realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Mara nyingi sana ๐Umewah kupasikia lkn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi sana ๐Umewah kupasikia lkn?
Basii ushapata jibu ๐Mara nyingi sana ๐
Saa moja au saa ngapi unataka rfk, maana leo nina vimeo jaman, huyu Boss wangu haoni kama kuna hali ya hewa kali jaman
๐๐ฟ๐๐ฟ๐๐ฟMshana shikamoo kaka yangu
Kaka wa dory unapotea sanaKuna jamaa alikua anakutafuta kule jukwaa la burundi
Nipo mkuu..Kaka wa dory unapotea sana
Toka kijana wangu tunakutegemea ticha au maake hapo sijui Nan single mazaNipo mkuu..
Nipo na single maza huku mtaani yanai hata kazi kwenda imekua ngumu
Kasema ana kazi ngoja ajeMkuu iko wapi?
Mimi hapa, unilipie hiyo kahawa halafu uende ukanipe nile hivyo vitu vitamu kwa usafi wake.Nawasalimu rafiki, nawapenda walevi jaman wanaojua kula vitu vitamu kwa usafi wake. Ni hilo tu, tufanyeni kazi tukutane jioni japo tupige story mbili tatu maeneo ya Shoppers tunywe kahawa nitalipa bill mimi kwa mtu mmoja, ni karibu na maeneo ya Morena wenyeji mtaelewa
Heeee, kumbe tayari nimeshawahiwa?Jaman naomba unitunzie kimiminika asali usije mwaga buree
Mnanifurahisha kinoma ๐Heeee, kumbe tayari nimeshawahiwa?
Sio ticha huyu ni mwingine.. naogopa kumtambulisha maana nahisi ana ndgu wake hukuToka kijana wangu tunakutegemea ticha au maake hapo sijui Nan single maza
๐๐๐ Kwan anajua wee ndo poor brain!Sio ticha huyu ni mwingine.. naogopa kumtambulisha maana nahisi ana ndgu wake huku
Nikitaja jina lake tuu atanijua maana...๐๐๐ Kwan anajua wee ndo poor brain!
Ukiskia umekamatwa vibaya ๐Nikitaja jina lake tuu atanijua maana...
Sema nini tatambulisha jina sio mda baada ya kumega tunda
Ahahaha yaani wee acha tuu mkuu...Ukiskia umekamatwa vibaya ๐
๐๐๐๐Ahahaha yaani wee acha tuu mkuu...
Sema daah huyu ataniuwa anasema ijumaa anakuja kunipa kila kituuuu