Ha,haaaa.....hapo kwa lemutuz hapana kwa kweli.Wako ni nani?
Au ni lemutuz?
Mtaje bby wako plzzzzzzzHa,haaaa.....hapo kwa lemutuz hapana kwa kweli.
Wangu anajijua na anajulikana pia.
Nna id ngapi?
Wwe una akili ya kuvukia wapi my kaka?Sio wote humu tuna akili za kuvukia barabara.
Mhhhh sijakuweka kwenye list ndio maana una panic?....bikira latifa
member
mhhh ??? ??? sio kweli umekuja kivingine..
Nipanick wapi kwako wewe unabadili ID fake hizi kila kukicha..Mhhhh sijakuweka kwenye list ndio maana una panic?....
Ila huyu mzee analipenda hili Shati !!
Ungeziweka id zangu za mwanzo hapaNipanick wapi kwako wewe unabadili ID fake hizi kila kukicha..
[emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila huyu mzee analipenda hili Shati !!
Au anayo mengi ya aina moja kama mark wa Facebook???
Ana vinasaba vya -keHivi Lizaboni ni Mwanaume,siku zote najua ni Elizabeth Bonifasi(Lizaboni)
Aliweka hii mada si hakika kama ni nwanamme, anaetumia ID ya kike, mimi nimeongeza tu maelezo ya mdau, Denis Denny kama mwenye mada ni mmoja ya wanaume wanautumia ID ya kike, na nikajua hivyo, pamoja uzinzi wangu nisingekubaliana nae. Maana siwezi sisimka kwa kuguswa na mwanamme mwezangu.Ungekuwepo kwenye list ungeongea maneno hayo?
Una uthibitisho upi kwamba hao uliowataja wote ni wanaume?1.Saint vuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr
Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!
Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii
1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu kaka ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu
2.Nyani ngabu
Yani huyu kaka ndio simuelewagi kabisa
Anaishi manzese darajani
lakini anajitamba humu kuwa yupo[emoji631] [emoji631]
Ongezea mwingine .................
Ubikira ni nguzo kuu ya utu wa mwanamke, unahidhihaki.Nimesahau kukuweka kwenye list ww
Mambo BeiB yani nilikuwa church aisee.1.Saint ivuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr
Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!
Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii
1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu
2.Nyani ngabu
Yani huyu kaka ndio simuelewagi kabisa
Anaishi manzese darajani
lakini anajitamba humu kuwa yupo[emoji631] [emoji631]
Ongezea mwingine .................