Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Nakuona msukule wa ccm yaani wewe unaweza hata kunyewa mdomoni na ukasema ccm oyeeMshamba ni wewe fukara wa mali na akili.
Mbona mda mrefu yupo tanzania aiseeMo mbona kitambo ndugu anaishi dubai
Ridhiki washapata ni ujinga kuendelea kuishi nchi inayonuka wakati unamipesa ambayo unakula mpaka kifoYESU KAWAPA RIDHIKI ZAO ZIPATIKANE TANZANIA WAENDE WAPI SASA ULIPO UGALI NA MBOGA INATAKIWA IWEPO HAPO HAPO
Pesa nyingi halafu unaishi tanzania ni uboyakwanini wewe hujawahi sikia kuwa
Breathing in Western countries is akin to inhaling problems
Tatizo lako unaishi uswahilini na unadhani nchi nzima ipo km kulivyo uswahilini, wenzako wanaishi masaki a.k.a uzunguni barabara zote zina lami maji na umeme havikatiki kwa masaa 24Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kuadhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba
Ungejaliwa kutembea ndio ungejua uzuri wa Tanzania 🇹🇿 ♥Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kuadhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba
Masaki ufananishe na American au Europe hivi unaakili timamu kweli wewe au ni saa mbovuTatizo lako unaishi uswahilini na unadhani nchi nzima ipo km kulivyo uswahilini, wenzako wanaishi masaki a.k.a uzunguni barabara zote zina lami maji na umeme havikatiki kwa masaa 24
SawaMasaki ufananishe na American Europe au Dubai hivi unaakili timamu kweli wewe au ni saa mbovu
Sawa fukara.Nakuona msukule wa ccm yaani wewe unaweza hata kunyewa mdomoni na ukasema ccm oyee
Tanzania hamna sehemu ambayo sijafika tanzania yote ni takatakaUngejaliwa kutembea ndio ungejua uzuri wa Tanzania 🇹🇿 ♥
Pole kwako hujanielewa!!!Tanzania hamna sehemu ambayo sijafika tanzania yote ni takataka
Sijapoteza pesa mimiSawa fukara.
Ila tafuta pesa ewe masikini ili uache kuwaza pesa na kuwapangia wenye nazo kipi wafanye.
Umeelewa ewe fukara?!
Siku ukijua kwamba Tanzania ni nchi nzuri sana kuishi ukiwa na hela kuliko ukiwa kapuku ndio utaelewa kwanini matajiri wengi hawatoki kwenda Ulaya japo wamewekeza huko Ulaya.Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kuadhamink vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba
Bakhresa unashindwaje kumjua wewe itakua unaishi porini sanaBakhressa amewekeza nchi mbalimbali nje na ndani
Mo -na yeye the same na sasa hivi muda mwingi anakuwa Dubai.
Tatizo sio kukaa Tanzania au wapi Ila ni kuangalia investments zako zinaendaje .
Utajiri Mara nyingi huwa unawapata watu amabao hawakurupuki
Then tunavyowaona watu mitandaoni nadhani tunawajua Kama 5% tu .
Mambo mengi ya siri yameekwa private.
Kuna siku nilipanda boti ya Bakhressa na kukaa Karibu yake Ila sikumjua wala hata watu hawamjui.
Nilikuja kuwmbiwa na jamaa mmoja huyo mzee ndo bakressa.