interlacustrineregion
JF-Expert Member
- Oct 28, 2018
- 7,134
- 7,395
NAKAZIA.Jamani kila ndege na mti aupendao hakuna type ya mwanamke isiyo na soko. Mwanamke sahihi wa kumuoa ni simple girl hao wanene binafsi siwapendi maana hata kutoka out ni shidaaaa. Anatembea kidogo tu hoi na hata kwenye mambo yetu Yale yasiyo na chama wanawake wembamba wanajua na utaenda round nyingi kuliko wanene
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani kila ndege na mti aupendao hakuna type ya mwanamke isiyo na soko. Mwanamke sahihi wa kumuoa ni simple girl hao wanene binafsi siwapendi maana hata kutoka out ni shidaaaa. Anatembea kidogo tu hoi na hata kwenye mambo yetu Yale yasiyo na chama wanawake wembamba wanajua na utaenda round nyingi kuliko wanene
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah Mkuu hapo umenena haswaaaaa. Hongera zenu wadada wembamba maana nafasi yenu ni kubwa kuliko wanene hata kwenye shughuli za kiuchumi mpo vizuri.NAKAZIA.
Hakunaga Miss World/Mrembo wa kidunia mwenye mat*ko na hatatokea kamwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Simple girl nawapenda kutoka moyoni and nadhani ndo litakuwa chaguo langu pindi nitakapoamua kuoa.100%its true wanene hawawezi kitu wale..
Hahaha hahaha
Zaidi ya kuwapenda, huwa nawaheshimu pia maana huwa hawana dharau sana kama hao wa kuvunja chaga za vitanda. Simple girl easy to walk together and holdHahaha hahaha
Asante sana kwa kutupenda mkuu
Agiza soda mkuuZaidi ya kuwapenda, huwa nawaheshimu pia maana huwa hawana dharau sana kama hao wa kuvunja chaga za vitanda. Simple girl easy to walk together and hold
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa napunguza ... lakini now mimi ngoja nifanye juhudi za kuwa nayo ...ili nijionee kama msambwanda upoHahaha hahaha hahaha
Anayo banaaa....
Halafu punguza uchochezi jamanii
Ukioa mwanamke mwenye chura kubwa unajitafutia balaa, yaani unakua umeoa bango la biashara!! Mbaya zaid na yeye ajione kuwa ni mbora zaidi ya wengine, utakoma!100%its true wanene hawawezi kitu wale..
Ukioa mwanamke mwenye chura kubwa unajitafutia balaa, yaani unakua umeoa bango la biashara!! Mbaya zaid na yeye ajione kuwa ni mbora zaidi ya wengine, utakoma!
Kuna simple women, real simple, humble, easy to carry n smart upstairs!! Ewaaa, hawa sasa unakuwa umeoa brained computer! Unapata mengi, mama, mshauri, hot in bed, funny n many more!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahahaSawa napunguza ... lakini now mimi ngoja nifanye juhudi za kuwa nayo ...ili nijionee kama msambwanda upo
Hahaha hahaha
Juhudi zinaanzia wapi eti
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaUnataka kihangaika na mat*ko feki/kichina ya nini lkn?
Inamaana Mungu aliyewaumba wasio na matako makubwa kama furushi la mitumba hakujua kuwa tuko Wanaume tunaowapenda?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Mie hayo HAPANA.... Tutako twangu tunanitosha kabisaaa!!!
Maendeleo hayana chama
Lol --- juhudi zitaanzia kwangu kuja kwako mwenyewe ...Au utanitoa mbio !?Hahaha hahaha
Juhudi zinaanzia wapi eti
Hahaha hahahaNimeona ukimuuliza anayetaka kukupotosha kuwa "unaanzaje namna ya kuwa na ma**ko makubwa?" ndiyomaana nikakushukia haraka iwezekanavyo ili nikuokoe[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakutoa mbio kweeli kweeli.... LolLol --- juhudi zitaanzia kwangu kuja kwako mwenyewe ...Au utanitoa mbio !?
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Mie hayo HAPANA.... Tutako twangu tunanitosha kabisaaa!!!
Maendeleo hayana chama
HahahahaHahaha hahaha
Hukumuelewa jamani, alitaka kuanza juhudi za kuona kapicha kangu kama kweli nina tutako
Na wewe kwa uchochezi jamaniiHahahaha
MTC | 101| [emoji769]