nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Mimi ni shabiki lialia wa simba ila nina akili timamuUngekuwa na wewe ni MWANASIMBA ushauri wako, ungekuwa una mantiki. Lakini kwa vile, wewe na mleta thread hii, si WANASIMBA,basi ninyi ni kama WACHAWI tu, kwa kumshauri mwenzio amuue MZAZI wake, kisa NINYI mmegundua kuwa huyo MZAZI NI MCHAWI!
We bwana lalaHakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.
Mashabiki wa Simba SC heko mno.
Waache watu waishangilie timu yao, wewe kama hutaki kaa kwako utuliewapumbavu tu pekee ndiyo wataenda
Mashabiki wanaojitambua ni wale wanaoenda uwanjani kuishangilia timu yao, wanaonunua jezi nk, sio madhabiki wa keyboardKinachofanya akina Mangungu na Try again waendelee na dharau ni kwasababu Kuna mashabiki wasiojitambua. Na hao ndio akina Mangungu wanayaona nyani na kuyadanganya watamleta Manzoki ili mpigie kura.
Tulia koloNyie utopolo kwa nini mnapenda kueneza propaganda chafu?[emoji16]
Nimefahamu kuwa wewe si MWENZETU, kwa kwa maneno haya…. "VIONGOZI WENU WANAWAONA NYANI"!Mimi ni shabiki lialia wa simba ila nina akili timamu
Sikuhusika kuwachagua ndio maana kila siku nalaumu wanachama wenzetu wa darNimefahamu kuwa wewe si MWENZETU, kwa kwa maneno haya…. "VIONGOZI WENU WANAWAONA NYANI"!
ONDOA POROJO ZAKO ZA KICHAWI HAPA. UWANJANI TUTAENDA UTAKE USITAKE.Hakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.
Mashabiki wa Simba SC heko mno.
Kwan wew unagomea nin ili tujue???wapumbavu tu pekee ndiyo wataenda
M naona mashabiki wajinga ndio wasiende uwanjani,Kwakweli kwa shabiki wa simba asiye mjinga asiende uwanjani
Viongozi wenu wanawaona nyani.
Mangungu anakuona nyaniM naona mashabiki wajinga ndio wasiende uwanjani,
Umefungwa game moja unasusia kwenda uwanjani?
Hayo ni matako au
Tuifanyia ndio nini? Hata kuandika hujui.Ahsante kwa taarifa, tuifanyia kazi.
Mashabiki wa Simba wanapangwa na mashabiki wa Yanga bila wao kujielewa,Mangungu anakuona nyani
Ha ha haMashabiki wa Simba ni dish la chini, hata mtoto Mdogo analiseti tu.
Mtu mzima na akili zako huwezi kuambiwa kuna uzinduzi wa WhatsApp channel.
Sawa ila tungepata viongozi wenye akili timamu team isingekuwa hiviMashabiki wa Simba wanapangwa na mashabiki wa Yanga bila wao kujielewa,
Kwanza wameaminishwa jersey mbaya, saiz wanaambiwa wasiende uwanjani et Mangungu anakuona Nyani? Kwan wew unaenda kwa ajiili ya team au kwa ajiili ya Mangungu?
Nenda kasapoti team yako, ugomvi wenu mtausolve tu, sasa usisapot team yako saizi mfungwe mtolewe CAFCL kisha mwakani mpatane mtakuwa mmepata nn?
Ni sawa na mzazi kugoma kulipa ada kisa umegombana na mtoto, halaf baada ya miaka miwili unapatana nae huku ashapoteza vingi
Simba inahujumiwa na viongozi,machawa na viongozi wa wanachama matawi ya Dar.Siku zote lawama nawapa wanachama wa simba wa Dar
Maana ndio wametuwekea wasanii watuongoze
Hawa jamaa wanatuona nyaniSimba inahujumiwa na viongozi,machawa na viongozi wa wanachama matawi ya Dar.
Hawa wote wanafaidika na uhuni unaofanywa pale club.
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Mashabiki wa yanga waliitwa wala mihogo na viongoz wao hao hao lakini ikapitaHakuna kununua Tiketi wala kwenda Uwanjani kesho na huko kwa Mkapa watajaza Familia za akina Try Again, Mangungu, Mo Dewji na Wachezaji Wanafiki Watatu wanaoneza migomo ya kichinichini na Timu kufanya vibaya akina Chama, Ntibanzokinza na Inonga.
Mashabiki wa Simba SC heko mno.