Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

YESU KAWAPA RIDHIKI ZAO ZIPATIKANE TANZANIA WAENDE WAPI SASA ULIPO UGALI NA MBOGA INATAKIWA IWEPO HAPO HAPO
Yesu mwenyewe alikuwa akipata rizki yake kutoka kwa aliyemuumba. Kumbe na yeye alikuwa akitoa pia?

Sawa ila jua Yesu alikuwa maskin hata hakuwa hata na nyumba hivyo ikamlazimu kuishi kwa kuhama hama.
 
We kweli hujielewi eti kigamboni ni zaidi ya ulaya kumbe Kuna watu mmechanganyikiwa Kwa ugumu wa maisha
Ukiwa huna hela huezi elewa. Kama hela huna utaona TZ ni mbaya mana utaishia kula bata kwa sehem za kawaida ila kuna machimbo mzee sio poa kabisa. Ushawahi kuingia kwenye chumba cha hotel mlango unajua hadi jina lako? Yani ile umefika tu unasikia "TJ Victor,We love you, welcome to paradise" 😄 Mkuu tafuta hela dar haina joto na wala sio kubaya
 
Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba ila najua Kuna masikini watakuja kuniambia nitafute pesa jamani Mimi pesa sijazipoteza ninazo
Hata wewe ukiwa na pesa ukaishi bush, vijijini ndani ndani huko, thamani ya pesa yako itaonekana.

Utaishi maisha ya raha na kuheshimika, tofauti na kuishi mjini kwa wenye vipato wengi.

Sasa ndiyo mfano wa hao matajiri,
aende Marekani au Uingereza kwa wenye nazo, nani atautambua utajiri wake?

Matajiri wanapenda kutambuliwa na kuheshimiwa kutokana na ukwasi wao bhana.
 
Tanzania ya maendeleo, tuingoje sana.

Huyu mle mada na wale wezi wa mali za umma halafu wanazipelekea kuziwerka kwa wazungu hana tofauti.

Tanzania maendeleo kwa vizazi kumi vijavyo tusahau kabisa, kondoo ni wengi mno.
 
Duuh ndio umefikia huku hii laana aisee
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..
 
Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi Tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganIsha na klabu za Ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba ila najua Kuna masikini watakuja kuniambia nitafute pesa jamani Mimi pesa sijazipoteza ninazo
Wanaogopa kwend kufilisika
 
Mimi ni kweli nimeathirika na UKIMWI, nimeshasambaza kwa watu wengi na pia hata afya yangu ya akili haiko sawa ndio mana nafungua thread ambazo hazieleweki mana nimeshachoka na maisha nasubiri kufa tu.
I rest my case. Pumzika kwa amani marehemu mtarajiwa.
 
Back
Top Bottom