Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

Nawashangaa Mo na Bakhresa kuendelea kuishi Tanzania

I rest my case. Pumzika kwa amani marehemu mtarajiwa.
Nionyeshe kiasi kama hicho Ili tuendelee kubishana maana kubishana na masikini ni kupoteza mda
 

Attachments

  • Screenshot_20241011-115907.jpg
    Screenshot_20241011-115907.jpg
    100.8 KB · Views: 4
Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi Tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganIsha na klabu za Ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba ila najua Kuna masikini watakuja kuniambia nitafute pesa jamani Mimi pesa sijazipoteza ninazo
Mo na Bakhressa wameamua kukaa hapa nchini kwa kuwa soko za bidhaa zao lipo hapa nchini. Huko Ulaya na Marekani ni nani utaamuzia Azam embe na ukwaju? Huko unakowashauri waende hakuna maskini watakaowatumia kupiga pesa. Ngoja wakae hapahapa umaskinini wapige pesa mkuu.
 
Mo na Bakhressa wameamua kukaa hapa nchini kwa kuwa soko za bidhaa zao zzipo hapa nchini. Huko Ulaya na Marekani ni nani utaamuzia Azam embe na ukwaju? Huko unakowashauri waende hakuna maskini watakaowatumia kuoiga pesa. Ngoja wakae hapahapa umaskinini wapige pesa.
Wewe umeongea fact sio hapa wengine wanapiga kelele tu k kwenye Uzi wangu kisa ugumu wao wa maisha
 
Hivi Kwa utajiri wa Hawa jamaa wanawezaje kuishi Tanzania yaani mipesa kibao na umri umeshaenda baada watafute sehemu ya kuishi American au Europe wao kila siku wanakula vumbi la Tanzania na kudhamini vitimu vya mpira ambavyo havitakuja kuwa na ukubwa wowote kulinganIsha na klabu za Ulaya mpaka dunia inaisha nchi inayonuka kweli unaweza kuwa na mabilioni ya pesa ila ukawa mshamba ila najua Kuna masikini watakuja kuniambia nitafute pesa jamani Mimi pesa sijazipoteza ninazo
Je nao wanaishi uswazi kama wengine? Kuna watu wapo Tanzania hii lakini wanaishi maisha kama ya Ulaya. Ni mtazamo tu
 
Ukiwa huna akili utaridhika na ulicho nacho lakini wenye ability na magenius hawaridhiki kama wewe kilaza, lazima waendelee kutengeneza pesa zaidi na zaid kwahyo hawawez ondoka sehemu ambayo assets zao na investments zao zilipo kwaajili ya usimamizi lakini pia waki relax wanaweza kukutwa na downfall economically jambo ambalo hawawez kukubali kwahyo lazma wa concentrate
 
Ukiwa huna akili utaridhika na ulicho nacho lakini wenye ability na magenius hawaridhiki kama wewe kilaza, lazima waendelee kutengeneza pesa zaidi na zaid kwahyo hawawez ondoka sehemu ambayo assets zao na investments zao zilipo kwaajili ya usimamizi lakini pia waki relax wanaweza kukutwa na downfall economically jambo ambalo hawawez kukubali kwahyo lazma wa concentrate
Akili huna
 
Akili huna
wewe akili yako ndo fupi broo watu wako siliaz ww kama hauko siliaz keep it up,na by the way unaweza tafta na ww zako alafu uende huko unaenjoy ila syo kuwaona kama vile washamba number wewe ndo akili yako ndo ikon na shida💀
 
wewe akili yako ndo fupi broo watu wako siliaz ww kama hauko siliaz keep it up,na by the way unaweza tafta na ww zako alafu uende huko unaenjoy ila syo kuwaona kama vile washamba number wewe ndo akili yako ndo ikon na shida💀
Akili huna wewe na umejaa umasikini
 
Halafu unaonekana masikini sana
Ushaishiwa ww huna laziada😂 kama mi masikin nipe namba yako inayopokea pesa ila haita kua free kabisa itatakiwa niku P Diddy (nikunyandue ) ili nikuithibitishie kua mm syo maskini ila ni shida zako na njaa zako
 
Ridhiki washapata ni ujinga kuendelea kuishi nchi inayonuka wakati unamipesa ambayo unakula mpaka kifo
Huku Tanzania ndiko wanakoweza kupata michongo ya kuongeza pesa.
Na utajiri wao una nguvu hapa bongo, wakienda huku mbele wataishi maisha magumu kwani nguvu yao kiuchumi huko ni ndogo.
 
Inategemea na walaji wa huduma wanazozitoa wanatoka wapi, inawezekana wakiondoka watapoteza mauzo n.k wengine wameweza kuishi huko kwingine kwa sababu walaji wa huduma zao wanapatikana kila kona ya dunia n.k
 
Huku Tanzania ndiko wanakoweza kupata michongo ya kuongeza pesa.
Na utajiri wao una nguvu hapa bongo, wakienda huku mbele wataishi maisha magumu kwani nguvu yao kiuchumi huko ni ndogo.
Pamoja Sana wewe una akili ila wengine wanaandika pumba
 
Inategemea na walaji wa huduma wanazozitoa wanatoka wapi, inawezekana wakiondoka watapoteza mauzo n.k wengine wameweza kuishi huko kwingine kwa sababu walaji wa huduma zao wanapatikana kila kona ya dunia n.k
Pamoja sana umeandika pointi
 
Siku ukijua kwamba Tanzania ni nchi nzuri sana kuishi ukiwa na hela kuliko ukiwa kapuku ndio utaelewa kwanini matajiri wengi hawatoki kwenda Ulaya japo wamewekeza huko Ulaya.

Bongo ukiwa na hela kidogo tu nchi itakutambua na wewe kila sehemu utakuwa unapewa VIP treatment. Sio hospitalini, sio bank wala sehemu yoyote ya starehe ama mahotelini. Kero za mamlaka za serikali pia utaishia kuzisikia kwenye vyombo vya habari tu.

Bongo kuna peace of mind sana kama unamiliki utajiri hata wa kawaida tu ila ukawa una affiliates kwenye system ya serikali. Hakuna jambo lako litakwama na msaada ni wa haraka sana ukihitaji.

Kwa masikini bongo ni jehanamu kwa sababu hayo yote niliyoyaandika yatakuwa kinyume chake 🤣🤣🤣! Kwa mtu maskini bongo ndio anapaswa afungashe virago akimbilie ulaya haraka iwezekanavyo.
Mkuu ulichoongea ni ukweli mtupu kuna watu bongo wanaishi vzuri sana huwezi dhania nikama ulaya tu mchawi pesa yako tu
 
Mkuu ulichoongea ni ukweli mtupu kuna watu bongo wanaishi vzuri sana huwezi dhania nikama ulaya tu mchawi pesa yako tu
Watu wanaishi kama wako beverly hills hapa bongo. Hamna bugudha kabisa we tembelea Mbweni kule uone mji ulivyopangwa na mijengo ni ya hatari🤣. Uko na full koba utatamani vipi kwenda ulaya?

Unatoka saa unayotaka na kurudi mda unaojiskia kwenda kokote mjini ukiwa na usafiri wako binafsi. Unagonga K unavyotaka nobody cares, yani almost kila kitu kipo in Bongo ukiwa na hela. Ni maamuzi tu.

Ulaya freedom hamna ni kodi kila sehemu yani sheria ziko live katika kila kitu hata ukimsonya mtu unaweza kwenda jela 😁 sasa hayo maisha gani?
 
Kuishi nje ya nchi ni utashi na interest tu ya mtu.... ukiwa karibu na miradi Yako pia ni rahisi kuisimamia na kuona maendeleo yake kuliko ukiwa mbali ndo mana wamechagua kuishi hapa afu then kuishi nje ya nchi ni gharama sana ambayo haikuwa muhimu
 
Ndio umri umeenda kuanzia miaka 45 kwenda mbele wewe ni mzee na huo ndio ukweli
Toddler: 1-3 years
Child: 4-12 years
Teenager: 13-19 years
Young Adult: 20-35 years
Adult: 36-60 years
Elder: 61+ years
 
Back
Top Bottom