Nawapenda sana wanaume hawa wa JF lakini sijui kama wanajua nnavyowazimikia Wallah!

kwa jinsi ninavyopuyanga kote sijatajwa au sio famous mimi
 
mimi hapa umesahau kunipenda
 
Mtake radhi Lizaboni kumsema eti ni mkaka! Huyo huwa mdada poa!!
 
Kuna Watu Wana utan Wa Ngumi Humu

Ngoja Nikae vzr Niangalie Midam Watu watakayo tokwa
 
Kwanza niambie una bikra ya wapi maana ya mbele ulishatolewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…