Nawaonea huruma wadada wasio na "mizigo" mikubwa

Nawaonea huruma wadada wasio na "mizigo" mikubwa

Lakini wengine mmezidi makalio hayo jamani, mtu unamsubiri mlangoni apite haishi, anakuja tu kama treni, duh!
Wacha mkuu, kuna traffic mmoja huku kitaani amefunga mzigo balaa, akikata kona itabidi msubiri kwanza mana kiwiliwili kinapita mzigo bado upo nyuma unaweka jam ya kutosha
 
Back
Top Bottom