Nawapenda sana wanaume hawa wa JF lakini sijui kama wanajua nnavyowazimikia Wallah!

Nawapenda sana wanaume hawa wa JF lakini sijui kama wanajua nnavyowazimikia Wallah!

kwa jinsi ninavyopuyanga kote sijatajwa au sio famous mimi
 
1.Saint vuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr

Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!

Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii

1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu kaka ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu

2.Nyani ngabu
Yani huyu kaka ndio simuelewagi kabisa
Anaishi manzese darajani
lakini anajitamba humu kuwa yupo[emoji631] [emoji631]

Ongezea mwingine .................
mimi hapa umesahau kunipenda
 
Mtake radhi Lizaboni kumsema eti ni mkaka! Huyo huwa mdada poa!!
 
Back
Top Bottom