Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba
Wewe hujui Tz kuna fursa nyingi na hakuna ushindani wa kibiashara ukienda huko unakosema wenye mitaji ni wengi sana hawa akina mo na bahresa ni kama machinga tu bro hata hapo kenya kupenya kibiashara ni kazi kwani matajiri ni wengi na fursa ni finyu.
 
Nakuona msukule wa ccm yaani wewe unaweza hata kunyewa mdomoni na ukasema ccm oyee
Sasa hapo sijui CCM imeingiaje? Kwani hao matajili aliowataja wana uhusiano wowote na vyama vya siasa! Au utajili wao wameupatia huko? Hakika akili ni mali!!!
 
Kwanza Hii inaonyesha namna watu wetu HAMJUI lolote katika Dunia hii...Hao watu mnawaita matajiri Wakisogea hata hapo Kenya tu wanaachwa mbali sana kingine hapa Tanzania mali nyingi ziliibwa zilikua za Serikali watu wakajichukulia kwa deal na kodi hapa Wanakwepa hivyo vyote Ulaya huwezi kufanya au huko unakoita Wewe American ambako sikujui mm nadhani ulimanisha America/ USA.

Ndg Afrika ina potential kubwa sana kuliko Ulaya na Marekani fikiria technolojia waliyonayo wazungu unakwepaje kodi na ukikwepa unakula vitasa miaka hapa Tz watu wanibia serikali kirahisi wanatengeneza mabilioni.
 
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..
Wewe Mimi hunisumbuiiii unajichosha tu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wewe Mimi hunisumbuiiii unajichosha tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..
 
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..
Yaani bado hujasema na utasema tuuuuuu 🤣🤣🤣🤣
 
Kwa Kauli yako nadhani haujawahi kuishi popote zaidi ya Tanzania..., Hakuna sehemu nzuri na ya furaha kuishi kwa tajiri kama developing countries as well as Home is Home...., Might be hard for doing Business but not hard for spending....
 
Kwa Kauli yako nadhani haujawahi kuishi popote zaidi ya Tanzania..., Hakuna sehemu nzuri na ya furaha kuishi kwa tajiri kama developing countries as well as Home is Home...., Might be hard for doing Business but not hard for spending....
Yaani bado hujasema na utasema tuuuuuu 🤣🤣🤣🤣
 
Yaani bado hujasema na utasema tuuuuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..
 
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..
Yaani bado hujasema na utasema tuuuuuu 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom