Nawalaumu sana Hamas, Serikali ya Israeli pamoja na wale wanaowaunga mkono

Nasubiri faida ambazo watapata HAMAS baada ya vita kuisha!!!
Waulize Israel wafanya kaxi 200,000 kwanini hawana kazi kwa sasa?

Waulize Israel hasara ngapi walizo zipata toka vita ianze

Waulize Israel nani anaye chukua video kwa karibu hivi kama sio wanajeshi wa Israel, ili kuwapelekea ujumbe waisrael tuokoeni tunamalizwa na Hamasi haswa hio video nimeweka chini.

Zingine tunajua ni Hamasi ndio anarecord, hata Aljazeera wanasema hi video kuonyesha askari wanamsaidia mwenzao na kwa karibu ni lazima jeshi la Israel wameivujisha, ili wananchi waisrael wawasaidie vita isimamishwe 😄


View: https://youtu.be/lAwMpISRZlw?si=qnqiFOKZprIaOMt8
 
Huko Darfur maelfu na maelfu watoto na wanawake wanauwawa na displaced tena ni waislam na waafrika weusi ila dah hawana thamani kama mipalestina
Hayo yote hayafai , umwagaji wa damu bila sababu za msingi ni moja Kati ya mazambi ya juu kabisa , na sijui umetumia kigezo kipi kusema hazina thamani au kisa attention ndogo kwani haujui kuwa case ni tofauti?

Mbona huku bongo watu wengi wanauwana halafu kifo cha Joshua watu wanapaza sauti kuliko na kuonyesha machungu au wanaouwawa huku Mbagala na Buza hawana thamani mbona haujawahi kuwatetea na kuwapigania ?
 
Naunga mkono hoja
 
Umeona matokeo yake sasa jinsi uharibifu uliotokea na vifo vya kikatili mpaka sasa na Hamas walitaka mapigano yasitishwe ...

Je yakisitishwa sasa Kati y Hamas na Israel Nani atakuwa amepata hasara ,uharibifu na vifo vingi ?

Je kuna faida zozote ambazo muhimu zitakuwa zimepatikana ?
 
Humu JF hakuna muislamu ambaye yupo kuweza kufikiri kama wewe.

Wote wanaotetea hivi vita wanaendeshwa na mahaba ya dini kwako imekua tofauti, kuanzia sasa upo kwenye top 5 yangu.

Hili swali niliwahi uliza kilichofata ni matusi na kejeli.

Unaenda vipi kumchokoza jirani yako ambaye anakuzidi nguvu, Halafu familia yako hujajua jinsi ya kuilinda na hawana taarifa?

Hon. adriz big sana kuliona hili.

Hapa JF
1 ni wewe
2. Sir john Robert

Wengi waliobaki ni hisia tu na mahaba ya dini.
 

Unajua mapigano yakisitishwa ni katika maelewano gani?
 

Ujinga nambari 1 ni kudhani kuna vita vya kidini Gaza jambo ambalo hata HAMAS, Israel, wala dunia havijasema; ila wale wajinga ndembe ndembe wa JF!
 
Ujinga nambari 1 ni kudhani kuna vita vya kidini Gaza jambo ambalo hata HAMAS, Israel, wala dunia havijasema; ila wale wajinga ndembe ndembe wa JF!
Haswa!

Na ndicho nilichoandika, wengi hapa JF mkuu brazaj hivi vita wamevipa sura ya udini.

Bora adriz, wewe kidogo mnahoji logical.

Yupo ndugu yangu anaitwa malaria ana udini mpaka nashangaa.

Kama unabisha hili tazama wengi wachangiaji vita hii wamevipa udini.

MK254 yeye anatetea israel haoni baya wanalofanya.

Ritz yeye ni hamas.

Yote yote adriz ni mtu wakwanza kuwa unbiased kwenye hii ishu nampa 100%
 

Hakuna popote katika wahusika wakuu wa vita walipo onyesha kuwa ni mpambano wa kidini.

Haipo shaka kuwa ni mpambano wa kugombea ardhi wa muda mrefu baina ya Israeli na Palestina.

Anayeupeleka mgogoro huu kidini au kigaidi wote wanafanana. Hapo kuna wasiojitambua na wenye agenda zao binafsi. Tofauti zao ni majina tu.
 
Bora umekua mkweli.

Hon. Brazaj
 
Sidhani hata ni kuwa mkweli as a person, bali huo ndiyo ulio ukweli.

Penye ukweli, uongo hujitenga.
Wanaogombana hapa jf kuhusu hivi vita wanavipa sura ya udini ndio ilikuwa pointi yangu.

Umeelewa lakini mkuu?
 
Wanaogombana hapa jf kuhusu hivi vita wanavipa sura ya udini ndio ilikuwa pointi yangu.

Umeelewa lakini mkuu?

1. Kugombana humu vita viko Gaza pia si shahihi sana.

2. Kuweka ushabiki kwenye vita ni jambo la kusitikisha.

3. Kushindwa kutambua sababu za vita ni jambo la kuhurumiwa.

4. Hapo #3 ni case ya ujinga kama mwingine wowote.

Otherwise nakuelewa sana tu ndugu.
 
Unajua mapigano yakisitishwa ni katika maelewano gani?
Sifahamu ila sio mwaka huu kutokea Hamas kufanya mashmbulizi kisha mapigano kusitishwa bila faida yeyote ya maana kwa Wapalestina.

Wakati Hali sasa ni kama hivi
 
Jamaa uliowataja hapo ni kweli ,mfano ndugu Malaria mara alete Uzi wa kushangilia mapambano watu wakichapana na kuuwana kishabiki kisha baadae kuanza kuleta Uzi wa kuilaumu unyama na mauaji yanayofanyika hiyo sio sawa ,ilitakiwa tokea mwanzo mpaka mwisho ushabiki uwekwe pembeni ..

Jamaa Mkenya anafahamika vyema kashindikana kwenye sekta ya ushabiki maandazi.
 
Sifahamu ila sio mwaka huu kutokea Hamas kufanya mashmbulizi kisha mapigano kusitishwa bila faida yeyote ya maana kwa Wapalestina.

Wakati Hali sasa ni kama hivi View attachment 2857745

Kwa vile hujui busara kusubiri mwisho. Waungwana wanasema:

"He who laughs last, laughs best."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…