Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba
Akili za masikini bana.........

Wao fursa zao zipo hapa.....

Ukiwa na pesa Tanzania unaishi maisha ya anasa kuliko ulaya.

Mo na Bakresa Tz ni miungu watu.

Wakienda ulaya wanageuka ushuzi tu
 
Tatizo lako unaishi uswahilini na unadhani nchi nzima ipo km kulivyo uswahilini, wenzako wanaishi masaki a.k.a uzunguni barabara zote zina lami maji na umeme havikatiki kwa masaa 24
Nilitaka kumwambia ivo ivo yaani 🤣
 
Akili za masikini bana.........

Wao fursa zao zipo hapa.....

Ukiwa na pesa Tanzania unaishi maisha ya anasa kuliko ulaya.

Mo na Bakresa Tz ni miungu watu.

Wakienda ulaya wanageuka ushuzi tu
Masikini mwingine ni wewe ulieumia mpaka ukakomenti kwenye hii nyuzi
 
Hao watu wa Europe unaowasema wanakuja hapa wanatamani kuishi wengine wameolewa huku kijijini kwetu wanafurahia maisha. Wengine wameona fursa nyingi ambazo zinawafanya wabadili hadi uraia.
 
Najua huna marinda sababu uliyatoa Ili upate pesa na pesa huna umebaki na tobo kubwaaa hahahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tajiri unaeishi ulaya unatafuta kiwanja cha miguu 13 kwa 13. tajiri unatuaibisha sana
 

Tajiri unaeishi ulaya unatafuta kiwanja cha miguu 13 kwa 13. tajiri unatuaibisha sana
Hahahahahahahaha marina huna Sasa tatizo maana uliyaweka rehani mwenyewe kisa pesaaa🤣🤣🤣🤣
 
Mambo ya jf bhana...... unaweza ukajikuta unabishana na mtoto wa sekondari anayetumia WiFi ya bure nyumbani huku amelala kwenye Kochi.....

Btw
Mimi nadhani ni machaguo kwenye maisha....kama ambavyo wewe umeona haifai ndio wao wameona inafaa kuishi Tanzania.....

Kama ambavyo kuna watu wenye ukwasi mkubwa huko mikoani lakini hawana shauku ya kuja kuishi Dar es salaam ambayo kwa wengine wanaiona kama New York..........

Maisha ndivyo yalivyo......
 
Mambo ya jf bhana...... unaweza ukajikuta unabishana na mtoto wa sekondari anayetumia WiFi ya bure nyumbani huku amelala kwenye Kochi.....

Btw
Mimi nadhani ni machaguo kwenye maisha....kama ambavyo wewe umeona haifai ndio wao wameona inafaa kuishi Tanzania.....

Kama ambavyo kuna watu wenye ukwasi mkubwa huko mikoani lakini hawana shauku ya kuja kuishi Dar es salaam ambayo kwa wengine wanaiona kama New York..........

Maisha ndivyo yalivyo......
Kama ukiwa mkubwa hunyi basi hongera unastahili kutobishashana na mdogo ila kama unakunywa wewe ni boya tu
 
Back
Top Bottom