Nawaombea baraka na neema za Mungu waandamanaji wote kesho Jan, 24

Nawaombea baraka na neema za Mungu waandamanaji wote kesho Jan, 24

Wewe ni mnafiki,

Ulipinga maandamano ya HAKI na kuwaita waliodhamiria kuandamana Kwa Majina yote mabaya.

Umetubu lini Hadi uje kuwaombea Amani?
Nitaendelea kukuombea licha ya kukataa kata kata Neema na Baraka za Mungu.
Katika Roho hiyo unamaanisha wew ni miongoni mwa watakao leta fujo na kusababisha uharbifu na maumivu kwa wengine...

kuepusha hilo,
Ikikupendeza baki tu nyumbani na mambo yako ya kishateni, waache waliojazwa Baraka na Neema za Mungu waandamane kwa ustarabu, utulivu, upendo na Amani...
 
Nitaendelea kukuombea licha ya kukataa kata kata Neema na Baraka za Mungu.
Katika Roho hiyo unamaanisha wew ni miongoni mwa watakao leta fujo na kusababisha uharbifu na maumivu kwa wengine...

kuepusha hilo,
Ikikupendeza baki tu nyumbani na mambo yako ya kishateni, waache waliojazwa Baraka na Neema za Mungu waandamane kwa ustarabu, utulivu, upendo na Amani...
Hujasikia Leo imeripotiwa traffic police,amekamatwa na Polisi akisafirisha mirungi?

Ndipo ujue kuwa wanaovuruga Amani Wala Si waandamanaji.
 
Mkuu wa mkoa alitaka kuleta style ya Magu, akaambowa ipozee kidogo. hivyo maombi yako yametulia japo hukufuata kanuni ya kutubu ile lefu ya 2020. We mtu wa Mungu shusha sala ya kitubio, angalau kwa niaba ya mwenzio.
toba ya kwa niaba inahitaji ridhaa ya mkosaji, na hata hivyo hakuna anaeweza kutubu kwako ila kwa Mungu Pekee, kadiri impendezavyo mkosefu...

Anaepinga maombi yangu ya Baraka na Neema za Mungu kwa waandamanaji wote kesho,
kama nae atashiriki basi ni miongoni mwa watakao sababisha fujo na kuharibu amani miongoni mwa waandamanaji wengine....

Bado naomba Neema na Baraka za Mungu zitamalaki miongoni mwa mioyo, ndimi , mawazo, maneno na matendo ya waandamanaji wote..
Wakaandamane kwa amani..
 
Hujasikia Leo imeripotiwa traffic police,amekamatwa na Polisi akisafirisha mirungi?

Ndipo ujue kuwa wanaovuruga Amani Wala Si waandamanaji.
Maombi yangu kwa Mungu leo nimeyaelekeza zaidi kwa waandamanaji wote kesho, Anaepinga Neema na Baraka hizi ndio huyo kesho atakuja kuuza mirungi, bangi, pombe na madawa ya kulevya kuharibu taswira ya maandamano...

ndio huyo atakae kuja kutukana wengine, kuchokoza wengine, kupora wengine, kupigana na wengine nakadhalika, kwasabab huyo ni washetani hapendi amani na utulivu, anapenda vita na mauaji.....

Nakuombea unyenyekevu siku ya kesho, waongoze wenzako kwa upendo na upole yale yote yaliyo mema...
 
Maombi yangu kwa Mungu leo nimeyaelekeza zaidi kwa waandamanaji wote kesho, Anaepinga Neema na Baraka hizi ndio huyo kesho atakuja kuuza mirungi, bangi, pombe na madawa ya kulevya kuharibu taswira ya maandamano...

ndio huyo atakae kuja kutukana wengine, kuchokoza wengine, kupora wengine, kupigana na wengine nakadhalika, kwasabab huyo ni washetani hapendi amani na utulivu, anapenda vita na mauaji.....

Nakuombea unyenyekevu siku ya kesho, waongoze wenzako kwa upendo na upole yale yote yaliyo mema...
Wewe pia utokee maana Bei ya sukari ni 5000 per kg,

Uwasemee bibi na Babu Yako kijijini.
 
Wewe ni miongoni mwa Mamluki duni uliyejiapiza kwamba hatutaandamana , haya leo kiko wapi ?

Kapuku we !
kwa kukaidi Neema na Baraka za Mungu kwa ghadhabu na dhihaka, huyo shetani unaemtegemea kesho atakuongoza pasipostahili utaadhirika....

Namuomba Mwenyezi Mungu akuepushe na dhahama hiyo akuondolee kiburi dhidi ya Baraka zake,
Uandamane kwa AMANI..
 
Mwenyezi Mungu Abariki Mawazo, Maneno na Matendo ya waandamanahi wote,
daima yawe ya ustaarabu, utulivu, ungwana, upendo na amani tangu mwanzo hadi mwisho wa maandamano yenyewe.

Wasiohusika wasibughudhiwe, wasiguswe, wasilazimishwe kushiriki maandamano, wasizomewe wala kudhulumiwa chochote kilicho chao.

Msimchokoze mtu, msimbeze wala kumdhihaki mtu yeyote kwa kelele au kwa namna yeyeote ile.

Nawaombea uadilifu na weledi walinzi wote wa amani watakaosimamia usalama tangu mwanzo hadi mwisho wa maandamano ili kila hatua iwe ni ya amani, uhuru, uwazi na haki.

Mungu awatie nguvu sana.

Mungu Ibariki Tanzania,

Mungu wabariki viongozi na wananchi wa Tanzania..
Wavunjwe viuno wote hahaha
 
Wewe pia utokee maana Bei ya sukari ni 5000 per kg,

Uwasemee bibi na Babu Yako kijijini.
Kazi yangu ya maana sana ni kumuombea Baraka na Neema za Mungu kila atakaeshiriki maandamano kesho...

Ni kuomba amani, upendo na utulivu kwaajili yako na waandamanaji wengine...
Mungu akubariki sana..
 
Mwenyezi Mungu Abariki Mawazo, Maneno na Matendo ya waandamanahi wote,
daima yawe ya ustaarabu, utulivu, ungwana, upendo na amani tangu mwanzo hadi mwisho wa maandamano yenyewe.

Wasiohusika wasibughudhiwe, wasiguswe, wasilazimishwe kushiriki maandamano, wasizomewe wala kudhulumiwa chochote kilicho chao.

Msimchokoze mtu, msimbeze wala kumdhihaki mtu yeyote kwa kelele au kwa namna yeyeote ile.

Nawaombea uadilifu na weledi walinzi wote wa amani watakaosimamia usalama tangu mwanzo hadi mwisho wa maandamano ili kila hatua iwe ni ya amani, uhuru, uwazi na haki.

Mungu awatie nguvu sana.

Mungu Ibariki Tanzania,

Mungu wabariki viongozi na wananchi wa Tanzania..
Amina Mzee, Wahuni bisibisi tuziache magetoni kwanza kwa siku ya Kesho ili tuipate haki.
 
Back
Top Bottom