa Raia yeyote yule na uharibifu mwingine kuweni waadifu pamoja na utu.

#I Hate Hypocrisy and Injustice
Tumia akili wewe wacha wafu wazikane kazi yetu ni kuhesabu mizoga ya waisrael na wamarekani na waarabu tu ...maana wote hao ni washenzi tu mafii ya bata
 
Comments ya mtu ambaye simjui inawezaje kuniharibia siku , mimi nishapita stage ya kuhangaishwa na mambo ambayo siwezi kukoControl haswa ikiwa ujinga wa mtu mwingine.

Nasubiri kwa hamu kubwa uweke hizo details maana hizo details ukiingia kichwa kichwa zinaweza kukuumbua na kudhihirisha mambo ambayo yatakuaibisha .
Sawa bhana.

Good luck.
 
Wapalestina wanafuata amri ya mume muddy ya kuuua kila asiyekuwa muislam. Na hiyo ndyo dini ya mnyahazi mungu wa kuzimu
 
Moja kwa moja..

1. Kwa nini nawalaumu Hamas ?

Sikatai ukweli kwamba Raia wa Palestine wameishi kwa mateso miaka mingi chini ya utawala wa Wazayuni,wakiuwawa kunyimwa haki za msingi nk na nakubali kwamba wanayo haki ya kupambana katika kujikomboa na madhila wanayopitia.

Ninapowapinga ni njia ambazo wanatumia katika kujikomboa asilimia kubwa napingana nazo kwani zimeleeta maafa makubwa kwa Raia wao baada ya ukombozi ,kwani naamini matokeo ndio hujulisha faida ya Jambo na kama wanataka ukombozi wa kweli ingekuwa bora kwao kujipanga kwa nguvu zote kiimani ,kimbinu na mikakati silaha nk na sio kukurupuka tu na kushambulia ambapo matokeo yake kila siku yanaonekana maafa yanayopatikana ni makubwa zaidi kukiko faida.

Wawe na huruma na raia wao hakuna sifa wala wema kwa watu wachache kusababisha vifo na maafa makubwa kwa watu wao hiyo no hasara kubwa sana hata Mimi nikijiona sina nguvu na nikitunisha misuli nitapata madhara makubwa sana nitakubali kuishi kinyonge huku nikijipanga kisasawa mpaka pale nitakapokuwa na uhakika kuwa sasa ninaweza kushinda.

Lawama sehemu ya pili
Hapa ninazungumzia suala zima la kukamata raia wasio na hatia ,kuua ,kutesa nk ,hili swala napinga moja kwa moja hata ikiwa adui anafanya hivyo dhidi yako lakini haipaswi adui tena muovu awe mwalimu wako ,kwani hata Sheria za Uislamu inaelekeza vyema katika mapambano ikitokea vita hairuhisiwi kuua watoto wadogo ,wazee ,wanawake ,kuharibu mwili wa marehemu na kuudhihaki baada ya kukata Moto,kuharibu mashamba ,majengo nk pamoja na kuua wale wasiokushambulia na wanataka Amani.

View attachment 2845883

2. Kwa nini nailamu Serikali ya Israel?
Hawa kwa miaka mingi wamekuwa wakiwafanyia unyama na udhalimu Raia wa Palestine ,pamoja na kufanya collective punishment kwa Raia wa Palestine kwa mwamvuli wa kuwaua magaidi hii sio sawa kabisa wanafanya ugaidi wa wazi

View attachment 2845884

Huku ni westbank hakuna Hamas

View attachment 2845886

View attachment 2845885

Summary ya idadi ya mauaji kwa Raia wa Palestina tokea zamani kabla ya hata Hamas kuwepo.

View attachment 2845888


Nahamia kwa Wapambe Uchwara na Wanafiki.

NB : Haipaswi kwa mtu yeyote aliye na akili timamu kufuraia mauaji ya mtu yeyote asiye na hatia na kushangilia kama Jambo zuri limefanyika haswa waathirika zaidi wakiwa watoto ,wakina mama na wengine wasio jiweza.


Watu wengi ukiacha wale wapo neutral nasema wake ambao wana mahaba na wanashangilia Israel katika kipindi kirefu wakati Raia wasio tena kuonyesha kurahia hadharani kuwa wote ni magaidi , mifano halisi ni hiyo
chini.

View attachment 2845893

Wa pili huyu.

View attachment 2845895

Sasa nauliza Raia kibao wa Palestine wao hawana wazazi ,ndugu au sio binadamu kiasi ambacho mtu kuona mauaji Yao ni kitu cha mchezo na kuwehuka kama hao juu ? mtu huyo huyo Maghayo na genge lake jana wakitoa lawama kubwa na kusikitika ,na kutukana hovyo kwa hasira kutokana na video ya kifo cha kikatili cha mtanzania mwenzetu inayosambaa ambayo binafsi ilinisikitisha sana na kuharibu mood yangu ya siku nzima.

Jambo lingine ambalo limejishangaza watu walijustify Raia kuuwawa kwa kisingizio cha kutafuta magaidi wakati huohuo wanajeshi wa Israel walipoua kimakosa Raia watatu katika kutafuta Hamas maandamano makubwa yamefanyika nchini mwao pamoja na kuoewa lawama ,sasa kwa nini isiwe fair wao kuuwa wenzao wa tatu Tu katika kufuta magaidi lakini wakiuliwa maelfu wa Wapalestina wasio na hatia iwe poa ?

HITIMISHO

Ujumbe kwa wote acheni kufanya vita ushabiki kiasi ambacho kufurai umwagaji damu wa Raia yeyote yule na uharibifu mwingine kuweni waadifu pamoja na utu.

#I Hate Hypocrisy and Injustice

Moja kwa moja..

1. Kwa nini nawalaumu Hamas ?

Sikatai ukweli kwamba Raia wa Palestine wameishi kwa mateso miaka mingi chini ya utawala wa Wazayuni,wakiuwawa kunyimwa haki za msingi nk na nakubali kwamba wanayo haki ya kupambana katika kujikomboa na madhila wanayopitia.

Ninapowapinga ni njia ambazo wanatumia katika kujikomboa asilimia kubwa napingana nazo kwani zimeleeta maafa makubwa kwa Raia wao baada ya ukombozi ,kwani naamini matokeo ndio hujulisha faida ya Jambo na kama wanataka ukombozi wa kweli ingekuwa bora kwao kujipanga kwa nguvu zote kiimani ,kimbinu na mikakati silaha nk na sio kukurupuka tu na kushambulia ambapo matokeo yake kila siku yanaonekana maafa yanayopatikana ni makubwa zaidi kukiko faida.

Wawe na huruma na raia wao hakuna sifa wala wema kwa watu wachache kusababisha vifo na maafa makubwa kwa watu wao hiyo no hasara kubwa sana hata Mimi nikijiona sina nguvu na nikitunisha misuli nitapata madhara makubwa sana nitakubali kuishi kinyonge huku nikijipanga kisasawa mpaka pale nitakapokuwa na uhakika kuwa sasa ninaweza kushinda.

Lawama sehemu ya pili
Hapa ninazungumzia suala zima la kukamata raia wasio na hatia ,kuua ,kutesa nk ,hili swala napinga moja kwa moja hata ikiwa adui anafanya hivyo dhidi yako lakini haipaswi adui tena muovu awe mwalimu wako ,kwani hata Sheria za Uislamu inaelekeza vyema katika mapambano ikitokea vita hairuhisiwi kuua watoto wadogo ,wazee ,wanawake ,kuharibu mwili wa marehemu na kuudhihaki baada ya kukata Moto,kuharibu mashamba ,majengo nk pamoja na kuua wale wasiokushambulia na wanataka Amani.

View attachment 2845883

2. Kwa nini nailamu Serikali ya Israel?
Hawa kwa miaka mingi wamekuwa wakiwafanyia unyama na udhalimu Raia wa Palestine ,pamoja na kufanya collective punishment kwa Raia wa Palestine kwa mwamvuli wa kuwaua magaidi hii sio sawa kabisa wanafanya ugaidi wa wazi

View attachment 2845884

Huku ni westbank hakuna Hamas

View attachment 2845886

View attachment 2845885

Summary ya idadi ya mauaji kwa Raia wa Palestina tokea zamani kabla ya hata Hamas kuwepo.

View attachment 2845888


Nahamia kwa Wapambe Uchwara na Wanafiki.

NB : Haipaswi kwa mtu yeyote aliye na akili timamu kufuraia mauaji ya mtu yeyote asiye na hatia na kushangilia kama Jambo zuri limefanyika haswa waathirika zaidi wakiwa watoto ,wakina mama na wengine wasio jiweza.


Watu wengi ukiacha wale wapo neutral nasema wake ambao wana mahaba na wanashangilia Israel katika kipindi kirefu wakati Raia wasio tena kuonyesha kurahia hadharani kuwa wote ni magaidi , mifano halisi ni hiyo
chini.

View attachment 2845893

Wa pili huyu.

View attachment 2845895

Sasa nauliza Raia kibao wa Palestine wao hawana wazazi ,ndugu au sio binadamu kiasi ambacho mtu kuona mauaji Yao ni kitu cha mchezo na kuwehuka kama hao juu ? mtu huyo huyo Maghayo na genge lake jana wakitoa lawama kubwa na kusikitika ,na kutukana hovyo kwa hasira kutokana na video ya kifo cha kikatili cha mtanzania mwenzetu inayosambaa ambayo binafsi ilinisikitisha sana na kuharibu mood yangu ya siku nzima.

Jambo lingine ambalo limejishangaza watu walijustify Raia kuuwawa kwa kisingizio cha kutafuta magaidi wakati huohuo wanajeshi wa Israel walipoua kimakosa Raia watatu katika kutafuta Hamas maandamano makubwa yamefanyika nchini mwao pamoja na kuoewa lawama ,sasa kwa nini isiwe fair wao kuuwa wenzao wa tatu Tu katika kufuta magaidi lakini wakiuliwa maelfu wa Wapalestina wasio na hatia iwe poa ?

HITIMISHO

Ujumbe kwa wote acheni kufanya vita ushabiki kiasi ambacho kufurai umwagaji damu wa Raia yeyote yule na uharibifu mwingine kuweni waadifu pamoja na utu.

#I Hate Hypocrisy and Injustice
adriz umeandika kitu cha maana sana.



Kongole kwa kuliona hili
 
Huyu ndio anatuamiaga akili kubwa na hekima ya Mungu sio wengine wenye mihemuko isiyo na kichwa wala miguu,kama waislamu na uislamu ungekuwa na mlengo kama mtoa mada alivyo hakika ingekuwa dini yenye kufaa mno kwa binadamu.
 
Back
Top Bottom