Nawapa tahadhari mnaopenda kutembea na pesa au kadi za benki

Nawapa tahadhari mnaopenda kutembea na pesa au kadi za benki

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kuna mchezo hupo kupitia jeshi la polisi hapa Tanzania na ukikutwa na makosa hua ndio mpinzani unaweza kupoteza uhai au kutengenezewa kesi kulingana na pesa utakayokutwa nao.

Hii tabia imejivisha sana hiki kikosi wanaojiita takforce .Kuna siku nilikuwa safari naelekea mkoa X na gari wakanisimamisha usiku sababu gari yenyewe ilikuwa imechoka na eneo linaonekana kuwa na magendo sana.

Wakataka kukagua nika waruhusu walipo angalia begi wakakona vitita vya pesa hapo ndio mtiti ulipoanzia.
hawataki kuniachia mara wananilazimisha niingine kwenye gari yao twende kanza.

Ni kasema acheni upuuzi kwani kunammuhalifu hapa na mikwala mingi ndio wakajishtukia ningekubari leo ningekuwa wafu wa mapori.
 
Na wewe vitita unapeleka wapi? Au walijua ulitoka kula kwa urefu wa kamba🤸‍♂️🤸‍♂️. Kwani hata hivyo unamwogopa yule mnyama wa madoa doa kwani😂
 
Kaka ake Shetani na unatembelea gari imechoka!!!
Be serious meeeen!

Your Broo is fvc big rich but blind she (remember she 😂)
don't know your Value!

Anyway una bahati hao tasiki force Policcm wangekupeleka kwa Broo ako
Shabhashhhhh!

😁😁
 
kukagua nika waruhusu walipo angalia begi wakakona vitita vya pesa hapo ndio mtiti ulipoanzia.
Mkoa kwa mkoa na pesa mabank yote haya yalivyojaa, na hata kama ulikuwa unaelekea mawilayani huko lets say hakuna bank husika, kupunguza risk si ungechukulia bank iliyo krb na huko unakoenda fanyia matumizi? au zilikuwa zile za kigogo wa TRA?
 
Mkoa kwa mkoa na pesa mabank yote haya yalivyojaa, na hata kama ulikuwa unaelekea mawilayani huko lets say hakuna bank husika, kupunguza risk si ungechukulia bank iliyo krb na huko unakoenda fanyia matumizi? au zilikuwa zile za kigogo wa TRA?
Unawafahamu ma operesheni meneja wanaonunua Pamba. Mzee mtu anatembe na mpaka millioni mia mbili na kuna kipindi tulikuwa tunasimamia Malipo ya Pamba na choroko Kwa njia ya simu ama benki weee hayo makato yake Mzee ni noma. Wakulima wenyewe wanapenda kulipwa taslimu. Noma sana
 
Unawafahamu ma operesheni meneja wanaonunua Pamba... Mzee mtu anatembe na mpaka millioni mia mbili na .... Kuna kipindi tulikuwa tunasimamia Malipo ya Pamba na choroko Kwa njia ya simu ama benki weee hayo makato yake Mzee ni noma .... Wakulima wenyewe wanapenda kulipwa taslimu.... Noma sana
Nakuelewa sana ndg. Ni kweli kwenye ununuzi wa mazao taslimu inatumika sana, ila si salama, ni vile watu wanalazimika kutumia njia hiyo kwa sababu makato ya benki yanatisha sana.
 
Back
Top Bottom