adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Moja kwa moja..
1. Kwa nini nawalaumu Hamas ?
Sikatai ukweli kwamba Raia wa Palestine wameishi kwa mateso miaka mingi chini ya utawala wa Wazayuni,wakiuwawa kunyimwa haki za msingi nk na nakubali kwamba wanayo haki ya kupambana katika kujikomboa na madhila wanayopitia.
Ninapowapinga ni njia ambazo wanatumia katika kujikomboa asilimia kubwa napingana nazo kwani zimeleeta maafa makubwa kwa Raia wao baada ya ukombozi ,kwani naamini matokeo ndio hujulisha faida ya Jambo na kama wanataka ukombozi wa kweli ingekuwa bora kwao kujipanga kwa nguvu zote kiimani ,kimbinu na mikakati silaha nk na sio kukurupuka tu na kushambulia ambapo matokeo yake kila siku yanaonekana maafa yanayopatikana ni makubwa zaidi kukiko faida.
Wawe na huruma na raia wao hakuna sifa wala wema kwa watu wachache kusababisha vifo na maafa makubwa kwa watu wao hiyo no hasara kubwa sana hata Mimi nikijiona sina nguvu na nikitunisha misuli nitapata madhara makubwa sana nitakubali kuishi kinyonge huku nikijipanga kisasawa mpaka pale nitakapokuwa na uhakika kuwa sasa ninaweza kushinda.
Lawama sehemu ya pili
Hapa ninazungumzia suala zima la kukamata raia wasio na hatia ,kuua ,kutesa nk ,hili swala napinga moja kwa moja hata ikiwa adui anafanya hivyo dhidi yako lakini haipaswi adui tena muovu awe mwalimu wako ,kwani hata Sheria za Uislamu inaelekeza vyema katika mapambano ikitokea vita hairuhisiwi kuua watoto wadogo ,wazee ,wanawake ,kuharibu mwili wa marehemu na kuudhihaki baada ya kukata Moto,kuharibu mashamba ,majengo nk pamoja na kuua wale wasiokushambulia na wanataka Amani.
2. Kwa nini nailamu Serikali ya Israel?
Hawa kwa miaka mingi wamekuwa wakiwafanyia unyama na udhalimu Raia wa Palestine ,pamoja na kufanya collective punishment kwa Raia wa Palestine kwa mwamvuli wa kuwaua magaidi hii sio sawa kabisa wanafanya ugaidi wa wazi
Huku ni westbank hakuna Hamas
Summary ya idadi ya mauaji kwa Raia wa Palestina tokea zamani kabla ya hata Hamas kuwepo.
Nahamia kwa Wapambe Uchwara na Wanafiki.
NB : Haipaswi kwa mtu yeyote aliye na akili timamu kufuraia mauaji ya mtu yeyote asiye na hatia na kushangilia kama Jambo zuri limefanyika haswa waathirika zaidi wakiwa watoto ,wakina mama na wengine wasio jiweza.
Watu wengi ukiacha wale wapo neutral nasema wake ambao wana mahaba na wanashangilia Israel katika kipindi kirefu wakati Raia wasio tena kuonyesha kurahia hadharani kuwa wote ni magaidi , mifano halisi ni hiyo
chini.
Wa pili huyu.
Sasa nauliza Raia kibao wa Palestine wao hawana wazazi ,ndugu au sio binadamu kiasi ambacho mtu kuona mauaji Yao ni kitu cha mchezo na kuwehuka kama hao juu ? mtu huyo huyo Maghayo na genge lake jana wakitoa lawama kubwa na kusikitika ,na kutukana hovyo kwa hasira kutokana na video ya kifo cha kikatili cha mtanzania mwenzetu inayosambaa ambayo binafsi ilinisikitisha sana na kuharibu mood yangu ya siku nzima.
Jambo lingine ambalo limejishangaza watu walijustify Raia kuuwawa kwa kisingizio cha kutafuta magaidi wakati huohuo wanajeshi wa Israel walipoua kimakosa Raia watatu katika kutafuta Hamas maandamano makubwa yamefanyika nchini mwao pamoja na kuoewa lawama ,sasa kwa nini isiwe fair wao kuuwa wenzao wa tatu Tu katika kufuta magaidi lakini wakiuliwa maelfu wa Wapalestina wasio na hatia iwe poa ?
HITIMISHO
Ujumbe kwa wote acheni kufanya vita ushabiki kiasi ambacho kufurai umwagaji damu wa Raia yeyote yule na uharibifu mwingine kuweni waadifu pamoja na utu.
#I Hate Hypocrisy and Injustice
1. Kwa nini nawalaumu Hamas ?
Sikatai ukweli kwamba Raia wa Palestine wameishi kwa mateso miaka mingi chini ya utawala wa Wazayuni,wakiuwawa kunyimwa haki za msingi nk na nakubali kwamba wanayo haki ya kupambana katika kujikomboa na madhila wanayopitia.
Ninapowapinga ni njia ambazo wanatumia katika kujikomboa asilimia kubwa napingana nazo kwani zimeleeta maafa makubwa kwa Raia wao baada ya ukombozi ,kwani naamini matokeo ndio hujulisha faida ya Jambo na kama wanataka ukombozi wa kweli ingekuwa bora kwao kujipanga kwa nguvu zote kiimani ,kimbinu na mikakati silaha nk na sio kukurupuka tu na kushambulia ambapo matokeo yake kila siku yanaonekana maafa yanayopatikana ni makubwa zaidi kukiko faida.
Wawe na huruma na raia wao hakuna sifa wala wema kwa watu wachache kusababisha vifo na maafa makubwa kwa watu wao hiyo no hasara kubwa sana hata Mimi nikijiona sina nguvu na nikitunisha misuli nitapata madhara makubwa sana nitakubali kuishi kinyonge huku nikijipanga kisasawa mpaka pale nitakapokuwa na uhakika kuwa sasa ninaweza kushinda.
Lawama sehemu ya pili
Hapa ninazungumzia suala zima la kukamata raia wasio na hatia ,kuua ,kutesa nk ,hili swala napinga moja kwa moja hata ikiwa adui anafanya hivyo dhidi yako lakini haipaswi adui tena muovu awe mwalimu wako ,kwani hata Sheria za Uislamu inaelekeza vyema katika mapambano ikitokea vita hairuhisiwi kuua watoto wadogo ,wazee ,wanawake ,kuharibu mwili wa marehemu na kuudhihaki baada ya kukata Moto,kuharibu mashamba ,majengo nk pamoja na kuua wale wasiokushambulia na wanataka Amani.
2. Kwa nini nailamu Serikali ya Israel?
Hawa kwa miaka mingi wamekuwa wakiwafanyia unyama na udhalimu Raia wa Palestine ,pamoja na kufanya collective punishment kwa Raia wa Palestine kwa mwamvuli wa kuwaua magaidi hii sio sawa kabisa wanafanya ugaidi wa wazi
Huku ni westbank hakuna Hamas
Summary ya idadi ya mauaji kwa Raia wa Palestina tokea zamani kabla ya hata Hamas kuwepo.
Nahamia kwa Wapambe Uchwara na Wanafiki.
NB : Haipaswi kwa mtu yeyote aliye na akili timamu kufuraia mauaji ya mtu yeyote asiye na hatia na kushangilia kama Jambo zuri limefanyika haswa waathirika zaidi wakiwa watoto ,wakina mama na wengine wasio jiweza.
Watu wengi ukiacha wale wapo neutral nasema wake ambao wana mahaba na wanashangilia Israel katika kipindi kirefu wakati Raia wasio tena kuonyesha kurahia hadharani kuwa wote ni magaidi , mifano halisi ni hiyo
chini.
Wa pili huyu.
Sasa nauliza Raia kibao wa Palestine wao hawana wazazi ,ndugu au sio binadamu kiasi ambacho mtu kuona mauaji Yao ni kitu cha mchezo na kuwehuka kama hao juu ? mtu huyo huyo Maghayo na genge lake jana wakitoa lawama kubwa na kusikitika ,na kutukana hovyo kwa hasira kutokana na video ya kifo cha kikatili cha mtanzania mwenzetu inayosambaa ambayo binafsi ilinisikitisha sana na kuharibu mood yangu ya siku nzima.
Jambo lingine ambalo limejishangaza watu walijustify Raia kuuwawa kwa kisingizio cha kutafuta magaidi wakati huohuo wanajeshi wa Israel walipoua kimakosa Raia watatu katika kutafuta Hamas maandamano makubwa yamefanyika nchini mwao pamoja na kuoewa lawama ,sasa kwa nini isiwe fair wao kuuwa wenzao wa tatu Tu katika kufuta magaidi lakini wakiuliwa maelfu wa Wapalestina wasio na hatia iwe poa ?
HITIMISHO
Ujumbe kwa wote acheni kufanya vita ushabiki kiasi ambacho kufurai umwagaji damu wa Raia yeyote yule na uharibifu mwingine kuweni waadifu pamoja na utu.
#I Hate Hypocrisy and Injustice