Nawapongeza mno Mashabiki wa Simba SC kwa Walichokifanya na Wanachokifanya

Nawapongeza mno Mashabiki wa Simba SC kwa Walichokifanya na Wanachokifanya

Kinachofanya akina Mangungu na Try again waendelee na dharau ni kwasababu Kuna mashabiki wasiojitambua. Na hao ndio akina Mangungu wanayaona nyani na kuyadanganya watamleta Manzoki ili mpigie kura.
Mo ndio anazingua timu
 
Hakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.

Mashabiki wa Simba SC heko mno.
Mashabiki Bora afrika wamesusa jamni 🤣🤣🤣
 
Kwan wew unagomea nin ili tujue???

Kama kufungwa man u alishafungwa goal kibao na Liverpool juz tu hapa na hatukuona harakati hizi.

Nan hajawah shushwa au kufungiwa kusajili, chelsea hata juve imewajuta na kushushwa madaraja.

Juz epl league bora kwa mvuto unaona Everton anakutana na rungu lakin kote hulo hatukuona mashabiki wakileta pumba hizi.....

Tell us wat you want, tukusaidie!!

Kama hutasema tutajua upo UTO na umekuja kutuvuruga
Huyo ni mpuuzi shabiki oya oya wala haujui mchezo wa mpira,kaanza kushabia ukubwani. Hakuna mpenzi wa mchezo wa mpira na mshabiki kindakindaki wa timu yake akaisusa na kuikejeli mitandaoni. Nakumbuka yule mshamba mwasisi wa jina utopolo, aliitukana timu hadi ikabatizwa jina maarufu la utopolo. Huo ni ushamba.
 
Mashabiki wa Simba wanapangwa na mashabiki wa Yanga bila wao kujielewa,

Kwanza wameaminishwa jersey mbaya, saiz wanaambiwa wasiende uwanjani et Mangungu anakuona Nyani? Kwan wew unaenda kwa ajiili ya team au kwa ajiili ya Mangungu?
Nenda kasapoti team yako, ugomvi wenu mtausolve tu, sasa usisapot team yako saizi mfungwe mtolewe CAFCL kisha mwakani mpatane mtakuwa mmepata nn?


Ni sawa na mzazi kugoma kulipa ada kisa umegombana na mtoto, halaf baada ya miaka miwili unapatana nae huku ashapoteza vingi
Hili nilishalisema hapa mashabiki wa Simba wanaimbishwa wimbo wasiojua na washabiki wa gongowazi. Na ukichunguza utakuta hata mpira wenyewe hawaujui ndiyo maana wanachezwa shere na watopolo na wenyewe wanajaa kwenye kilengeo. Sisi washabiki na wapenzi wa mchezo tumeumia kweli kweli lakini tuko na timu yetu kwani shabiki wa kweli hawezi kuhama. Simba tumeipenda iwe huzuni iwe furaha.
 
Hakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.

Mashabiki wa Simba SC heko mno.

Mkuu kweli simba imefanya vbaya mechi2 za mwisho lakini kutokwenda ndo watafanya vbaya zaidi....!!!!! Tuende uwanjani tukaujaze uwanja” makosa yapo hata wewe kuna siku unaenda kitafuta riziki na unarudi om bila bila!!! ‘kwaiyo tuhamasishane twende kuipa nguvu team yetu!!!
 
Mkuu kweli simba imefanya vbaya mechi2 za mwisho lakini kutokwenda ndo watafanya vbaya zaidi....!!!!! Tuende uwanjani tukaujaze uwanja” makosa yapo hata wewe kuna siku unaenda kitafuta riziki na unarudi om bila bila!!! ‘kwaiyo tuhamasishane twende kuipa nguvu team yetu!!!

What if inafungwa tena tena zaidi ya 3 utawapa excuse gani mashabiki wakuelewe
 
Hakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.

Mashabiki wa Simba SC heko mno.
Looser
 
Back
Top Bottom