Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Uislam ni dini inayofaa kwa wanaadamu wote kwa [emoji817]%Huyu ndio anatuamiaga akili kubwa na hekima ya Mungu sio wengine wenye mihemuko isiyo na kichwa wala miguu,kama waislamu na uislamu ungekuwa na mlengo kama mtoa mada alivyo hakika ingekuwa dini yenye kufaa mno kwa binadamu.
Tatizo lako akili huna halafu unakurupuka na kujaa mihemko mingi.Tatizo lipo kwenye maagizo ya 'mungu' wenu kutaka muue Wayahudi wote, hao Wapalestina ni mara nyingi sana dunia imejaribu kutatua tatizo la pale mahali kwa kuibua mbinu za kufanya waishi kwa amani na Wayahudi, maana pale wamezikwa mababu wa Wayahudi akina Musa, Daudi na n.k. lakini Waarabu hawapendi kushirikiana, wao huishi kwa kauli moja tu kwamba Wayahudi wote wafe.
Ifahamike ndani ya Israel kuna Waarabu ambao wanaishi kwa amani bila bugdha, shida huwa kwa hawa hufuata maagizo ya 'mungu' wenu na kusahau Mungu wa Wayahudi ana nguvu kuzidi huyo wenu. Kila mkijaribu kuwafuta mnafutika nyie.
Maandiko yenu yako bayana, mumeagizwa muwinde Wayahudi hadi aliyejificha nyuma ya jiwe,
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
Historia ya Uislamu unakataa unayosema ,ingekuwa hivyo basi walivyounyakua majina Jerusalem kwa mara ya kwanza wangeuwa makasisi wote na wengine wasio Waislamu vilevile wasingeruhusu Jews kurudi na kuisihi tena pale katika utawala wao.Wapalestina wanafuata amri ya mume muddy ya kuuua kila asiyekuwa muislam. Na hiyo ndyo dini ya mnyahazi mungu wa kuzimu
Tatizo lako akili huna halafu unakurupuka na kujaa mihemko mingi.
1. Hilo andiko wapi limesema muwauwe Mayahudi wakati limetoa utabiri Tu kwa yale yatakao kuja mbele ? Kama ni hivyo kwa nini Mtumie Muhammad (Peace and blessings be upon him) asiwe wa kwanza kuwauwa wakati Dola ya Uislamu iliposimama Madina mbona aliishi na Jews kwa Amani tu na walipewa Uhuru pamoja na kulindwa na Dola ya Uislamu?
Njoo darasani kihistoria zaidi ;
Wakati ulaya na Wakristo wakiwakataa Jews kuwatesa na kuwauwa kwa sababu ya kuwachukulia kama Christ killers na nyingenezo ,wengi walikimbilia katika ardhi za Waislamu na wakaishi kwa Amani kama kwa ndugu zao bila kero zozote ndio maana wengi walikiwepo Mirsi ,Iraq , Tunisia nk na hata kuoewa vyeo na heshima katika Serikali za Waislamu ,uhasama mkubwa umekuja baada ya Uzayuni na uundaji wa Taifa batili la Israel.
Moja kwa moja..
1. Kwa nini nawalaumu Hamas ?
Sikatai ukweli kwamba Raia wa Palestine wameishi kwa mateso miaka mingi chini ya utawala wa Wazayuni,wakiuwawa kunyimwa haki za msingi nk na nakubali kwamba wanayo haki ya kupambana katika kujikomboa na madhila wanayopitia.
Ninapowapinga ni njia ambazo wanatumia katika kujikomboa asilimia kubwa napingana nazo kwani zimeleeta maafa makubwa kwa Raia wao baada ya ukombozi ,kwani naamini matokeo ndio hujulisha faida ya Jambo na kama wanataka ukombozi wa kweli ingekuwa bora kwao kujipanga kwa nguvu zote kiimani ,kimbinu na mikakati silaha nk na sio kukurupuka tu na kushambulia ambapo matokeo yake kila siku yanaonekana maafa yanayopatikana ni makubwa zaidi kukiko faida.
Wawe na huruma na raia wao hakuna sifa wala wema kwa watu wachache kusababisha vifo na maafa makubwa kwa watu wao hiyo no hasara kubwa sana hata Mimi nikijiona sina nguvu na nikitunisha misuli nitapata madhara makubwa sana nitakubali kuishi kinyonge huku nikijipanga kisasawa mpaka pale nitakapokuwa na uhakika kuwa sasa ninaweza kushinda.
Lawama sehemu ya pili
Hapa ninazungumzia suala zima la kukamata raia wasio na hatia ,kuua ,kutesa nk ,hili swala napinga moja kwa moja hata ikiwa adui anafanya hivyo dhidi yako lakini haipaswi adui tena muovu awe mwalimu wako ,kwani hata Sheria za Uislamu inaelekeza vyema katika mapambano ikitokea vita hairuhisiwi kuua watoto wadogo ,wazee ,wanawake ,kuharibu mwili wa marehemu na kuudhihaki baada ya kukata Moto,kuharibu mashamba ,majengo nk pamoja na kuua wale wasiokushambulia na wanataka Amani.
View attachment 2845883
2. Kwa nini nailamu Serikali ya Israel?
Hawa kwa miaka mingi wamekuwa wakiwafanyia unyama na udhalimu Raia wa Palestine ,pamoja na kufanya collective punishment kwa Raia wa Palestine kwa mwamvuli wa kuwaua magaidi hii sio sawa kabisa wanafanya ugaidi wa wazi
View attachment 2845884
Huku ni westbank hakuna Hamas
View attachment 2845886
View attachment 2845885
Summary ya idadi ya mauaji kwa Raia wa Palestina tokea zamani kabla ya hata Hamas kuwepo.
View attachment 2845888
Nahamia kwa Wapambe Uchwara na Wanafiki.
NB : Haipaswi kwa mtu yeyote aliye na akili timamu kufuraia mauaji ya mtu yeyote asiye na hatia na kushangilia kama Jambo zuri limefanyika haswa waathirika zaidi wakiwa watoto ,wakina mama na wengine wasio jiweza.
Watu wengi ukiacha wale wapo neutral nasema wake ambao wana mahaba na wanashangilia Israel katika kipindi kirefu wakati Raia wasio tena kuonyesha kurahia hadharani kuwa wote ni magaidi , mifano halisi ni hiyo
chini.
View attachment 2845893
Wa pili huyu.
View attachment 2845895
Sasa nauliza Raia kibao wa Palestine wao hawana wazazi ,ndugu au sio binadamu kiasi ambacho mtu kuona mauaji Yao ni kitu cha mchezo na kuwehuka kama hao juu ? mtu huyo huyo Maghayo na genge lake jana wakitoa lawama kubwa na kusikitika ,na kutukana hovyo kwa hasira kutokana na video ya kifo cha kikatili cha mtanzania mwenzetu inayosambaa ambayo binafsi ilinisikitisha sana na kuharibu mood yangu ya siku nzima.
Jambo lingine ambalo limejishangaza watu walijustify Raia kuuwawa kwa kisingizio cha kutafuta magaidi wakati huohuo wanajeshi wa Israel walipoua kimakosa Raia watatu katika kutafuta Hamas maandamano makubwa yamefanyika nchini mwao pamoja na kuoewa lawama ,sasa kwa nini isiwe fair wao kuuwa wenzao wa tatu Tu katika kufuta magaidi lakini wakiuliwa maelfu wa Wapalestina wasio na hatia iwe poa ?
HITIMISHO
Ujumbe kwa wote acheni kufanya vita ushabiki kiasi ambacho kufurai umwagaji damu wa Raia yeyote yule na uharibifu mwingine kuweni waadifu pamoja na utu.
#I Hate Hypocrisy and Injustice
Hahahaha!! kila siku unakimbilia Aya ambazo ukiambiwa ukae chini kwa kutulia bila jazba na hizo Aya zifanyiwe majadiliano ya kina unakimbia sababu huwezi majadiliano kama hayo ya hoja ,kusikilizana ,hekima na uadilifu bali wewe ni Fanatic kama Maghayo haulewi lugha ya kusikilizana na hoja isipokuwa yale unayotaka wewe.Wewe mpuzi tu wengi humu hawajakushtukia unafiki wako, wakati ni wale wale tu, hili andiko liko bayana sana tena kwa lugha nyepesi sana kwamba muue Wayahudi.
na sio hilo andiko pekee yake, kuna mengine yanawaagiza muue kila asiye muislamu, dini imekaa kikatili kwenye kila kitu, tatizo kila mkianzisha mnauawa nyie maana 'mungu' wenu ni dhaifu ukilinganisha na Mungu wa hao Wayahudi
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Ulaya under Christian rule Jews walichukukiwa kama Jesus Killers waliishi maisha ya dhiki sana ,ikitokea kitu kidogo mbuzi wa kafara ni Jews pamoja na kupata madhila mbalimbali..Wewe mpuzi tu wengi humu hawajakushtukia unafiki wako, wakati ni wale wale tu, hili andiko liko bayana sana tena kwa lugha nyepesi sana kwamba muue Wayahudi.
na sio hilo andiko pekee yake, kuna mengine yanawaagiza muue kila asiye muislamu, dini imekaa kikatili kwenye kila kitu, tatizo kila mkianzisha mnauawa nyie maana 'mungu' wenu ni dhaifu ukilinganisha na Mungu wa hao Wayahudi
sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
Hahahaha!! kila siku unakimbilia Aya ambazo ukiambiwa ukae chini kwa kutulia bila jazba na hizo Aya zifanyiwe majadiliano ya kina unakimbia sababu huwezi majadiliano kama hayo ya hoja ,kusikilizana ,hekima na uadilifu bali wewe ni Fanatic kama Maghayo haulewi lugha ya kusikilizana na hoja isipokuwa yale unayotaka wewe.
Ukiwa upo tayari kujibu hoja zangu na kusikilizana nipo tayari tujadil hizo Aya bila shida yeyote.
Jews wameteswa na kuuwawa sana ulaya tofauti na walivyokuwa wanaishi katika Muslim lands ,hata neno Ghetto asili yake ilikuwa maeneo machafu yasioeleweka ambapo ilikuwa kama makazi ya Jews kwenye nchi moja huko ulaya ..
Nina facts zaidi ya 100 zikionyesha madhila walivyokuwa wakipitia Jews huko ulaya ilikuwa wanachukuliwa kama Mbwa tofauti kabisa na upande wa Waislamu..View attachment 2847113
View attachment 2847112
Ulaya under Christian rule Jews walichukukiwa kama Jesus Killers waliishi maisha ya dhiki sana ,ikitokea kitu kidogo mbuzi wa kafara ni Jews pamoja na kupata madhila mbalimbali..
Kuna hadithi nyingi tu Waislamu na Mtumie mwenyewe (SwallaLlahu 'alayhi wasalaam) akifanya majadiliano na Jews huko Madina chini ya Dola ya Uislamu katika mambo mabalimbali ya dini sasa ilikuwaje hawakuuliwa ?
Uislamu Ni ugaidiUislam ni dini inayofaa kwa wanaadamu wote kwa [emoji817]%
Uislam ndio mfumo sahihi kabisa wamaisha ya wanaadam
Ndio maana hujawahi na hutawahi kuja kisikia watoa maamuzi au mashekhe wanahalalisha usenge na usogaji kama kwenye mrengo wa kushoto
Hawajaanza kupigwa Leo na kuuliwa kama hiyo ndio solution pekee waendelee kuangamiza ila wajue kwamba hawatowamaliza wala hiyo kuwa ndio suluhu ya amani kwao .Vifo zaidi vinatakiwa kuongezeka Palestine huo ndio ukweli, Israel inapaswa iongeze mashambuli mazito Zaidi bila huruma yoyote.
Wewe unapoleta ushabiki maandazi kwa wapalestina wanakusaidia Nini? Wamekupa hata kanzu?.Hawajaanza kupigwa Leo na kuuliwa kama hiyo ndio solution pekee waendelee kuangamiza ila wajue kwamba hawatowamaliza wala hiyo kuwa ndio suluhu ya amani kwao .
Na wewe huku Mbongo jambo hilo halitokusaidia kwa hali yeyote wala kuinua kipato chako zaidi ya kuwa shabiki oya oya tu kama Maghayo .
Sio ushabiki maandazi ndio maana nik dhidi ya matumizi ya nguvu hovyo bila faida ,utekaji na mashambulio kwa Raia ambayo yanafanywa kwa mwamvuli wa kutaka kujikomboa Palestine.Wewe unapoleta ushabiki maandazi kwa wapalestina wanakusaidia Nini? Wamekupa hata kanzu?.
Kama vile ukristo bila roho mtakatifu haupo ndivyo ilivyo kwa uislamu bila majini haupo,na majini wanataka damu,kwahiyo uislamu hautakuja kuacha kumwaga damu za wasio hatia mpaka dunia inaishaUislam ni dini inayofaa kwa wanaadamu wote kwa [emoji817]%
Uislam ndio mfumo sahihi kabisa wamaisha ya wanaadam
Ndio maana hujawahi na hutawahi kuja kisikia watoa maamuzi au mashekhe wanahalalisha usenge na usogaji kama kwenye mrengo wa kushoto
Huko Darfur maelfu na maelfu watoto na wanawake wanauwawa na displaced tena ni waislam na waafrika weusi ila dah hawana thamani kama mipalestinaSio ushabiki maandazi ndio maana nik dhidi ya matumizi ya nguvu hovyo bila faida ,utekaji na mashambulio kwa Raia ambayo yanafanywa kwa mwamvuli wa kutaka kujikomboa Palestine.
Kingine napiga unyama wanaofanyiwa wao kuuliwa mpaka vichanga sehemu imefika hatua mpaka umoja wa mataifa , UNICEF nk wanasema yanayotokea Palestine pengine ni unyama mkubwa zaidi kutokea karibu dhidi ya wanadamu.
Kama mafuriko hapa watu wachache Taifa limepatwa majonzi na hasara kubwa kutokea sasa Wapalestina kuuliwa kwa maelfu na madhila mengine umekuwa ndio ada yao kwa zaidi ya miaka hamisini mateso juu ya mateso.