Nawaomba radhi Watanzania kwa kumpendekeza hayati Magufuli kwa hayati Mkapa

Kwahio huyu aliyopo sasa ni All Right ???!!!!!!

Nadhani huu muda tungeutumia kuganga ya Sasa wala sio Yaliyopita ambayo si Ndwele basi tungeisaidia nchi yetu...

Au tunangoja huyu akishatoka ndio tuanze kumzodoa ?!!!
Unaangalia ulipojikwaa wakati unatafuta hatua sahihi. Sidhani kama mfumo utarudia tena lile kosa.
 
Asili ilichukua mkondo wake.. Ameshaondoka sasa maisha yaendelee hata tukiendelea kuishi kwa majuto haitatusaidia bali tuwe makini sasa na huko tuendako yasije kujirudia haya
Hakika, tuijenge kesho iliyo bora.
 
Hatuwezi kukusemehe kwa kutuletea yule kiongozi muovu. Tunamshukuru tu Mungu kwa kutuondolea yule kiongozi muovu bila damu kumwagika.
Kusamehe ndio kunapelekea kupona.
 
Ungeomba tukusamehe kabla sir God hajafanya yake....


Anyway.... "Ee Mungu, ikikupendeza mchukue huyu luteni kabla mwez hujaisha"

Wote tuseme Amen
Kama ni hukumu basi ilishamfikia mkosaji. Wengine tuombeane heri.
 
Kwa tabia za Magufuli wote tulibaki midomo wazi kasoro:
Bashiru
Polepole
Makonda
Sabaya
Mzee wa Gwambina
Kalemani
Joyce Malomo
Angela Kairumi
Doto James na
Heri James.

R.I.H Magufuul!

Umenisahau kumtaja na Shehullohi
 
It is a great thing that now we welcome opinion from every individual in the bid to build our democracy and society. These things were far above the reach of the long gone guy.
 
Hilo la msamaha ni moja je twawezaje kuzuia yasijetokea tena?

Wale wahuni wake waliobaki mpaka waburuzwe kortini kama yule mmoja wa kule kaskazini.

Baada kuna wahuni wengi aliokuwa akiwatumia na bado wapo mtaani tu japo wamejitahidi kujificha ila wanajulikana haki itendeke tu , wengine hadi walisababisha nchi ikaingia kwenye red flag alert na wakazuiwa kuingia nchi za watu.
 

Asante kwa kumpendekeza JPM kwa Mkapa...

Purpose yako ushaitimiza...unaeza ukapotea tu huna maana tena kwa taifa hili...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…