Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hapa wanajipatia utajiri na heshima kubwa kirahisi kuliko ughaibuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu punguza tamaa na usiwapangie watu nini wafanyeWewe Tanzania hata upapambe vipi lakini ni takataka tu Kwa nchi yeyote ya Europe
Hela tafuta wewe Mimi sijazipoteza ninazoMkuu punguza tamaa na usiwapangie watu nini wafanye
Kama unateseka sana na hilo tafuta hela nenda huko Ulaya ambako wanaume wenzako wamepajenga
Unaenda kuishi Ulaya unakuwa mpwekeHivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba ila najua Kuna masikini watakuja kuniambia nitafute pesa jamani Mimi pesa sijazipoteza ninazo
Upweke Gani kwani duniani si ulikuja kivyakoUna
Unaenda kuishi Ulaya unakuwa mpweke
Wanaishi MASAKI, Chole Road, wanapata upepo wa Bahari, wanakula hoteli 5-Star na wanapita kwenye lami na usalama wa hali ya juu.Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganusha na klabu za ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba ila najua Kuna masikini watakuja kuniambia nitafute pesa jamani Mimi pesa sijazipoteza ninazo
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..Yaani bado hujasema na utasema tuuuuuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tafuta hela umasikini unakusumbuaTajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..
Tajiri christopher paul ulietoka ulaya, unahangaishwa hata na wadada wa mtaani kwako, wanakuzungusha sababu wanajua wewe ni msaanii na kapuku wa kiwango cha lami, unashinda kwenye vijiwe vya kubeti kuanzia asubuhi hadi usiku, huna maisha, unavuta bangi unajiona kua uko ulaya mara una hela, na zaidi nani anataka kulea mgonnjwa wa ukimwi unasingizia vidonda vya tumbo..Tafuta hela umasikini unakusumbua
Duuh ndio umefikia huku hii laana aiseeNauza mkundu Ili nipate pesa
Kuna sehem TZ ni zaid ya ulaya. Njoo kigamboni utaelewaTanzania hamna sehemu ambayo sijafika tanzania yote ni takataka
Umesoma chuo gani, mbona akili nyingi sana?🫡Bongo ni pazuri sana ukiwa na pesa Jombaa usifanye mchezo. Hapa maisha ni matamu sana sana sana sana narudia tena maisha ni matamu.
Nchi za dunia ya kwanza zinawafaa sana watu masikini kwa ssb ya ubora kiwango cha maisha kwa matabaka yote ya watu ukilinganishana na kwetu. Pia wingi wa uwepo wa fursa za kuingiza kipato kwa watu wa chini.
Kuna chimbo zipo kigamboni oyaa, ukienda huko ulaya hutaman hata kupasikia. Kuna hotel niliend na mshangazi flani kiingilio tu ni balaa 😄Inaonekana kiongozi haujatembelea pande zozote za kuburudisha mwili na akili. Hapa hapa daresalama watu wanaishi maisha unayoyaona kwenye movies za hollywood na dubenga.
Ungelibahatika kufika kwenye mansion za kina zayed nafikiri usingeleta hilo bandiko lako la makasiriko na njaa kali.
Hallelujah!!!
We kweli hujielewi eti kigamboni ni zaidi ya ulaya kumbe Kuna watu mmechanganyikiwa Kwa ugumu wa maishaKuna sehem TZ ni zaid ya ulaya. Njoo kigamboni utaelewa
Kapime Malaria itakua imekupanda kichwaniKuna chimbo zipo kigamboni oyaa, ukienda huko ulaya hutaman hata kupasikia. Kuna hotel niliend na mshangazi flani kiingilio tu ni balaa 😄