Misss Chuga
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 181
- 330
Tena unaofanya kazi barKuamini TTCL Ni sawa na kuuamini mchepuko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena unaofanya kazi barKuamini TTCL Ni sawa na kuuamini mchepuko
Ebu piga *150*71# alafu chagua nunua vifurushi then chagua bando tam tam utaona kwa buku unapata 1.2GB plus na dakika kwa 5 daysMavifurushi yenu hayo hapo acheni kudanganya watu hamna lolote. Hapo intarnet hadi uende posta ndo unaipata. View attachment 1969325View attachment 1969326View attachment 1969327View attachment 1969328
Nimekuwekea hizo hapo. Unatumia laptop sio? Kweli we ni zink. Acheni kudanganya watu nimewasha line yenu hamna kitu cha msingi mtandao unasumbua sana. Hata wafanyakazi wenu wanatumia mitandao mingine na ndugu yangu anafanya kazi kwenu anatumia voda mjione mlivyo wa ajabu.Hahahah mkuu menu nashindwa kuweka maana situmii simu hapa ila ntaweka badae hapo
Mkuu mbona unanikuza me ni mwananchi tu wala sifanyi kazi huko ila pia kwangu mimi ttcl ipo vizuri tuNimekuwekea hizo hapo. Unatumia laptop sio? Kweli we ni zink. Acheni kudanganya watu nimewasha line yenu hamna kitu cha msingi mtandao unasumbua sana. Hata wafanyakazi wenu wanatumia mitandao mingine na ndugu yangu anafanya kazi kwenu anatumia voda mjione mlivyo wa ajabu.
Sasa bando mmeweka kwenye Menu ya T Pesa. Mnataka tununue kwa T Pesa sioMkuu mbona unanikuza me ni mwananchi tu wala sifanyi kazi huko ila pia kwangu mimi ttcl ipo vizuri tu
Kama wanavyofanya Halotel kwenye HaloPesaSasa bando mmeweka kwenye Menu ya T Pesa. Mnataka tununue kwa T Pesa sio
?
Haya nimekuelewa.Mkuu cha msingi kupata bando tu mambo sijui bando lipo kweny menu ya T pes hayana maana
Jsribu kuwasha data_ ikizingua nenda inbox kwa TTCL Customer Care ukapatiwe msaadaMkuu hiyo spidi unaifurahia ukiwa wapi?Je mimi wa ikuwo huku spidi itakua ni hiyohiyo?
Bei ya vifurushi ipo VipiHapana mkuu voda,tigo airtel na wengine kwa sasa hawana kifurushi cha bei poa kuzidi ttcl nimehamia huku now.
Asante bro Ngoja turudi nyumbani ttcl1000 GB1 siku 5
3000 GB 3 siku 5
Asante bro Ngoja turudi nyumbani ttcl
Unazungumzia bei poa au kasi ya net?Hapana mkuu voda,tigo airtel na wengine kwa sasa hawana kifurushi cha bei poa kuzidi ttcl nimehamia huku now.