Nawapenda sana wanaume hawa wa JF lakini sijui kama wanajua nnavyowazimikia Wallah!

Nawapenda sana wanaume hawa wa JF lakini sijui kama wanajua nnavyowazimikia Wallah!

Ungekuwepo kwenye list ungeongea maneno hayo?
Aliweka hii mada si hakika kama ni nwanamme, anaetumia ID ya kike, mimi nimeongeza tu maelezo ya mdau, Denis Denny kama mwenye mada ni mmoja ya wanaume wanautumia ID ya kike, na nikajua hivyo, pamoja uzinzi wangu nisingekubaliana nae. Maana siwezi sisimka kwa kuguswa na mwanamme mwezangu.
 
1.Saint vuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr

Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!

Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii

1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu kaka ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu

2.Nyani ngabu
Yani huyu kaka ndio simuelewagi kabisa
Anaishi manzese darajani
lakini anajitamba humu kuwa yupo[emoji631] [emoji631]

Ongezea mwingine .................
Una uthibitisho upi kwamba hao uliowataja wote ni wanaume?

Nini kuwazimia kufa kabisaaa?!
 
haya!wewe ni miongoni mwa wanawake nisowapenda kabisa humu jf!!
 
1.Saint ivuga
2.kisu cha ngariba
3.BAK
4.mshana jr

Nawapenda sana yaani sanaaa my boys!

Lakini kuna hawa wafuatao sijui wamekula maharage ya wapii

1.lizaboni
Ningekuwa mod huyu ningempa ban ya maisha
Anapostigi utumbo tu

2.Nyani ngabu
Yani huyu kaka ndio simuelewagi kabisa
Anaishi manzese darajani
lakini anajitamba humu kuwa yupo[emoji631] [emoji631]

Ongezea mwingine .................
Mambo BeiB yani nilikuwa church aisee.
Ndio nimeona.
Umetisha sana m hata mimi nakupenda sana
 
Back
Top Bottom