Nawapenda sana atoto, valentina, Evelyn Salt na Miss Chaga

Nawapenda sana atoto, valentina, Evelyn Salt na Miss Chaga

sweet darling huku umefikaje lakini? umeona jinsi Heaven Sent alivyokuwa ananikomentia hapo juu!! Huyu mtoto kanishinda tabia.
Hahaha jina lako ni ATOTO M-PESA KABOOM
Naona kuna watu wanataka kusummary maisha yao...Douta ameshakua..Basi ni balaa sasa
Hahaha ndo mumshukuru Mungu kawawezesha mmekuza binti la haja
 
Msema kweli mpenz wa Mungu....
Kusema kweli hawa wadada nawapenda balaa...hata miandiko yao naipenda..yaani nikiona comment ya hao viumbe huwa nakuwa na hisia kalii...jf tunatambulika kwa nick name sawa, but nataman hawa watu niwaone hata mara moja...maana hisia zangu nahisi warembo balaa, any one amewahi kuwaona anitoe mawazoni, pengine sio attractive aniambie, nisiumie bureeee
Nimeongea nao wanataka kilo mbili kila mmoja, ni pm fasta nikuunganishe nao wana hamu ya kukuona!

uwiii nimekuwa mkoloni tena!! Nitakunyima! shauri yako.

Ha haa kwa style hiyo lazima mtu apendwe. Umenipa raha jioni hii we mwanamke
 
Msema kweli mpenz wa Mungu....
Kusema kweli hawa wadada nawapenda balaa...hata miandiko yao naipenda..yaani nikiona comment ya hao viumbe huwa nakuwa na hisia kalii...jf tunatambulika kwa nick name sawa, but nataman hawa watu niwaone hata mara moja...maana hisia zangu nahisi warembo balaa, any one amewahi kuwaona anitoe mawazoni, pengine sio attractive aniambie, nisiumie bureeee
Kuna dishi moja linajiita jeni lowassa,vp hulikubali mkuu?
 
Back
Top Bottom