macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Ungekuwa umeishi Ulaya usingesema hivi. Ulaya kina Mo ni nothing. Tanzania wanapata ujiko wa kila aina na wana uhuru uliopitiliza. Wanaweza hata kuua na wasikamatwe. Na kingine.... Ulaya wana uwezo wa kwenda muda wowote watakapo.Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi Tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganIsha na klabu za Ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba ila najua Kuna masikini watakuja kuniambia nitafute pesa jamani Mimi pesa sijazipoteza ninazo