Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka waende au wasiende?
Ujinga tu, wakienda wasiende haizidishi wala haipunguzi.
Starehe yao wao, wenzao wengine wote wapo kazini kwao.
😂Ahsante kwa taarifa, tuifanyia kazi.
Yan issue ya viongozi haisolviw kwa niny kutoenda uwanjanjSawa ila tungepata viongozi wenye akili timamu team isingekuwa hivi
Tunaisovu vp mkuu maana maandamano hayatoruhusiwa...Yan issue ya viongozi haisolviw kwa niny kutoenda uwanjanj
Mo ndio anazingua timuKinachofanya akina Mangungu na Try again waendelee na dharau ni kwasababu Kuna mashabiki wasiojitambua. Na hao ndio akina Mangungu wanayaona nyani na kuyadanganya watamleta Manzoki ili mpigie kura.
Mashabiki Bora afrika wamesusa jamni 🤣🤣🤣Hakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.
Mashabiki wa Simba SC heko mno.
Huyo ni mpuuzi shabiki oya oya wala haujui mchezo wa mpira,kaanza kushabia ukubwani. Hakuna mpenzi wa mchezo wa mpira na mshabiki kindakindaki wa timu yake akaisusa na kuikejeli mitandaoni. Nakumbuka yule mshamba mwasisi wa jina utopolo, aliitukana timu hadi ikabatizwa jina maarufu la utopolo. Huo ni ushamba.Kwan wew unagomea nin ili tujue???
Kama kufungwa man u alishafungwa goal kibao na Liverpool juz tu hapa na hatukuona harakati hizi.
Nan hajawah shushwa au kufungiwa kusajili, chelsea hata juve imewajuta na kushushwa madaraja.
Juz epl league bora kwa mvuto unaona Everton anakutana na rungu lakin kote hulo hatukuona mashabiki wakileta pumba hizi.....
Tell us wat you want, tukusaidie!!
Kama hutasema tutajua upo UTO na umekuja kutuvuruga
Hili nilishalisema hapa mashabiki wa Simba wanaimbishwa wimbo wasiojua na washabiki wa gongowazi. Na ukichunguza utakuta hata mpira wenyewe hawaujui ndiyo maana wanachezwa shere na watopolo na wenyewe wanajaa kwenye kilengeo. Sisi washabiki na wapenzi wa mchezo tumeumia kweli kweli lakini tuko na timu yetu kwani shabiki wa kweli hawezi kuhama. Simba tumeipenda iwe huzuni iwe furaha.Mashabiki wa Simba wanapangwa na mashabiki wa Yanga bila wao kujielewa,
Kwanza wameaminishwa jersey mbaya, saiz wanaambiwa wasiende uwanjani et Mangungu anakuona Nyani? Kwan wew unaenda kwa ajiili ya team au kwa ajiili ya Mangungu?
Nenda kasapoti team yako, ugomvi wenu mtausolve tu, sasa usisapot team yako saizi mfungwe mtolewe CAFCL kisha mwakani mpatane mtakuwa mmepata nn?
Ni sawa na mzazi kugoma kulipa ada kisa umegombana na mtoto, halaf baada ya miaka miwili unapatana nae huku ashapoteza vingi
AahaaaassMashabiki wa Simba ni dish la chini, hata mtoto Mdogo analiseti tu.
Mtu mzima na akili zako huwezi kuambiwa kuna uzinduzi wa WhatsApp channel.
Sports lady no.9 mgongoniWewe unataka waende au wasiende?
Ujinga tu, wakienda wasiende haizidishi wala haipunguzi.
Starehe yao wao, wenzao wengine wote wapo kazini kwao.
Wanaondesha kampeni ya watu wasiende uwanjani ni wale maadui wa SimbaMashabiki Bora afrika wamesusa jamni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😹Wanaondesha kampeni ya watu wasiende uwanjani ni wale maadui wa Simba
Hakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.
Mashabiki wa Simba SC heko mno.
Mkuu kweli simba imefanya vbaya mechi2 za mwisho lakini kutokwenda ndo watafanya vbaya zaidi....!!!!! Tuende uwanjani tukaujaze uwanja” makosa yapo hata wewe kuna siku unaenda kitafuta riziki na unarudi om bila bila!!! ‘kwaiyo tuhamasishane twende kuipa nguvu team yetu!!!
LooserHakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.
Mashabiki wa Simba SC heko mno.
Hivi kumbe upo aiseeeeMarahaba mjomba Paulo.