Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwapiga kiasi gani?Hawa badala ya kuniliza,me niliwaliza.niliwatumia muamala feki kumbe hawakuhakiki wakanitumia pesa bana,ile wanashtuka me nishawablock long time.
Kama 160k hiviUliwapiga kiasi gani?
Nipe link yao tuwalambeHao jamaa toka mwaka Jana mpaka sasa nishapita na hela zao nyingi za trial, wakinipa 10,000 la commission ya siku hiyo na kwenye group Lao natoka, wako sana Instagram na WhatsApp, ukipatana nao huko wanakupeleka telegram, ukiwa na tamaa unalizwa.
Hakikawana hicho ki item hapo kibirika cha umeme. wanakwambia ukinunue. wanaita sniping. unaweka hata mil 1 unanunua
LBL+ NETO=KUTOLEWA KWA DHAMANAPunguani jingine hili hapa. Waambie wapumbavu wenzio wa LBL. Mtapigwa sana na bado wajinga hamuishi.