Watu wataenda acha porojo rahisiHakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.
Mashabiki wa Simba SC heko mno.
wapumbavu tu pekee ndiyo wataendaWatu wataenda acha porojo rahisi
hujawahi kuwa na akili hapa jamiiforums pamoja na kwamba sasa una miaka yako 81 hiyo na bibiUjinga tu, wakienda wasiende haizidishi wala haipunguzi.
Tulia sasa utuache wapumbavu twende kuona boli likisakatwawapumbavu tu pekee ndiyo wataenda
sawa mpumbavuTulia sasa utuache wapumbavu twende kuona boli likisakatwa
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.hujawahi kuwa na akili hapa jamiiforums pamoja na kwamba sasa una miaka yako 81 hiyo na bibi
Mashabiki wa Simba ni dish la chini, hata mtoto Mdogo analiseti tu.Kwakweli kwa shabiki wa simba asiye mjinga asiende uwanjani
Viongozi wenu wanawaona nyani.
Siku zote lawama nawapa wanachama wa simba wa DarMashabiki wa Simba ni dish la chini, hata mtoto Mdogo analiseti tu.
Mtu mzima na akili zako huwezi kuambiwa kuna uzinduzi wa WhatsApp channel.
Tuliza wenge babu....wivu huo huna lolote..yanakuhusu nini ya watsup channel...ukute na ww umeshafollow....Mashabiki wa Simba ni dish la chini, hata mtoto Mdogo analiseti tu.
Mtu mzima na akili zako huwezi kuambiwa kuna uzinduzi wa WhatsApp channel.
Ni wapumbavu na washamba tu ndiyo watasusa kwenda uwanjani. Kufungwa goli tano siyo mwisho wa Simba. Huu ushabiki wa kuujulia ukubwani ndiyo tatizo.wapumbavu tu pekee ndiyo wataenda
Marahaba mjomba Paulo.Shkamoo bibi muhammad.
Marahaba mjomba Paulo.
Ungekuwa na wewe ni MWANASIMBA ushauri wako, ungekuwa una mantiki. Lakini kwa vile, wewe na mleta thread hii, si WANASIMBA,basi ninyi ni kama WACHAWI tu, kwa kumshauri mwenzio amuue MZAZI wake, kisa NINYI mmegundua kuwa huyo MZAZI NI MCHAWI!Kwakweli kwa shabiki wa simba asiye mjinga asiende uwanjani
Viongozi wenu wanawaona nyani.